Aliyetelekezwa
Member
- Jun 26, 2023
- 64
- 158
- Thread starter
-
- #141
kijana hakusema ukweli mnaoudhani nyie kuna mambo usipoyajua ni kama usiku wa giza jamani. Asanteni kwa mchango wenu kila mmoja hapa ana uhuru wa kuchangia kile anachokiwaza. MbarikiweHata mimi nimejiuliza hili, kama kijana alimwambia ukweli kwanini yeye akajiachia kama hivyo?
Nazani aliwaza mimba ndiyo itakayodumisha ukaribu wao na matokeo yake imekuwa vice versa.
Asante kwa mchango wako wangu. BarikiwaAisee mi siamini kuna mwanamke anaweza kuwa mjinga kiasi hiki duuuh. Hapana bana
Yaani umkubalie kumzalia kapuku kweli asiye na direction na maisha...
Au alilogwa sio akili zake hizi, mi nakataa kwa kweli..
Yaani vitu vingine ni kutumia akili ndogo tu lakini hii nakataa asee,
Chai ya moto kabisa
Katika post nimeweka wazi kabisa natafuta kazi jamani sio mwanaume wa kunisaidia naomba nieleweke hivyo. AsanteDada acha ubwege.jamaa.kajitorea.kukusaidia.unachagua.musaada.jinga.kweri
Asante kwa ushauri mtu wa Mungu.Sina cha ku comment kwa kweli
Ila nyie wanawake nawapa ushauri wa bure:
Most of us men huku JF ni dont care humu, na wengi hatupo serious tunapenda chini tu tukimwaga wazungu ndo biashara imeishia hapo....
Punguzeni kujirahisisha na maneno yetu matamu matamu maana tutazidi kuwaumiza, to some of us.
Pia hizo PM zenu ni bora mngefunga tu.
I mean no malice....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 SEMA HIKI KISA NAONA NI KAMA CHAI HIVI. SIJUI KWANN
YOU CAN'T BE THIS DUMB. AU NI MIMI SIJAELEWA
Nakuelewa kabisa. Tuombeane wanguWanaume wa jf na andazi Bora andazi 😀😀😀
Wakati wowote mtu yeyote anaweza kuwa mjinga jamani. Mjanja ni Mungu pekee hata Adam nafikiri alijiuliza sana alipojikuta kadanganywa kula tunda alijiona mjinga sana. Kwa hiyo tuombe Mungu sana ujinga upite mbali na sisi. AsanteHii thread nashangaa kwann inanifurahisha au ni sigara na bangi nilizovuta.
Unajua nacheka kweli hapa nilipo....
Duuh au ni usingizi 🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi mtu anawezaje kuwa mjinga kiasi hiki....
Tena namuona yupo hapa na Id zake nazozifahamu anajitahidi kunichafua kwa maneno makali kweli. Binadamu sisi jamani hehehehee tutafika peponi tumechoka sana.Ni noma sana ukute mwenye mzigo wje yupo hapa na anachangia Kwa maneno makali 😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣, njaa ya mahusiano ina wadhalilisha sana watu, anyway all de bestTena namuona yupo hapa na Id zake nazozifahamu anajitahidi kunichafua kwa maneno makali kweli. Binadamu sisi jamani hehehehee tutafika peponi tumechoka sana.
Kama ukiweza uje ujifungulie Mloganzila _muhimbili ,maeneo ya Kibamba then nisaidie account no yako pm.ahsante.Tena namuona yupo hapa na Id zake nazozifahamu anajitahidi kunichafua kwa maneno makali kweli. Binadamu sisi jamani hehehehee tutafika peponi tumechoka sana.
Exactly kuna nyama nyingi hajaweka hapa,Na mipango mlipanga ya kufunga ndoa kisha akatae ujauzito weeee best hii story yako mbona umeficha jambo si kawaida kutokea hivi.
Kakukuna wapi mrembo? 🤣Umenikuna kweli yaan.....🤒
Hahahah si mnapenda uongo, kuleni chuma iko!!! 🤣🤣🤣🤣Shamba la bwana heri,mbuzi wa bwana heri..
Angemtaja kwanza tumsomee risala la kuikimbia damu yake.
Kwahio makapuku hatuna haki ya kuzaliwa au sio? 🤣Aisee mi siamini kuna mwanamke anaweza kuwa mjinga kiasi hiki duuuh. Hapana bana
Yaani umkubalie kumzalia kapuku kweli asiye na direction na maisha...
Au alilogwa sio akili zake hizi, mi nakataa kwa kweli..
Yaani vitu vingine ni kutumia akili ndogo tu lakini hii nakataa asee,
Chai ya moto kabisa
Watu wa humu ndani huwa mnajikutaa... Ingekuwa hakuna mwanamke anayekubali kuzaa na kapuku basi wengi wetu humu tusingezaliwa. Sijui hata unafikiria kwa kutumia nini au mwenzetu unaishi ulaya mfyuuuAisee mi siamini kuna mwanamke anaweza kuwa mjinga kiasi hiki duuuh. Hapana bana
Yaani umkubalie kumzalia kapuku kweli asiye na direction na maisha...
Au alilogwa sio akili zake hizi, mi nakataa kwa kweli..
Yaani vitu vingine ni kutumia akili ndogo tu lakini hii nakataa asee,
Chai ya moto kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣, hii scenario umeisoma vizuri lakini mkuu, ishu ni kuwa kapuku dont care. Yaani ambaye huna direction ya maisha.Kwahio makapuku hatuna haki ya kuzaliwa au sio? 🤣
Mna haki ila muwe na uwezo wa kulea sio baba jina😩Kwahio makapuku hatuna haki ya kuzaliwa au sio? 🤣
Shida watu hawataki kuambiwa ukweli we unaona Mwanaume kula yake shida,Vaa yake ni mtihani,Lipa yake kodi mpaka atishiwe notisii bado unaitegesha sindano huzioni au vidonge.🤣🤣🤣🤣🤣, hii scenario umeisoma vizuri lakini mkuu, ishu ni kuwa kapuku dont care. Yaani ambaye huna direction ya maisha.
Sasa kama mtu katelekeza mimba si obvious huyo hajielewi. Au hujui damu ya mtoto inaweza mtafuna mpaka anavyoingia kaburini....
Sijawahi ona ke mjinga kama mtoa mada...
Tatizo wabongo wengi ni wapumbavu kama sehemu zao za siri....
Mfano.
Hujawahi jiuliza kwann ma mbele ma single maza wanawezeshwa na serikali kupitia sheria kali za watoto kule hamna kukimbia mimba mkuuu. Ndo maana una shauriwa ufanye hata vasectomy ukienda huko..
Sasa huku wanakojolewa hovyo mpaka na wanywa gongo unategemea nn kama sio shida juu ya shida
Tena ukute chizi maarifa ndo aliyemtia mimba au genta aiseee.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Acha nicheke tu hii thread haijanigusa hata chembe na sijui kwann.