Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ngoja nitafakariNaweka swali la nyongeza hapo, je uliwahi kumpigia video call ukamwona. Maana inaweza ikawa ulikuwa unachati na mwanamume mwenzake.
Ulituma na ya kutolea lakini, dah mkuu umepigwa vibayaMkuu, ngoja nitafakari
Punguza ukatili broungetuma tiketi, kama ana nia angekuja. Mambo ya kutuma nauli ni risk
Tatizo ni pisi kali mkuuHapo mtaani/kazini kwako, hakuna kabisa wanawake wa kuonana ana kwa ana? Ama unaona aibu ana kwa ana?
Mkuu, we acha tu;kupenda ni upofu🤣🤣🤣 Yani katika utapeli hakuna njia inayopitwa na wakati, hii mbinu kumbe bado watu wanapigwa
Fake photos ukitaka watoto wa kula wamejaa tele tinderMkuu, we acha tu;kupenda ni upofu
Wajinga ndio waliwao!! Pole Sana.Mnavyojua tena, maisha ya harakati huwa hayana mwisho. Wiki tatu zilizopita nilikuwa nachat na mrembo mmoja matata, niliyekutana naye katika mtandao mmoja wa kuonyesha sura.
Nilitokea kumpenda sana huyo binti, na tukafahamiana vizuri tu. Yeye yuko kwenye mambo ya mitindo.
Tatizo yeye anaishi mkoa tofauti na niliopo mimi; nikawa nimemjulisha wikiendi ijayo tuweze kuonana, na tukawa tumeafikiana. Sasa leo asubuhi, akawa amenijulisha anataka aje kuniona; mi nikaona sawa tu hakuna shida.
Akaomba nauli, nami nikamtumia mara mbili yake. Kilichonishtua zaidi, kuwa nauli imeliwa, alianza kuniambia nitume na hela ya mafuta fulani kwa ajili ya massage, yanagharimu 50,000; nikatafakari, nikamwambia tutayanunua huku huku ukishafika.
Baada ya hapo, nikipiga simu haipokelewi, meseji hazijibiwi, w/app hajibu. Imebidi ni hitimishe tu; nauli yangu imeliwa. Ingawa angekuja ningetumia zaidi pamoja na posho ya kwake, lakini kilichoniuma zaidi ni kutokuwa muaminifu.
Wakuu, nimfanyeje huyu mkulungwa?
Mkuu we acha tu, utapeli hauishi; kanitumia w/app yuko njiani, lakini najua ni usanii. Nilianza naye mwaka jana, baana ya kuona miyeyusho nikavunja mawasiliano. Hivi karibuni ndio alianzisha yeyeKwa muonekano ule pale hamna kitu hata Kama ungesema wewe ndo umeenda mkoa alipo asingejitokeza.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ahahahahaa ... Mafalme wa kike..Ameogopa picha zake kazichapa filter ila uhalisia yupo kama mfalme Zumaridi. Usije mkimbia bure.
ha ha ha unawezakuta unachat na shetan😄😄unashida gani lknView attachment 2141097
nishashika hapa sema mkuu mwenyewe number busy, sijui keshanizoom😄😄😄
Umekwisha[emoji23][emoji23][emoji23].[emoji1][emoji1]unashida gani lknView attachment 2141097
nishashika hapa sema mkuu mwenyewe number busy, sijui keshanizoom[emoji1][emoji1][emoji1]
Kweli mkuuAjali Kazini Mkuu
Kwenye pisi kali mkuu, inabidi kubet tuKumbe na wewe una betting?
Mkuu we acha tu,pamoja na kupigwa bado kukata tamaaUlituma na ya kutolea lakini, dah mkuu umepigwa vibaya
Ukijichanhanya anakupga tena huenda hata sio huyo aliyeweka pichaMkuu we acha tu,pamoja na kupigwa bado kukata tamaa
Asante mkuuWajinga ndio waliwao!! Pole Sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebwana filter zinaharibu kinyama juzi kuna jamaa yangu kaniomba nimaindikize akakutane na demu waliojuama mtandaonii akanionyeshaa tukaenda tulichokutana nacho sikuaminii mwamba aliishiwa pozii