atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Miaka 9 sema ulipigika kimaisha mkuu,wanawake wote ukawaona ni shemeji zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah! labda atakua na njia mbadalaShujaa wa mashujaa rafiki.
Huenda ikawa sababu nimewaza miaka 09 ina siku ngapi basi nikajikuta nachoka na kuchoka rafiki.Hahah! labda atakua na njia mbadala
Tumuachie mwenyewe anaijua siri yakeHuenda ikawa sababu nimewaza miaka 09 ina siku ngapi basi nikajikuta nachoka na kuchoka rafiki.
Ewaaaaa. Haya ndio maneno rafiki.Tumuachie mwenyewe anaijua siri yake
Mapadri hawaruhusiwi tu kuoa..lakini utamu muhimu..Kisa cha kukaa miaka yote hiyo!? Ulitaka kuwa padri Mkuu? Hata baadhi ya mapadri hawawezi kucheza mbali na utamu.
Una matatizo makubwa sana..kapimwe tezi dumeMimi naingia mwaka wa 10 sasa no sex
Kisa na mkasa???Hebu imagine ndo wewe sasa mda wote huo hujawahi fanya mapenz, ungejisikiaje? leo mwana jf mwenzenu natimiza miaka tisa bila zinaa, mwaka wa 2009 ndo ulikuwa mwaka wangu wa mwisho kufanya mapenz... ni miaka mingi sana kwa mwanadamu kutofanya mapenz wengi wenu mtanibeza wakati wengine hata wiki hamuwez jizuia, natumai
mwakaka huu mwez wa 8 ntaonja papuchi. mpaka sasa ninavyo andika sina dem wala mchumba naishi mwenyewe tu! japo swala la kujizuia si la kitoto ila nimeweza namshukulu mwenyez mungu kwa kunijalia uvumilivu.
Mkuu tunafanya kitu cha ajabu sana, kwa jamii ya sasa lazima mawazo yawe tofauti juu yetuUmeona ee! japo wengine wamatuchukulia kwa upande wa pili
Nilijizuia miaka 22 toka nizaliwe ckufanya mapenz mbn miaka 9 ni midogo sana mkuuHebu imagine ndo wewe sasa mda wote huo hujawahi fanya mapenz, ungejisikiaje? leo mwana jf mwenzenu natimiza miaka tisa bila zinaa, mwaka wa 2009 ndo ulikuwa mwaka wangu wa mwisho kufanya mapenz... ni miaka mingi sana kwa mwanadamu kutofanya mapenz wengi wenu mtanibeza wakati wengine hata wiki hamuwez jizuia, natumai
mwakaka huu mwez wa 8 ntaonja papuchi. mpaka sasa ninavyo andika sina dem wala mchumba naishi mwenyewe tu! japo swala la kujizuia si la kitoto ila nimeweza namshukulu mwenyez mungu kwa kunijalia uvumilivu.