Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Dawa yoyote inatabia yakujenga usugu Ila sidhani Kama Mara nne pekee inaweza kuwa hivyoSawa lakini kwa kipindi ambacho nimetumia siwezi kuwa nimejisababishia usugu... wasiwasi wangu ndio uko hapo tu...chanzo nimeshakifahamu na nitabadilika
Ushauri mzuri, mimi sio kwamba nataka kufahamu hilo ili niendelee na mtindo hatarishi, nauliza tu ili kupata peace of mind basi...acha ulevi na uzinzi ndio suluhisho, hayo mambo ya kutafuta sijui inatengeneza usugu wa nini na nini ni kujisumbua, mwisho wa siku mwanakulifind mwana kuliget
Na mimi case yangu ni mara nne kwa miaka tofauti tofautiDawa yoyote inatabia yakujenga usugu Ila sidhani Kama Mara nne pekee inaweza kuwa hivyo
Kweli kaka... ushauri mzuri sana, nataka tu kujua kwa kipindi nilichotumia kama sijapata changamoto yoyote kama usugu n.kbahati mbaya kwenye uzinzi ikiwa mara nyingi Huwa inabadilika inakuwa makusudi!
Nafikiri tatizo ni pombe na uzinzi ,ukiacha hivi PEP utaisoma jf,acha pombe, ukiacha pombe ,uzinifu utabaki kwenye gari la pombe na wewe utakuwa umeshuka kusubili gari lingine
Sio siri nimepata woga sana mpaka nimepoteza confidenceAcha uoga ww
Elezea vizuri condom inapasukaje kwa hawa wadada wenye nyuchir zilizotanuka ?Sio siri nimepata woga sana mpaka nimepoteza confidence
Nimeamua kubadilika kuepukana na risks, ila nataka kujua tu kama so far niko salamaUnatibu ugonjwa kwa gharama ya figo.
Inategemea na mwili wa mtu piaDawa yoyote inatabia yakujenga usugu Ila sidhani Kama Mara nne pekee inaweza kuwa hivyo
Hivi hamna vipimo vya kujua kama dawa fulani ina usugu kwa mtu au haina?Inategemea na mwili wa mtu pia
Kipimo hadi uone imegomaHivi hamna vipimo vya kujua kama dawa fulani ina usugu kwa mtu au haina?
Zinapasuka, inategemea umeivaajeElezea vizuri condom inapasukaje kwa hawa wadada wenye nyuchir zilizotanuka ?
Unatumia zile za msdZinapasuka, inategemea umeivaaje
Acha tu kaka, nimejifunzaUnatibu ugonjwa kwa gharama ya figo.
Asante, ni mapito na changamoto za maishaKwakweli tunatofautiana sana. Yaani kuna vitu kama PEP kuna wengine hata hatuviwazi wala kujadili ila kuna wengine vinapelekea hata kuwapa depression. Pole mkuu.
PoleAcha tu kaka, nimejifunza