Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ni wakati wa kupuuza hayo yote aliyosema.
Kuna rais aliponda matumizi ya Contraceptives pia akahimiza watu wazaane mpaka mayai tumboni yaishe na akiahidi atatoa huduma zote bure huku Waziri wa Afya naye akikazia kwa kupiga makofi na meno nje nje... imekuwaje leo twashangaa population yetu?