Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #141
ha ha haMamaeee usinikumbusheee.. Siku hiyo Single maza nimelitumia 30K likazimaa simuu malaya lileeee...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha haMamaeee usinikumbusheee.. Siku hiyo Single maza nimelitumia 30K likazimaa simuu malaya lileeee...!!
Bila bila mkuu, napata maji ya gold tu kupunguza mauzi✌️Any updates????
Usitende hiyo dhambiHivi mi mbona sijawahi kula nauli ya mtoto wa mtu, dah nafeli pakubwa sana....yani kesi zooote za nauli mie simo, ngoja nitafute wa kumfanya history
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bhasi wew ni malaika aiseeeHivi mi mbona sijawahi kula nauli ya mtoto wa mtu, dah nafeli pakubwa sana....yani kesi zooote za nauli mie simo, ngoja nitafute wa kumfanya history
Lol pole sana aseee naimagine ulivokua umejipanga mwenyewe hahahaaa..si ya kucheka haya 🥱!Bila bila mkuu, napata maji ya gold tu kupunguza mauzi
haiwezekani aseee!!! ngoja niisafishe nyota kwa kula nauli najiona kuna kitu sijatimiza kwenye haya maisha 😂😂😂Usitende hiyo dhambi
natafuta mmoja wa kumfanya mfalme 😁😁[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bhasi wew ni malaika aiseee
Hapo hakuna cha kufanya maana nauli imeliwa. Kwani ulimtumia shilingi ngapi?Mnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.
Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.
Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.
Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.
Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.
Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
Kula nauli naona kama ni utoto fulani hivi; kwa sisi ambao tuko 40+ nadhani ni busara kuwa muwazi tu, kwa sababu hakuna kipya.haiwezekani aseee!!! ngoja niisafishe nyota kwa kula nauli najiona kuna kitu sijatimiza kwenye haya maisha 😂😂😂
Ndogo tu mkuu, na nlifanya hivyo kupima uaminifu kwanzaHapo hakuna cha kufanya maana nauli imeliwa. Kwani ulimtumia shilingi ngapi?
Nilikuwa sijajipanga sana, ilikuwa wkend ijayo ndio nimfuate, ila yeye ali-propose aje leoLol pole sana aseee naimagine ulivokua umejipanga mwenyewe hahahaaa..si ya kucheka haya 🥱!
Msanii tu huyo trust me! Ona umetuma ametoa excuse... ishaliwa hiyoo..hio next week ulotaka wewe aje atakupanga tena umtumie!!!!Nilikuwa sijajipanga sana, ilikuwa wkend ijayo ndio nimfuate, ila yeye ali-propose aje leo
ntumie nauli nije basiKula nauli naona kama ni utoto fulani hivi; kwa sisi ambao tuko 40+ nadhani ni busara kuwa muwazi tu, kwa sababu hakuna kipya.
Nilishajifunza sitarudia huo ujinga; nadhani pia umri kwake ni tatizo,ndio maana anafanya utoto.Msanii tu huyo trust me! Ona umetuma ametoa excuse... ishaliwa hiyoo..hio next week ulotaka wewe aje atakupanga tena umtumie!!!!
😂😂😂 Utarudishiwa nauli baada ya kufikantumie nauli nije basi
Labda bado yupo njiani mkuu vuta subira acha kulalamaAmeshukuru baada ya kupokea, akasema anaenda kupanda gari
Yuko njiani ndio tatizo anaenda mkoa mwingine kwa mwamba mwingine ambaye hajatuma nauli.Labda bado yupo njiani mkuu vuta subira acha kulalama
Yaani umeshindwa kabisa kurudisha muamala?Mnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.
Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.
Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.
Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.
Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.
Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?