Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

Mnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.

Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.

Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.

Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.

Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.

Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
Mimi pia yamenikuta hayo. Mnaelewana vizuri mwisho anakwambia nitumie nauli tena anakusisitiza kabisa eti anajiandaa aje na oicha za kukutamanisha anakutumia. Ukituma tu ndio hapokei wala.meseji hajibu. Wamenila kama wawili hivi japokuwa nauli yenyewe ni ndigo ila inaudhi.

Kuanzia hapo nikiombwa nauli tu namwambia mission aborted. Sipokei hata apige vp.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Huyo ni mwanaume mwenzako kakutandika, poleee
Hio michezo watu wanaicheza sana kuweka picha za warembo profile ukijiingiza unaliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] parody km parody lol

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yani acha tuu 30K ilienda malaya yule akaendelea kuniletea shida tu.. Ndo nkajua single maza wenye mikalio kichwani kweupe..!! Siku nikamtolea uvivu alinililia shida nkamwambia njoo ufate laki lodge... Akasema naona umenichoka nikamwambia toka kitambo aisee nafurahi umejua leo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yani acha tuu 30K ilienda malaya yule akaendelea kuniletea shida tu.. Ndo nkajua single maza wenye mikalio kichwani kweupe..!! Siku nikamtolea uvivu alinililia shida nkamwambia njoo ufate laki lodge... Akasema naona umenichoka nikamwambia toka kitambo aisee nafurahi umejua leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujanja wako wotee ulipigwa 30k poleeeeeeeh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kubali yaishe tu usitamani ku apply tit for tat hito ni hela kidogo wewe ni mwanaume utapata nyingine ndivyo walivyo hao wanapenda mserereko huyo atakuwa ni mke wa mtu emokosa sababu ya kumdanganya mme wake.
 
Mkuu kubali yaishe tu usitamani ku apply tit for tat hito ni hela kidogo wewe ni mwanaume utapata nyingine ndivyo walivyo hao wanapenda mserereko huyo atakuwa ni mke wa mtu emokosa sababu ya kumdanganya mme wake.
Kweli mkuu,ila wanakosa ustaarabu
 
Kula nauli naona kama ni utoto fulani hivi; kwa sisi ambao tuko 40+ nadhani ni busara kuwa muwazi tu, kwa sababu hakuna kipya.
Unaanzaje kutuma nauli kwa stranger, tena umesema kabisa upo 40+. Unazingua pakubwa mkuu.
 
Back
Top Bottom