Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

Pole sana mrembo. Mungu akufanyie wepesi..
 
Pole sana mwaya. I hope utapata wa kukusaidia.

Japo ndo inahitaji utulivu mkubwa mno katika kufanya haya maamuzi ya kumpata wa kukusaidia huku mitandaoni kwani sio wote watakuwa na nia njema.
 
Pole sana dadake,

Niliwahi kuweka bandiko hapo jamani wadada tunajiangusha, unabebaje UJAUZITO hujaolewa na wala kwao hufahamiki wala YEYE kwenu hafahamiki?

Mwanaume akitaka ngono CHOCHOTE ANAWEZA KUKUFANYIA ila kumbuka akishapata anachitaji SIYO AJABU KUKUTELEKEZA!!!

Wadada JAMANI mbona mnatuangusha!!!

Anyway uko wapi tuangalie linalowezekana kama upo within the range maana hali uliyonayo ni nzito sana
 
Kwa hakika ni UOVU kumpachika binti wa watu mimba na kumtelekeza.... Hakuna justification ya hilo zaidi ya kudhihirisha ULIVYO NA ROHO MBAYA YA KINYAMA!!!

Unakitelekeza vipi KIUMBE kisicho na hatia kilichopo tumboni??? Basi leo KIUMBE hicho akijifungua tunza mtoto na YEYE achane naye..
 
Kinachoumiza single mother wanazid watoto wasio na malez ya mama na baba wanazidi

Tatizo wadada wana kimuhemuhe cha kuzaa hovyo pasina utaratibu na hyo ni laana toka kwa mwenyez Mungu mnafanya uzinifu mnapata watoto wanakuwa kizaz cha uzinifu haraka haraka haina baraka

Muwe mnatuliza akil zenu hakuna anae wahi kuzaa wala kuchelewa subira huvuta heri
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Wew mjanja
 
Pole sana mwaya. I hope utapata wa kukusaidia.

Japo ndo inahitaji utulivu mkubwa mno katika kufanya haya maamuzi ya kumpata wa kukusaidia huku mitandaoni kwani sio wote watakuwa na nia njema.
Hili nalo neno mpendwa
 
Pole sana mwaya. I hope utapata wa kukusaidia.

Japo ndo inahitaji utulivu mkubwa mno katika kufanya haya maamuzi ya kumpata wa kukusaidia huku mitandaoni kwani sio wote watakuwa na nia njema.
Kabisa Inahitaji utulivu sana Huwa nawaza usumbufu wa mimba alafu mwenzio haonekani inaumiza sana
 
mtu anayekashifu huyo hajielewi bado
 
Mimi nikuhudumie kila kitu ila kwa sharti moja tu.
Mtoto atakuwa wangu, na mawasiliano na huyo bwege yakome
Usije ukajaribu, hawa viumbe hawaaminiki....😊
Tena utashangaa akisha jifungua ataanza kumtafuta mzazi mwenzie kwa speed ya 5G....☺
Ukijiskia kumsaidia wewe fanya kwa utashi wako pasipo masharti yeyote mkuu, kwani hayo masharti ndio utakua mwanzo wa majuto na makwazo makuu juu yako....πŸ™„
 
Usitete Upumbavu hapa mkuu.

Anyway yaishe tu. Na mimi sio mwenye mimba unitake radhi tu siwezi tafuta mke humu ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…