Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

Wajinga ndio waliwao!! Pole Sana.
 
Kama kuna nyingine imebakia unaweza kunitumia mimi tadhari yaani iwe kama sadaka as you know this is Sunday [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa muonekano ule pale hamna kitu hata Kama ungesema wewe ndo umeenda mkoa alipo asingejitokeza.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu we acha tu, utapeli hauishi; kanitumia w/app yuko njiani, lakini najua ni usanii. Nilianza naye mwaka jana, baana ya kuona miyeyusho nikavunja mawasiliano. Hivi karibuni ndio alianzisha yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…