Nimetembelea shule inayoitwa 'Indian School Dar es Salaam'. Nimegundua wahindi wametuzidi akili sana

Nimetembelea shule inayoitwa 'Indian School Dar es Salaam'. Nimegundua wahindi wametuzidi akili sana

Wahindi wapo Dunia mzima na hizi shule zipo dunia nzima
 
Ukweli India imetuzidi kila kitu ndiyo maana wakaamua wajenge shule inayofuata mtaala wao.kama sisi tungekuwa tuna mtaala mzuri hats wao wasingehangaika kuanzisha shule kama hizo.wagonjwa wengi wa tz ambao madaktari wa kibongo hushindwa kutibu huwapa rufaa kwenda India.operation kubwa kubwa zinazofanyika Muhimbili lazima utawakuta wanashilikiana na wahindi.kama unapesa ya kutosha peleka mwanao akasome shule za aina hizo.kiongozi gani mkubwa tz ambaye mwanae anasoma.shule ya serikali?jibu Hamna maana wanajua huu mtaala wetu ni majanga.
Wahindi siyo saizi yetu kwenye ulimwengu wa Elimu.
IMG-20220730-WA0002(1).jpg
 
Shule nyingi za serikali hazina hadhi ya kuitwa shule nyingi ni SAwa na maboma ya mifugo. Kuanzia mazingira, viwanja vya michezo, bustani. Angalau zile za seminary unaweza ziita shule
 
Wao wamefanya hivyo kwa sababu wanaamini mtaala wao ni bora kuliko wa kwetu. Vipi kuhusu ninyi, mnafikiria hivyohivyo kwa mtaala wenu?
 
Kwenye top position kwa US ukilinganisha indians na africans indians ni wengi
Moja ya strategies za wahindi (India) ni kuexport utaalamu hasa katika maeneo ya IT. Hivyo huwa wanawapa kiwango cha juu cha elimu watoto wao ili waweze kushindana kimataifa na kushinda kwenye positions mbali mbali.

Hata ukiangalia zile nat geo competitions za wanafunzi wao wa levels tafauti utaona jinsi walivyo juu sana kielimu kuliko sisi.

Strategies za aina hii sisi waafrika hatuna.
 
Mkuu tukatae tukubali wahindi wametutangulia kwa mfano pamoja na kuwa US kwa mfano kuna wahamiaji kutoka afrika wengi lakini si wengi wapo kwenye nafasi za juu kwenye MNC na International org. hapa nazungumzia mfano Google unamkuta Sundar Pichai, Nenda Pepsico kuna yule mmama wa kihindi, nenda USAID alikuwepo Rajiv, Nenda IMF napo kuna muhindi yule lecture wa harvard, Harvard kuna course inaitwa financial engineering aisee wamejaa wahindi, mkuu wa dep inayotoa hiyo course ni mhindi tena wale black, kwenye engineering, IT, medical, bness wamejaa tena wale vipanga wa kufa mtu.

Uko sawa mkuu. Baadhi yetu tumejibu kwa harakaharaka tu kua kwani kuna nini cha ajabu, ila content wanayosoma na mazingira ya utoaji wa elimu yenyewe ni friendly kwa mtoto. Hili sisi kama Taifa bado mbaya ni kuwa hatuwezi ku maintain consistency ya ubora shule zetu nyingi ni panda shuka kwenye ubora.
 
Habari wadau.

Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.

Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.

Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.

Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.

Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.

Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.

Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea

Kwa nini nasema wametuzidi akili ?

Nasema wametuzidi akili sababu Kwenye hilo Jambo kuhusu elimu yao walilolifanya! Yaani kuweka mazingira ya kizazi chao kiendelee kupata Yale ya nchini kwao hali yakuwa wako nchi nyingine..

Tanzania iweke shule nje ya nchi[emoji23][emoji23][emoji23]
Which is which?
Why?
Viwooonder
 
Sioni kwa kufanya hivo wametuzidi akili kivipi... wahindi nimefanya nao kazi sana..

Nikuhakikishie tu kwamba wengi wao pia ni vilaza. Ila pia kama kawaida kuna vipanga.

Walichotuzidi zaidi ni English tu... ila kwingine tupo level... naongea hivi nikiwa nimesoma mtaala wa elimu wa kitanzania kuanzia vidudu

Uko sahihi[emoji817]
 
Indian community.
Arabs commnunity.
Chinise community.

Wamegundua jambo ili kulinda tamaduni zao na kumaintain status zao za maisha.
Ukishindwa kulinda utamaduni wako maana yake umechagua kuwa mtumwa na ni rahisi kuwa manipulated and compromise.

