Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

Ubahili 3:5-6 usitume nauli kwa mtu usiemjua hata Kama mmechati kwamiak mingi Kama hamjawahi onana face to face usitume.

Wewe mtu umemjulia Badoo unamtumia nauli seriously!

Unakua na uhakika gani kuwa picha zile ni zake? Kama Mimi tu nimefungua account Badoo kwa fake name nimechukua picha za jamaa mwingine toka Facebook Kama 20 ivi kwahiyo ukiperuzi unajua ndo Mimi kumbe walaa!. Halafu Kuna midume huwa inafungua account za kike kwaajili ya maboya Kama sisi.

Naongezea pia mstari wa 7-8 unasema
Mwanamke akiomba nauli mfate uje nae kabisa kwako akikataa usitume!
 
Mpaka tuje tumalize maisha yetu hapa duniani wanaume hamna rangi ambayo hakuna rangi tutacha kuona.
 
Kuna watu wanasemaga papuchi ni papuchi..but trust me,nyingine kupiga hata goli mbili ni kazi kubwa sana.
Hizo mbili mbona tabu, moja tuu huwezikabisaa
Watu tunatofautiana yaaan nimekoma pisi hata hisia zimekata najitahidi hata usoni nitabasamu lkn waaapi nkajisemea tuu huu ndio mwanzo na mwishooo sirudii ujinga huu
 
Mkuu, we acha tu, tatizo ni pisi kali; unajikuta unakuwa bwege tu
Kama wewe sio mtu wa kuperuzi peruzi sana mitandao watu wengi sana wanachukua picha za watu mfano watoto wakaree wakiganda, kinyarwanda, kenya na south africa watu wanatumia sana picha zao ukitaka kujua picha ni halisi au laa wewe cheki picture quality ukiona quality ya picha inepungua kiasi fulani jua hapo unapigwa...
 
Kama wewe sio mtu wa kuperuzi peruzi sana mitandao watu wengi sana wanachukua picha za watu mfano watoto wakaree wakiganda, kinyarwanda, kenya na south africa watu wanatumia sana picha zao ukitaka kujua picha ni halisi au laa wewe cheki picture quality ukiona quality ya picha inepungua kiasi fulani jua hapo unapigwa...
Kuna kitu nimejifunza hapa mkuu
 
Back
Top Bottom