Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
Ipi tena mkuuJibu msg whatsapp mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipi tena mkuuJibu msg whatsapp mkuu
Ha ha ha ha hatari sana mkuuHiiii imenikuta leo, pisi tumeelewana vizuri, kuja, mamaaaa yaan haiendani na viwango nilivyokusudia nimepiga kwa kujilazimisha kimoja nikasingizia kuna mgeni anakujaaa ikasepa ilaa kuanzia leo siendi mtandaoni kutafuta demu never
Hiyo ni kujilipua mkuuTena akiwa amemgusishia gegedo[emoji85]
Huu ujinga sijawahi fanya ndo nimejaribu leo, yaaan daaah hizi pisi ukiona mashauzi mtandaoni utasema umepata, kuja kuiona daaah unachoka hata hisia zinakata kabsaaaha ha ha ha hatari sana mkuu
Ondoa shaka mkuu nitawacheki, hapa fish-fishHebu tununulie soda na sisi tunaokufariji jamani.
HapanaKweli mkuu, huwa hawasumbui
SI KWELI !! Hapo umedanganya !! Namba yako kama inaishia na 928 basi ni wewe ... HAUNA UVUMILIVU KABISAKama jina lako linaanzia na R unatokea Kihonda-Moro; utakuwa umefanya vizuri kurudisha nauli
NotedKila unachofanya involve your mind
#content hidden*
Uvumilivu wa wapi tena mkuuSI KWELI !! Hapo umedanganya !! Namba yako kama inaishia na 928 basi ni wewe ... HAUNA UVUMILIVU KABISA
Muonee huruma mwenzako jamani[emoji23]SI KWELI !! Hapo umedanganya !! Namba yako kama inaishia na 928 basi ni wewe ... HAUNA UVUMILIVU KABISA
[emoji3]au sio?Kutuma nauli siwezagi, hata uwe India mi nitakufata.
Kuna watu wanasemaga papuchi ni papuchi..but trust me,nyingine kupiga hata goli mbili ni kazi kubwa sana.Hiiii imenikuta leo, pisi tumeelewana vizuri, kuja, mamaaaa yaan haiendani na viwango nilivyokusudia nimepiga kwa kujilazimisha kimoja nikasingizia kuna mgeni anakujaaa ikasepa ilaa kuanzia leo siendi mtandaoni kutafuta demu never
Ukiwa Dar , mademu unaowapata mitandaoni wapo Mikoani.Mnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.
Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.
Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.
Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.
Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.
Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
Hiyo nauli ni km Shilingi ngapi??.Mnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.
Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.
Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.
Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.
Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.
Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Weka picha yake Mkuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebwana filter zinaharibu kinyama juzi kuna jamaa yangu kaniomba nimaindikize akakutane na demu waliojuama mtandaonii akanionyeshaa tukaenda tulichokutana nacho sikuaminii mwamba aliishiwa pozii
Kweli mkuuUkiwa Dar , mademu unaowapata mitandaoni wapo Mikoani.
Ukiwa mkoani,sio Pwani, mademu unaowapata mitandaoni wapo Dar.
This explains why kutuma nauli na kupigwa hakuishi.
Kutoka nilipo mpaka kufika huko kwako ni masaa matano ila wewe unataka ndani ya lisaa limoja niwe nimefikaUvumilivu wa wapi tena mkuu
Ndogo tu mkuu, kama savana 10 tuHiyo nauli ni km Shilingi ngapi??.
Haujawahi kula nauli ya mtu wewe?Inasikitisha sana. polee!