Nimetembelea shule inayoitwa 'Indian School Dar es Salaam'. Nimegundua wahindi wametuzidi akili sana

Nimetembelea shule inayoitwa 'Indian School Dar es Salaam'. Nimegundua wahindi wametuzidi akili sana

Habari wadau.

Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.

Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao ; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.

Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.

Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.

Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.

Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.

Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea
Kibongo bongo huu mtaala haufai hata kulia ugali kifupi ni mtaala wa kikoloni hauna tija yoyote kwa mwanafunzi unazalisha maboya tu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Habari wadau.

Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.

Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao ; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.

Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.

Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.

Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.

Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.

Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea
Kwa kufanya hivyo ndo wametuzidi sana akili?
 
Habari wadau.

Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.

Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.

Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.

Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.

Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.

Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.

Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea
Je, wasafisha vyoo yaani matopasi nao ni wahindi?
 
Ma-programmer , Engineer na wengi kwenye sekta ya sayansi wanatokea India,
Ukijaribu ku-check kwenye vitengo vya sayansi vya nchi kubwa kubwa ( USA , Australia , UK , China ) kuna Wahindi.

Hawa jamaa ni kama Waisraeli , ni very talented. Wakiingia katika nchi yako wape muda utawakuta kwenye vitengo muhimu
Hata ukienda UK wahindi ambao ni raia wa tz ni wengi kuliko watz weusi, jamaa kwa hapa bongo wametuzidi uchumi
 
Habari wadau.

Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.

Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.

Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.

Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.

Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.

Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.

Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea
HAIWEZEKANI
 
Ma-programmer , Engineer na wengi kwenye sekta ya sayansi wanatokea India,
Ukijaribu ku-check kwenye vitengo vya sayansi vya nchi kubwa kubwa ( USA , Australia , UK , China ) kuna Wahindi.

Hawa jamaa ni kama Waisraeli , ni very talented. Wakiingia katika nchi yako wape muda utawakuta kwenye vitengo muhimu
Na hawaachi culture yao hata kama kazaliwa nchi nyingine
 
Kuwa na akili inaweza kuwa na maana nyingi kutegemea na kona(angle) unayotaka kukaa.

Kwa nini sisiwe sisi kukubali wao kuwa na shule kama hiyo kwenye arhi yetu isiwe ndio akili?
 
Mkuu tukatae tukubali wahindi wametutangulia kwa mfano pamoja na kuwa US kwa mfano kuna wahamiaji kutoka afrika wengi lakini si wengi wapo kwenye nafasi za juu kwenye MNC na International org. hapa nazungumzia mfano Google unamkuta Sundar Pichai, Nenda Pepsico kuna yule mmama wa kihindi, nenda USAID alikuwepo Rajiv, Nenda IMF napo kuna muhindi yule lecture wa harvard, Harvard kuna course inaitwa financial engineering aisee wamejaa wahindi, mkuu wa dep inayotoa hiyo course ni mhindi tena wale black, kwenye engineering, IT, medical, bness wamejaa tena wale vipanga wa kufa mtu.
Mitanzania ni mijinga tuuu huo ndio ukweli halisi
 
Kuweka shule yao ndani ya nchi ambayo sio yao ni kipimo cha akili. Je Tanzania tuna shule yeyote nje ya Tanzania inayopelekewa mitihani ya necta?
Kwanza lazima kue na uihitaji huo.

Jiulize maswali yafuatayo Kisha ulejee kwenye swali lako hapo ju.

1:Ni wa Tanzania wa ngapi wako India?
2:Je wameenda huko kwa sababu zipi?

3:Je wanaweza kuendesha Shule huko India ,au kwingineko nje ya mipaka yetu?
 
Shule ikiwa ya Wahindi watupu inazushiwa ubaguzi lakini ikiwa waswahili watupu hatusemi ubaguzi
Wabongo hatujui maana ya ubaguzi, tunapinga ubaguzi wakujaguliwa, ila kubagua nisawa TU.
 
Ukweli India imetuzidi kila kitu ndiyo maana wakaamua wajenge shule inayofuata mtaala wao.kama sisi tungekuwa tuna mtaala mzuri hats wao wasingehangaika kuanzisha shule kama hizo.wagonjwa wengi wa tz ambao madaktari wa kibongo hushindwa kutibu huwapa rufaa kwenda India.operation kubwa kubwa zinazofanyika Muhimbili lazima utawakuta wanashilikiana na wahindi.kama unapesa ya kutosha peleka mwanao akasome shule za aina hizo.kiongozi gani mkubwa tz ambaye mwanae anasoma.shule ya serikali?jibu Hamna maana wanajua huu mtaala wetu ni majanga.
 
Back
Top Bottom