Nimetembelea shule inayoitwa 'Indian School Dar es Salaam'. Nimegundua wahindi wametuzidi akili sana

Nimetembelea shule inayoitwa 'Indian School Dar es Salaam'. Nimegundua wahindi wametuzidi akili sana

Kiongozi kuna vitu vingine ni kuviacha tu ..

Wahindi ni miongoni mwa watu wenye strong culture and religion believes so lazima vitu km hivyo wafanye kujilinda..

Ila pia wapo wengi sana na wamesambaa duniani potee kwa hiyo kuwa na shule ilikuwa muhimu kukidhi haja zao..

tofaut na sisi unaweza kwenda London kuna watanzania labda elfu 1500 tu.. na wapo scattered hapo unadhani kutakuwa na jipya sisi ni watu wakujifungia sana ndani (nchini )maana bado nchi yetu inaweza kutumudu vizuri tu...
Nakuhakikishia hata wangekuwepo watanzania milioni moja London kufanya kitu kama hicho hatuwezi. Wahindi wako organised kishenzi na tembelea nchi nyingi uone. Siyo kama sisi!
 
Sioni kwa kufanya hivo wametuzidi akili kivipi... wahindi nimefanya nao kazi sana..

Nikuhakikishie tu kwamba wengi wao pia ni vilaza. Ila pia kama kawaida kuna vipanga.

Walichotuzidi zaidi ni English tu... ila kwingine tupo level... naongea hivi nikiwa nimesoma mtaala wa elimu wa kitanzania kuanzia vidudu
Naantombe mushi ,vilaza hata USA wapo pia,wahindi wametuzidi kila kitu,justification ya hii maneno inaweza isikuingie sana,lakini hakuna namna yakupinga hili
 
Mkuu tukatae tukubali wahindi wametutangulia kwa mfano pamoja na kuwa US kwa mfano kuna wahamiaji kutoka afrika wengi lakini si wengi wapo kwenye nafasi za juu kwenye MNC na International org. hapa nazungumzia mfano Google unamkuta Sundar Pichai, Nenda Pepsico kuna yule mmama wa kihindi, nenda USAID alikuwepo Rajiv, Nenda IMF napo kuna muhindi yule lecture wa harvard, Harvard kuna course inaitwa financial engineering aisee wamejaa wahindi, mkuu wa dep inayotoa hiyo course ni mhindi tena wale black, kwenye engineering, IT, medical, bness wamejaa tena wale vipanga wa kufa mtu.

MKuu achana nae huyo, Waafrica ujinga unatutesa sana
 
Habari wadau.

Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.

Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.

Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.

Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.

Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.

Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.

Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea

Kwa nini nasema wametuzidi akili ?

Nasema wametuzidi akili sababu Kwenye hilo Jambo kuhusu elimu yao walilolifanya! Yaani kuweka mazingira ya kizazi chao kiendelee kupata Yale ya nchini kwao hali yakuwa wako nchi nyingine..
Hivi uko Marekani utake mtaala wa Tanzania si utakuwa umepungikiwa akili jamani ama?
 
Habari wadau.

Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.

Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.

Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.

Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.

Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.

Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.

Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea

Kwa nini nasema wametuzidi akili ?

Nasema wametuzidi akili sababu Kwenye hilo Jambo kuhusu elimu yao walilolifanya! Yaani kuweka mazingira ya kizazi chao kiendelee kupata Yale ya nchini kwao hali yakuwa wako nchi nyingine..
We jamaa,hvivyo ni vitu vya kawaida ssana,hakuna Cha ajabu,uwezo wa akili haufati,dini,Race,kabila,hili lilishathibitishwa zamani sana,kama sie weusi harufanyi kama wao,ishu sio weusi wetu,
Maana kama weupe ni akili,mbona Spain nchi ilifirisika kabisa mpaka ikaomba msaada kutoka USA,na ni nchi ipo ulaya,Uturuki ni nchi ya kiislam,lakini imeendelea kama zingine za ulaya,lakini mbona,misri,moroco,Tunisia,somalia,nchi za kiislam hazina maendeleo!!
Kamsome Ben Carson kwenye kitabu,"gifted hands"atakueleza akili sio rangi ya ngozi!!!
Acha fikra za kikoloni
 
Tupo katika ukoloni yaani elimu za kibaguzi
Huo ni uongo hakuna ukoloni hapa,bali wenzetu wanajituma na wana malengo, sisi akili yetu ipo kwenye vigodoro,kutwa kuchangia harusi za mamilioni, baby shower za mamilioni na ulimbukeni wa kujenga mahekalu na kununua ma VX, wacha tubaki na kucheza filamu zetu kutangaza nchi kwa kutumia mabilioni badala ya kujenga mashule. Tungeamua hizo tozo tu za miamala zingewezesha kujenga shule nzuri sana lakini badala ya kuanzisha shule tunaanzisha timu za mpira, tozo zinaenda anzisha timu ya mpira ambako hata hakuna shule ya maana hata moja.
 
Kuweka shule yao ndani ya nchi ambayo sio yao ni kipimo cha akili. Je Tanzania tuna shule yeyote nje ya Tanzania inayopelekewa mitihani ya necta?
Tatizoa NECTA uzushi mtupu hawana Curriculum sasa watapeleka nini?
 
Habari wadau.

Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.

Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.

Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.

Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri (hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.

Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.

Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.

Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea

Kwanini nasema wametuzidi akili?

Nasema wametuzidi akili sababu Kwenye hilo Jambo kuhusu elimu yao walilolifanya! Yaani kuweka mazingira ya kizazi chao kiendelee kupata Yale ya nchini kwao hali yakuwa wako nchi nyingine.
sa we unazani ukieka mtaala wa TZ huko nchi za wenzetu nani atasoma?mtaaka mbovu
 
Back
Top Bottom