cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muonee huruma mwenzako jamani[emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muonee huruma mwenzako jamani[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamaeee usinikumbusheee.. Siku hiyo Single maza nimelitumia 30K likazimaa simuu malaya lileeee...!!
Mimi pia yamenikuta hayo. Mnaelewana vizuri mwisho anakwambia nitumie nauli tena anakusisitiza kabisa eti anajiandaa aje na oicha za kukutamanisha anakutumia. Ukituma tu ndio hapokei wala.meseji hajibu. Wamenila kama wawili hivi japokuwa nauli yenyewe ni ndigo ila inaudhi.Mnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.
Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.
Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.
Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.
Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.
Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] parody km parody lolHuyo ni mwanaume mwenzako kakutandika, poleee
Hio michezo watu wanaicheza sana kuweka picha za warembo profile ukijiingiza unaliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yani acha tuu 30K ilienda malaya yule akaendelea kuniletea shida tu.. Ndo nkajua single maza wenye mikalio kichwani kweupe..!! Siku nikamtolea uvivu alinililia shida nkamwambia njoo ufate laki lodge... Akasema naona umenichoka nikamwambia toka kitambo aisee nafurahi umejua leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujanja wako wotee ulipigwa 30k poleeeeeeeh.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yani acha tuu 30K ilienda malaya yule akaendelea kuniletea shida tu.. Ndo nkajua single maza wenye mikalio kichwani kweupe..!! Siku nikamtolea uvivu alinililia shida nkamwambia njoo ufate laki lodge... Akasema naona umenichoka nikamwambia toka kitambo aisee nafurahi umejua leo
Aaha acha tuu hiyo 20K aliniomba ana shida nayo binafsi nkajua litakujaaa kumbe mbwa tuu likaniona falaa yani toka siku hiyo niliacha kabisa huo ujinga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujanja wako wotee ulipigwa 30k poleeeeeeeh.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Likolo, yihamba yoha mpaka kumtima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio kifo cha liparata.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Si tumeamua kukomeshana😂😂😂🤣 kuchuma mboga kama kuchuma mboga!!!!!!!!!🥱
Hahahaha.... Hannah bhanaAmeogopa picha zake kazichapa filter ila uhalisia yupo kama mfalme Zumaridi. Usije mkimbia bure.
Tunapigika vibaya ila na wao mademu chamoto wanakiona wakiingia kumi na nane za masera[emoji1787][emoji1787]Mpaka tuje tumalize maisha yetu hapa duniani wanaume hamna rangi ambayo hakuna rangi tutacha kuona.
halafu easy kuliko ule wa wazee waHuu mtindo wengi wanaliwa sanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Tatizo kichwa kidogo kinakuwa kinakiongoza kichwa kikubwahalafu easy kuliko ule wa wazee wa
ile hela tuma kwenye namba 0702761888
jina litakuja cocastic usipige namba ile mtandao unasumbua
Kweli mkuu,ila wanakosa ustaarabuMkuu kubali yaishe tu usitamani ku apply tit for tat hito ni hela kidogo wewe ni mwanaume utapata nyingine ndivyo walivyo hao wanapenda mserereko huyo atakuwa ni mke wa mtu emokosa sababu ya kumdanganya mme wake.
Unaanzaje kutuma nauli kwa stranger, tena umesema kabisa upo 40+. Unazingua pakubwa mkuu.Kula nauli naona kama ni utoto fulani hivi; kwa sisi ambao tuko 40+ nadhani ni busara kuwa muwazi tu, kwa sababu hakuna kipya.
Moyo ukipenda,unayumbisha mwili mkuuUnaanzaje kutuma nauli kwa stranger, tena umesema kabisa upo 40+. Unazingua pakubwa mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahAaha acha tuu hiyo 20K aliniomba ana shida nayo binafsi nkajua litakujaaa kumbe mbwa tuu likaniona falaa yani toka siku hiyo niliacha kabisa huo ujinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Pa meng'eru hapu.Likolo, yihamba yoha mpaka kumtima