lovel
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 413
- 1,102
Aah nauli ya moro ndogo kbsa[emoji1787][emoji1787]...wala huna haja ya kuumia..ni swa tu ukae na washkaji uwape ofa ya bia maana haizi 20kMorogoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah nauli ya moro ndogo kbsa[emoji1787][emoji1787]...wala huna haja ya kuumia..ni swa tu ukae na washkaji uwape ofa ya bia maana haizi 20kMorogoro
Nitumie namba yake nimpigie mimi tuone kama atapokea ama lahMnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.
Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.
Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.
Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.
Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.
Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
Nataka nitafute chimbo, nipige zangu wine nijitafakari upyaAah nauli ya moro ndogo kbsa[emoji1787][emoji1787]...wala huna haja ya kuumia..ni swa tu ukae na washkaji uwape ofa ya bia maana haizi 20k
Wengi wanaofanya hivyo ni watotoMtoa mada mi naona mwanamke alikua sahii[emoji3525]
Asante mkuuPole sana...
Hatari sana, unajiamini vipi kupost picha ya mtu akiwa uchi!Ulifutwa maana yule alipost picha za wakiwa uchi
ha ha ha ha acha fujo mkuuKwahiyo leo hulali nyumban kwa mkeo...utalala na pisi kali usiku kucha una nyandua
Hiiii imenikuta leo, pisi tumeelewana vizuri, kuja, mamaaaa yaan haiendani na viwango nilivyokusudia nimepiga kwa kujilazimisha kimoja nikasingizia kuna mgeni anakujaaa ikasepa ilaa kuanzia leo siendi mtandaoni kutafuta demu never[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebwana filter zinaharibu kinyama juzi kuna jamaa yangu kaniomba nimaindikize akakutane na demu waliojuama mtandaonii akanionyeshaa tukaenda tulichokutana nacho sikuaminii mwamba aliishiwa pozii
Tena akiwa amemgusishia gegedo[emoji85]Hatari sana, unajiamini vipi kupost picha ya mtu akiwa uchi!
Hebu tununulie soda na sisi tunaokufariji jamani.Nataka nitafute chimbo, nipige zangu wine nijitafakari upya
Kama jina lako linaanzia na R unatokea Kihonda-Moro; utakuwa umefanya vizuri kurudisha nauli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nataka kufahamu kama ni yeye maana hata mimi nimekula nauli leo [emoji23][emoji23]
Na anavyoongea kama vile ananiongelea mimi vile
Dunia ina maajabu mkuuHa ha ha.....
Nmecheka sana utadhani mazur
Wanaume sijui tumeambiwa nn yaan unajitutumua tu unatuma hela kwa pisi afu kujaa weee mwenyewe unabaki hoi daaah, haya mambo ya mtandaoni sirudiiii kamweeeeNdio nimejifunza mkuu
Wee mwnyw umebehave kitoto zaidi,Wengi wanaofanya hivyo ni watoto
Ni bora ningefanya hivyo mkuu; dunia ina ubatili mwingiNunua sukari kilo 5 uwapelekee wazazi wako, baraka tele zitamiminika.