Mwafrica ameshindwa kulinda tamaduni zake na uwepo wake baadala yake amechagua kuishi kiholela na tamaduni zake kampa Mzungu matokeo yake yuko compromised na manipulated na Mzungu kadili Mzingu aonavyo inafaa.
 
Tanzania hatufanyi hivo ndio kwa sababu hatuna sababu ya kufanya hivo kwa sababu hatuna expatriate wengi wa kitanzania wanaofanya kazi nje ukilinganisha na wahindi....

Kwahiyo wahindi kuwa na shule yao hapa sioni kama ni kipimo haswa cha akili..
Kwanini Wahindi wawe wengi kwenye kufanya kazi nchi zingine ikiwemo hapa Tanzania? Na kwa nini Watanzania ni wachche wanaofanya kazi huko nje?

Nasimama na mleta mada, Akili ndio imewafanya wenzetu ikiwemo hawa Wahindi waweze kufanya kazi kwa wingi nchi zingine kwa akutengeneza ajira wao wenyewe. Ukitafuta Watanzania waliotengeneza ajira huko nje nchi zingine unaweza ukapata wachache au usipate kabisa. Sisi tumezoea kusema kubeba box yaani kutumikishwa huko kwa wenzetu.

Wahindi wakija huku kwetu wanawekeza na wala hawatafuti kubeba boksi kama sisi wabongo tukienda kwenye nchi zao.
 
Sioni kwa kufanya hivo wametuzidi akili kivipi... wahindi nimefanya nao kazi sana..

Nikuhakikishie tu kwamba wengi wao pia ni vilaza. Ila pia kama kawaida kuna vipanga.

Walichotuzidi zaidi ni English tu... ila kwingine tupo level... naongea hivi nikiwa nimesoma mtaala wa elimu wa kitanzania kuanzia vidudu
Mimi hata hiyo English hawajanizidi. Wabovu sana hata kingereza hawajui
 
Mi nimesoma nao huko Punjab, nilikuwa nawaburuza mno.....
Ila wanakariri sana
 
Habari wadau.

Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.

Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.

Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.

Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.

Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.

Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.

Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea

Kwa nini nasema wametuzidi akili ?

Nasema wametuzidi akili sababu Kwenye hilo Jambo kuhusu elimu yao walilolifanya! Yaani kuweka mazingira ya kizazi chao kiendelee kupata Yale ya nchini kwao hali yakuwa wako nchi nyingine..
Haina tofauti na IST au ISM. Labda kilicho kushangaza ni kuwa ya India badala ua UK au USA!
 
Habari wadau.

Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.

Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.

Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.

Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri ( hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.

Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.

Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.

Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea

Kwa nini nasema wametuzidi akili ?

Nasema wametuzidi akili sababu Kwenye hilo Jambo kuhusu elimu yao walilolifanya! Yaani kuweka mazingira ya kizazi chao kiendelee kupata Yale ya nchini kwao hali yakuwa wako nchi nyingine..
Kiongozi kuna vitu vingine ni kuviacha tu ..

Wahindi ni miongoni mwa watu wenye strong culture and religion believes so lazima vitu km hivyo wafanye kujilinda..

Ila pia wapo wengi sana na wamesambaa duniani potee kwa hiyo kuwa na shule ilikuwa muhimu kukidhi haja zao..

tofaut na sisi unaweza kwenda London kuna watanzania labda elfu 1500 tu.. na wapo scattered hapo unadhani kutakuwa na jipya sisi ni watu wakujifungia sana ndani (nchini )maana bado nchi yetu inaweza kutumudu vizuri tu...
 
Sioni kwa kufanya hivo wametuzidi akili kivipi... wahindi nimefanya nao kazi sana..

Nikuhakikishie tu kwamba wengi wao pia ni vilaza. Ila pia kama kawaida kuna vipanga.

Walichotuzidi zaidi ni English tu... ila kwingine tupo level... naongea hivi nikiwa nimesoma mtaala wa elimu wa kitanzania kuanzia vidudu
Ni akili gani unazungumzia ndugu yangu Mushi? Kwa sababu Tanzania kwetu kitu tunachoita ''akili'' pengine ni tofauti katika na akili za mataifa mengine kwani ''akili'' zetu hazionyeshi matunda yoyote. Unaona kama hilo la kuanzisha shule yao yenye elimu ya kiwango cha juu wewe sisi tunaweza tukaona siyo akili lakini mimi nikumbie kitu: hakuna kitu kigumu kama kuji-organize na kufanya kitu chenye manufaa kama hicho. Sisi tumeweza nini kama tuna akili? Mbona hata kuendesha nchi tu imetushinda?
 
Back
Top Bottom