Nimeutua mzigo mzito jana usiku

Unaabudu uzuri wa mwanamke? Utateseka sana chini ya jua hili, Kuna mambo mengi mno yanataka umakini!
 
Tatizo sio urembo wake tatizo ni wewe kuvamia mademu wa watu huku unajikokota una pesa.

Sasa kijana mwenzetu piga hesabu mpaka sasa umeliwa bei gani?

Ungenunua hata boda boda
 
Bahati yako umechoropoka, ungekamuliwa mpaka hela ya mwisho,
 
Aisee wanawake sijui wanajiokoteaga wapi mazoba wa hivi... Anyways pole mkuu... Me nikishamtomba mwanamke hata mara moja anatakiwa awe anafuata maelekezo yangu kama hawez nampiga chini moja kwa moja... Nisumbue sijakukaza, nikishakukaza aisee siangalii nyuma...
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣, umemla mara 3 tu aseeeee πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Washamba hawaishi kumbe
agawe namba tumshambulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…