Nimetembelea shule za Dar es Salaam wanafunzi bado wanakaa chini mchangani, sijui mikoani kukoje!

Nimetembelea shule za Dar es Salaam wanafunzi bado wanakaa chini mchangani, sijui mikoani kukoje!

Ni wakati wa kupuuza hayo yote aliyosema.
Kuna rais aliponda matumizi ya Contraceptives pia akahimiza watu wazaane mpaka mayai tumboni yaishe na akiahidi atatoa huduma zote bure huku Waziri wa Afya naye akikazia kwa kupiga makofi na meno nje nje... imekuwaje leo twashangaa population yetu?
 
Leo nimepita shule ya msingi Upendo iliyopo Mbezi Luis jijini Dar es Salaam. Kwanza shule ina wanafunzi wengi kuliko uwezo wa madarasa mpaka wanaingia kwa shift.

Pili shift husika inabeba wanafunzi wengi mpaka wengine wanakaa chini tena sio chini kwenye sakafu, ni chini kwenye mchanga. Unaweza kusema labda wamechelewa kumalizia sakafu kipindi hiki cha kufungua shule, madarasa yamechakaa yakionekana ni ya muda mrefu bila kuwekwa sakafu. Mwalimu hawezi kupata morali ya kufundisha kwenye madarasa hayo na ratiba iliyomzidia.

Hivi ule mkopo wa benki ya dunia ndio walisema wamepeleka kwenye madarasa? Na pesa za Tozo wakasema zinaingia humohumo..

View attachment 2476017
Pichani ni wanafunzi wa darasa la 3C shule ya msingi Upendo iliyopo Mbezi Luis Dar es Saalam wakiendelea na vipindi baada ya shule kufunguliwa​
Wanafunzi wa shule za msingi sehemu kubwa wanakaa chini,japo siungi mkono Ila nakumbuka nimekaa chini Hadi STD 3 lakini inshaalah nikitoboa shule.
 
Fanyeni, semeni, payukeni, andikeni lakini mama tena muislamu ni rais mpaka 2030

Na huo ndio ukweli,
Na akimaliza sasa ndio tunaanza rasmi awamu ya muislam, kwani hii tulikuwa tunamalizia ya mkatoliki
 
Tatizo lingine kubwa la nchi hii ni overpopulation. Kama kasi ya ukuaji idadi ya watu haitadhibitiwa ili iendane na kasi ya ukuaji uchumi madarasa na madawati hayatakaa yatoshe.
Tanzania bado watu ni wachache, twahitajika kufikia angalau milioni 85 2030

Dar yenyewe bado inadai watu milioni 5
 
Hebu tuletewe na wanafunzi wa SMZ je tupo sare sare kwa hali zetu? Tunataka tujue sisi sote kama raia wa Jamuhuri ya muungano wa TZ.
Kule wanafunzi ni wachache hawafiki 100,000
 
Hudumieni kwanza hawa millioni 60 waishi kama binadamu wa karne 21 kabla ya kuongeza hao wengine milioni 25.
Tanzania bado watu ni wachache, twahitajika kufikia angalau milioni 85 2030

Dar yenyewe bado inadai watu milioni 5
 
Inatakiwa kila mzazi ahakikishe mtoto wake ana dawati la kukalia shuleni. Ukipeleka mtoto shule unapeleka na dawati. Kazi ya serikali iwe ni majengo na walimu.
Miti ya mbao ipo mingi Tanzania tunafeli wapi? Hapo hatujaja kwenye mkakati wa serikali wa kugawa tablet kwa wanafunza, kama hili la madawati tumeshindwa karne ya 21.
 
