Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

Mnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.

Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.

Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.

Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.

Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.

Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
Nitumie namba yake nimpigie mimi tuone kama atapokea ama lah
 
Aah nauli ya moro ndogo kbsa[emoji1787][emoji1787]...wala huna haja ya kuumia..ni swa tu ukae na washkaji uwape ofa ya bia maana haizi 20k
Nataka nitafute chimbo, nipige zangu wine nijitafakari upya
 
ukweli ninkwamba mimi hapa dar es salaam bint yeyote akitaka kuja geto akisema hana nauli narequest bolt tuu huwezi basii... acha pesa kangu nikanyweee supuu... ya kuku
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebwana filter zinaharibu kinyama juzi kuna jamaa yangu kaniomba nimaindikize akakutane na demu waliojuama mtandaonii akanionyeshaa tukaenda tulichokutana nacho sikuaminii mwamba aliishiwa pozii
Hiiii imenikuta leo, pisi tumeelewana vizuri, kuja, mamaaaa yaan haiendani na viwango nilivyokusudia nimepiga kwa kujilazimisha kimoja nikasingizia kuna mgeni anakujaaa ikasepa ilaa kuanzia leo siendi mtandaoni kutafuta demu never
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nataka kufahamu kama ni yeye maana hata mimi nimekula nauli leo [emoji23][emoji23]
Na anavyoongea kama vile ananiongelea mimi vile
Kama jina lako linaanzia na R unatokea Kihonda-Moro; utakuwa umefanya vizuri kurudisha nauli
 
Back
Top Bottom