Kuna rais aliponda matumizi ya Contraceptives pia akahimiza watu wazaane mpaka mayai tumboni yaishe na akiahidi atatoa huduma zote bure huku Waziri wa Afya naye akikazia kwa kupiga makofi na meno nje nje... imekuwaje leo twashangaa population yetu?
Wanafunzi wa shule za msingi sehemu kubwa wanakaa chini,japo siungi mkono Ila nakumbuka nimekaa chini Hadi STD 3 lakini inshaalah nikitoboa shule.Leo nimepita shule ya msingi Upendo iliyopo Mbezi Luis jijini Dar es Salaam. Kwanza shule ina wanafunzi wengi kuliko uwezo wa madarasa mpaka wanaingia kwa shift.
Pili shift husika inabeba wanafunzi wengi mpaka wengine wanakaa chini tena sio chini kwenye sakafu, ni chini kwenye mchanga. Unaweza kusema labda wamechelewa kumalizia sakafu kipindi hiki cha kufungua shule, madarasa yamechakaa yakionekana ni ya muda mrefu bila kuwekwa sakafu. Mwalimu hawezi kupata morali ya kufundisha kwenye madarasa hayo na ratiba iliyomzidia.
Hivi ule mkopo wa benki ya dunia ndio walisema wamepeleka kwenye madarasa? Na pesa za Tozo wakasema zinaingia humohumo..
View attachment 2476017
Pichani ni wanafunzi wa darasa la 3C shule ya msingi Upendo iliyopo Mbezi Luis Dar es Saalam wakiendelea na vipindi baada ya shule kufunguliwa
Tanzania bado watu ni wachache, twahitajika kufikia angalau milioni 85 2030Tatizo lingine kubwa la nchi hii ni overpopulation. Kama kasi ya ukuaji idadi ya watu haitadhibitiwa ili iendane na kasi ya ukuaji uchumi madarasa na madawati hayatakaa yatoshe.
Kule wanafunzi ni wachache hawafiki 100,000Hebu tuletewe na wanafunzi wa SMZ je tupo sare sare kwa hali zetu? Tunataka tujue sisi sote kama raia wa Jamuhuri ya muungano wa TZ.
Tanzania bado watu ni wachache, twahitajika kufikia angalau milioni 85 2030
Dar yenyewe bado inadai watu milioni 5
Miti ya mbao ipo mingi Tanzania tunafeli wapi? Hapo hatujaja kwenye mkakati wa serikali wa kugawa tablet kwa wanafunza, kama hili la madawati tumeshindwa karne ya 21.
Kila mtu ajihudumiwe mwenyewe.Hudumieni kwanza hawa millioni 60 waishi kama binadamu wa karne 21 kabla ya kuongeza hao wengine milioni 25.
Vipi kuhusu watoto na wazee wasioweza kujihudumia??Kila mtu ajihudumiwe mwenyewe.
Kama huna uwezo wa kuzalisha pita kushoto
Mtoto ana wazazi.Vipi kuhusu watoto na wazee wasioweza kujihudumia??
Halafu Kodi zetu zinunue magari ya milioni 600 kwa ajili ya Mwigulu Nchemba na wakuu wa mikoa?Inatakiwa kila mzazi ahakikishe mtoto wake ana dawati la kukalia shuleni. Ukipeleka mtoto shule unapeleka na dawati. Kazi ya serikali iwe ni majengo na walimu.
Kwani Dar siyo mkoani ? Unatuletea story iliyochokaLeo nimepita shule ya msingi Upendo iliyopo Mbezi Luis jijini Dar es Salaam. Kwanza shule ina wanafunzi wengi kuliko uwezo wa madarasa mpaka wanaingia kwa shift.
Pili shift husika inabeba wanafunzi wengi mpaka wengine wanakaa chini tena sio chini kwenye sakafu, ni chini kwenye mchanga. Unaweza kusema labda wamechelewa kumalizia sakafu kipindi hiki cha kufungua shule, madarasa yamechakaa yakionekana ni ya muda mrefu bila kuwekwa sakafu. Mwalimu hawezi kupata morali ya kufundisha kwenye madarasa hayo na ratiba iliyomzidia.
Hivi ule mkopo wa benki ya dunia ndio walisema wamepeleka kwenye madarasa? Na pesa za Tozo wakasema zinaingia humohumo..
View attachment 2476017
Pichani ni wanafunzi wa darasa la 3C shule ya msingi Upendo iliyopo Mbezi Luis Dar es Saalam wakiendelea na vipindi baada ya shule kufunguliwa
Sasa hawa maafisa elimu wa Kata, Tarafa na Wilaya kazi yao ni nini hasa ikiwa hawawezi kusimamia idadi sahihi ya wanafunzi kwa shule? Anyway najua wao wako interested na kudahili tuu lakini siyo quality of the education given.Hilo darasa sio kwamba halijawekwa cement. Ukweli Ni kwamba liliwekwa cementi ya mchongo bila zege. Muulizeni mwalimu mkuu kwanini amefanya hivyo. Kwanini aweke floor ya michongo?
Kuhusu watoto kurundikana Ni kwamba mzazi akiambiwa idadi imetosha akilalamika anaambiwa na mwalimu Fulani wa kike mwenye ukaribu Sana na mwalimu mkuu atoe hela ya beer mtoto aandikishwe.
Wao wenyewe wamejipangia kufundisha darasa la Saba ambàko hakuna msongamano. Mziki wanaupata walimu wa darasa la kwanza.
Darasa moja ni 30 milioni sasa 600 milioni itakuwa mangapi hapo?Vipaumbele Ni magari ya milioni Mia sita.
Gari Kama la Mwigulu lile la serikali la milioni Mia sita lingeuzwa nadhani tunaweza kupata vyumba sita vya madarasa na madawati hamsini. Ungiongeza na service ya gari na mafuta kwa mwezi, tunaweza kuajiri walimu watano wa msingi.
Piga Mara mawaziri wote na manaibu. Tatizo la vyumba na madawati itakua historia. Ukiongeza na ya makatibu wakuu na banaibu wao. Tunaajiri waliku elfu kumi wa sekondary. Lakini who cares after all wanaosoma shule za kayumba hatutegemei watakua viongozi wa kesho, Hawa watakua wapiga kura tu.
Viongozi tayari wameandaliwa, Ni watoto wa kina Mwigulu, dada Joy, Malima, Makamba, Nape ( watoto wa Bashiru na Lukuvi hawamo kwenye list hata wa yule kalamaganga)
Kumbe unajua hesabu.Darasa moja ni 30 milioni sasa 600 milioni itakuwa mangapi hapo?
Cha muhimu ni elimu ya uzazi wa mpango tu. Mengine tunajidanganyaMiti ya mbao ipo mingi Tanzania tunafeli wapi? Hapo hatujaja kwenye mkakati wa serikali wa kugawa tablet kwa wanafunza, kama hili la madawati tumeshindwa karne ya 21.
iyo elimu ili watu wawe na uelewa wanaandaliwa huko chini mzee baba.ukifeli kutanua uelewa wa watu kuanzia msingi usitegemee kitu uko mbeleni.Cha muhimu ni elimu ya uzazi wa mpango tu. Mengine tunajidanganya