Hudumieni kwanza hawa millioni 60 waishi kama binadamu wa karne 21 kabla ya kuongeza hao wengine milioni 25.
Kila mtu ajihudumiwe mwenyewe.
Kama huna uwezo wa kuzalisha pita kushoto
 
Inatakiwa kila mzazi ahakikishe mtoto wake ana dawati la kukalia shuleni. Ukipeleka mtoto shule unapeleka na dawati. Kazi ya serikali iwe ni majengo na walimu.
Halafu Kodi zetu zinunue magari ya milioni 600 kwa ajili ya Mwigulu Nchemba na wakuu wa mikoa?

We pay taxes, the government must play it's part.
 
Leo nimepita shule ya msingi Upendo iliyopo Mbezi Luis jijini Dar es Salaam. Kwanza shule ina wanafunzi wengi kuliko uwezo wa madarasa mpaka wanaingia kwa shift.

Pili shift husika inabeba wanafunzi wengi mpaka wengine wanakaa chini tena sio chini kwenye sakafu, ni chini kwenye mchanga. Unaweza kusema labda wamechelewa kumalizia sakafu kipindi hiki cha kufungua shule, madarasa yamechakaa yakionekana ni ya muda mrefu bila kuwekwa sakafu. Mwalimu hawezi kupata morali ya kufundisha kwenye madarasa hayo na ratiba iliyomzidia.

Hivi ule mkopo wa benki ya dunia ndio walisema wamepeleka kwenye madarasa? Na pesa za Tozo wakasema zinaingia humohumo..

View attachment 2476017
Pichani ni wanafunzi wa darasa la 3C shule ya msingi Upendo iliyopo Mbezi Luis Dar es Saalam wakiendelea na vipindi baada ya shule kufunguliwa​
Kwani Dar siyo mkoani ? Unatuletea story iliyochoka
 
Hilo darasa sio kwamba halijawekwa cement. Ukweli Ni kwamba liliwekwa cementi ya mchongo bila zege. Muulizeni mwalimu mkuu kwanini amefanya hivyo. Kwanini aweke floor ya michongo?

Kuhusu watoto kurundikana Ni kwamba mzazi akiambiwa idadi imetosha akilalamika anaambiwa na mwalimu Fulani wa kike mwenye ukaribu Sana na mwalimu mkuu atoe hela ya beer mtoto aandikishwe.

Wao wenyewe wamejipangia kufundisha darasa la Saba ambàko hakuna msongamano. Mziki wanaupata walimu wa darasa la kwanza.
Sasa hawa maafisa elimu wa Kata, Tarafa na Wilaya kazi yao ni nini hasa ikiwa hawawezi kusimamia idadi sahihi ya wanafunzi kwa shule? Anyway najua wao wako interested na kudahili tuu lakini siyo quality of the education given.
 
Vipaumbele Ni magari ya milioni Mia sita.
Gari Kama la Mwigulu lile la serikali la milioni Mia sita lingeuzwa nadhani tunaweza kupata vyumba sita vya madarasa na madawati hamsini. Ungiongeza na service ya gari na mafuta kwa mwezi, tunaweza kuajiri walimu watano wa msingi.

Piga Mara mawaziri wote na manaibu. Tatizo la vyumba na madawati itakua historia. Ukiongeza na ya makatibu wakuu na banaibu wao. Tunaajiri waliku elfu kumi wa sekondary. Lakini who cares after all wanaosoma shule za kayumba hatutegemei watakua viongozi wa kesho, Hawa watakua wapiga kura tu.

Viongozi tayari wameandaliwa, Ni watoto wa kina Mwigulu, dada Joy, Malima, Makamba, Nape ( watoto wa Bashiru na Lukuvi hawamo kwenye list hata wa yule kalamaganga)
Darasa moja ni 30 milioni sasa 600 milioni itakuwa mangapi hapo?
 
WANANUNUA MA V 8 YA MILIONI 500.

SELIKALI CORRUPT INASHINDWA HATA KUWA NA MISITU YA MITI KWAAJILI YA KUTENGENEZEA MADAWATI.

KUMNYOK!!!*++#
 
Back
Top Bottom