MillionaireMan
Senior Member
- Jul 20, 2022
- 156
- 237
Kwanza elimu yetu ipo outdated
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good question niggerKwa andiko lako ni kipi kinachoonyesha wahindi wamewazidi akili?
Kibongo bongo huu mtaala haufai hata kulia ugali kifupi ni mtaala wa kikoloni hauna tija yoyote kwa mwanafunzi unazalisha maboya tuHabari wadau.
Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.
Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao ; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.
Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.
Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.
Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.
Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.
Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea
nadhani ni hy fursa ya kibiashara aliyoiona muanzilishi wa shule hy kwa wahindi wageniKwa andiko lako ni kipi kinachoonyesha wahindi wamewazidi akili?
Kwa kufanya hivyo ndo wametuzidi sana akili?Habari wadau.
Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.
Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao ; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.
Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.
Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.
Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.
Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.
Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea
au kwa kuiona hy fursaKulingana na mada yako ungepaswa kusema wametuzidi kiuchumi (pesa) sio akili..
Je, wasafisha vyoo yaani matopasi nao ni wahindi?Habari wadau.
Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.
Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.
Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.
Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.
Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.
Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.
Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea
Hata ukienda UK wahindi ambao ni raia wa tz ni wengi kuliko watz weusi, jamaa kwa hapa bongo wametuzidi uchumiMa-programmer , Engineer na wengi kwenye sekta ya sayansi wanatokea India,
Ukijaribu ku-check kwenye vitengo vya sayansi vya nchi kubwa kubwa ( USA , Australia , UK , China ) kuna Wahindi.
Hawa jamaa ni kama Waisraeli , ni very talented. Wakiingia katika nchi yako wape muda utawakuta kwenye vitengo muhimu
HAIWEZEKANIHabari wadau.
Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.
Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.
Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.
Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.
Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.
Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.
Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea
Na hawaachi culture yao hata kama kazaliwa nchi nyingineMa-programmer , Engineer na wengi kwenye sekta ya sayansi wanatokea India,
Ukijaribu ku-check kwenye vitengo vya sayansi vya nchi kubwa kubwa ( USA , Australia , UK , China ) kuna Wahindi.
Hawa jamaa ni kama Waisraeli , ni very talented. Wakiingia katika nchi yako wape muda utawakuta kwenye vitengo muhimu
Ubaguzi umeuonaje ?Tupo katika ukoloni yaani elimu za kibaguzi
Mitanzania ni mijinga tuuu huo ndio ukweli halisiMkuu tukatae tukubali wahindi wametutangulia kwa mfano pamoja na kuwa US kwa mfano kuna wahamiaji kutoka afrika wengi lakini si wengi wapo kwenye nafasi za juu kwenye MNC na International org. hapa nazungumzia mfano Google unamkuta Sundar Pichai, Nenda Pepsico kuna yule mmama wa kihindi, nenda USAID alikuwepo Rajiv, Nenda IMF napo kuna muhindi yule lecture wa harvard, Harvard kuna course inaitwa financial engineering aisee wamejaa wahindi, mkuu wa dep inayotoa hiyo course ni mhindi tena wale black, kwenye engineering, IT, medical, bness wamejaa tena wale vipanga wa kufa mtu.
Kwanza lazima kue na uihitaji huo.Kuweka shule yao ndani ya nchi ambayo sio yao ni kipimo cha akili. Je Tanzania tuna shule yeyote nje ya Tanzania inayopelekewa mitihani ya necta?
Kwenye hilo Jambo walilolifanya! Yaani kuweka mazingira yakizazi chao kiendelee kupata Yale ya nchini kwao hali yakuwa wako nchi nyingine..Kwa andiko lako ni kipi kinachoonyesha wahindi wamewazidi akili?
Wabongo hatujui maana ya ubaguzi, tunapinga ubaguzi wakujaguliwa, ila kubagua nisawa TU.Shule ikiwa ya Wahindi watupu inazushiwa ubaguzi lakini ikiwa waswahili watupu hatusemi ubaguzi