Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
POle mkuuMnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.
Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.
Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.
Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.
Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.
Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
Nashukuru sana mkuuPole nyingi kwako
Asante sanaPOle mkuu
Basi utakuwa unaishi Dar na yeye yupo Kibaha.Ndogo tu mkuu, na nlifanya hivyo kupima uaminifu kwanza
Wewe utakuwa ulikuwa unachati na mwanaume akajifanya ni mwanamke Mzee achana na mambo ya mitandao utakuja kuibiwaMnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.
Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.
Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.
Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.
Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.
Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
Kweli mkuuAjali tu hiyo
Inawezekana mkuu ikawa kweliWewe utakuwa ulikuwa unachati na mwanaume akajifanya ni mwanamke Mzee achana na mambo ya mitandao utakuja kuibiwa
Mitandao inamambo ya hovyo Kuna wanaume wanatumia majina na picha za wanawake na hata ukitaka picha anakutumia hata 10 ukiomba namba ya simu anakupa ya demu aliyempanga Ili wakutapeliInawezekana mkuu ikawa kweli
Mkuu naona unanifungua akili, kwa sababu nikipiga simu hapokeiMitandao inamambo ya hovyo Kuna wanaume wanatumia majina na picha za wanawake na hata ukitaka picha anakutumia hata 10 ukiomba namba ya simu anakupa ya demu aliyempanga Ili wakutapeli
Anapokea kama akiwa na huyo demu aliyempanga, zaidi atakuwa anataka mchati, Kuna Mmoja mwaka 2017 alijifanya kulike picha zangu FB na Kila anchopost baadaye akanizoea tukawa tunachati na kunitumia picha Kwa vile nilikuwa mkoani akasema Yuko Dar akanipa namba Sasa akawa anataka aje kuniona nikamzuga baada ya muda nikajua Dar nikamtafuta nikamwambia kesho nakuja Dar nikusalimie akagoma akawa anataka yeye ndiyo aje Mkoa,nikamgomea kesho yake Tena nikamwambia nipo Dar tutafutane akapotea kabisa na kufunga accountMkuu naona unanifungua akili, kwa sababu nikipiga simu hapokei
Huyo ni mwanaume mwenzako kakutandika, poleeeMnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.
Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.
Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.
Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.
Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.
Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
Kweli kabisaAnapokea kama akiwa na huyo demu aliyempanga, zaidi atakuwa anataka mchati
Inawezekana mkuuHuyo ni mwanaume mwenzako kakutandika, poleee
Hio michezo watu wanaicheza sana kuweka picha za warembo profile ukijiingiza unaliwa 🤣🤣🤣
Mkuu, huyu kweli ni mwanamke?Kimeumana kutaneni mmalize mambo,by the way Ile biashara ya chupi uliacha ukahamia Morogoro? [emoji2]
Na huyu huwa anakula nauli?