Hatari akina igwe wametisha... Mimi nikiona eti kibinti mtandaoni kinaleta shobo iwe telegram sijui wapi kinaanza sijui I am what what... Nakiblock. Najua ni igweeMkuu kuna muda mimi walinipa na tracking number,wanakupa na website ya kutrack mzigo wako
Hao ni matapeliHabari za wakati huu wapendwa,
Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku na umefika Kenya katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi.
Naomba msaada kutoka kwa wale wenye uzoefu, ni kweli au ni uwongo? Sijui kama ni matapeli au la. Mzigo umewasili asubuhi ya leo na wameniambia niulete Tabora, lakini wameniambia kuna gharama ya kusafirisha ya Tsh 70,000 kuja Tanzania.
View attachment 2934123View attachment 2934124View attachment 2934125View attachment 2934126
Ndugu,Achana kabisa na hao watu.. Ni matapeli, tena hawapo mbali ni matapeli wa hapo Kenya Nairobi. Watakukausha hela zako kwa kigezo cha kwamba ni hela ya kusafirisha au kukomboa hivyo vitu.Habari za wakati huu wapendwa,
Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku na umefika Kenya katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi.
Naomba msaada kutoka kwa wale wenye uzoefu, ni kweli au ni uwongo? Sijui kama ni matapeli au la. Mzigo umewasili asubuhi ya leo na wameniambia niulete Tabora, lakini wameniambia kuna gharama ya kusafirisha ya Tsh 70,000 kuja Tanzania.
View attachment 2934123View attachment 2934124View attachment 2934125View attachment 2934126
Habari za wakati huu wapendwa,
Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku na umefika Kenya katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi.
Naomba msaada kutoka kwa wale wenye uzoefu, ni kweli au ni uwongo? Sijui kama ni matapeli au la. Mzigo umewasili asubuhi ya leo na wameniambia niulete Tabora, lakini wameniambia kuna gharama ya kusafirisha ya Tsh 70,000 kuja Tanzania.
View attachment 2934123View attachment 2934124View attachment 2934125View attachment 2934126
😂😂😂Baba angu anajifanyaga muhuni anajua mbinu zote za wahuni coz kaishi nao sana SA. Ila siku moja nilimvua vyeo alipokua ananiuliza jinsi ya kupokea mzigo wake wa laptop kutoka kwa rafik yake wa Facebook.
Nilicheka sana