Nimeyakanyaga kwa mtoto wa kishua, napasuka kibunda kujifanya ninazo

Nimeyakanyaga kwa mtoto wa kishua, napasuka kibunda kujifanya ninazo

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest.

Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa.

Nilitaka nipige na kusepa lakini wahenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka kwa kuchovya mara moja, binti kaninogea acheni tu, ni first year wale wa mwaka wa kwanza kutoka form 6.

huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna siku 1 alikuja na mabesti zake watatu.

Uzuri tu ni kwamba kifedha naona yupo vizuri na hana mkopo anatumiwa pesa na mzee wake, sijawahi kumnunulia bando Wala kumpa hela ya usafiri wala nywele

nagharamika hotelini tu, hanywi pombe na kula yake ni ya kistaarabu sio ya kufakamia, hata ulaji wake tu unaonekana haya mambo ya hotel kwake kawaida

Penzi na enjoy lakini chamoto nakiona, hizi gharama kwangu zinanipiga ngumi ndoike maana hazikwepeki
 
Kishua hawatangazaji njaa sema umempata muigizaji anaishi uswazi na wanajua kudeka ukiwa endekeza wanakunyosha kisawasawa.

Tena huyo mwanafunzi wa chuo kazi unayo, ila ukiwa una mentally ya kihuni plus ukauzu unaweza piga yeye na marafiki zake sababu tu ya tamaa zao za fedha mabinti wa chuo wengi hawanaga mishipa ya aibu.
 
Kishua hawatangazaji njaa sema umempata muigizaji anaishi uswazi na wanajua kudeka ukiwa endekeza wanakunyosha kisawasawa.Duu huyo wako mwanafunzi wa chuo kazi unayo, ila ukiwa una mentally ya kihuni plus ukauzu unaweza piga yeye na marafiki zake sababu tu ya tamaa zao.
Sasa ndugu 20k nayo ni ya kulia?

Hiyo ni bei ya wine ya kawaida tu...saint Anna au Robertson tu kabla hata mtoto hajala makange
 
Sasa kwanin ulalamike? Mpelekee moto yeye na mabeste zake wote.
We ndo hujaelewa logic yake, anakusaidia kula hela zako, lkn pia ana huruma so kakuletea na wenzake wamsaidie kwenye ndonga. Piga nyama sijui asali wote hao.
But on the other hand, kweli unalalamika laki 2 kwa siku kumi? Duh! Rudi tu kwenu ukachunge ng'ombe
 
Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest. Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa.

Nilitaka nipige na kusepa lakini wakenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka kwa kuchovya mara moja, binti kaninogea acheni tu.

Ila sasa huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna muda anakuja na mabesti zake watatu!
Pasuka tu mwanangu hiyo ndo definition ya back to back
 
Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest. Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa.

Nilitaka nipige na kusepa lakini wakenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka kwa kuchovya mara moja, binti kaninogea acheni tu.

Ila sasa huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna muda anakuja na mabesti zake watatu!
Wakishua akikuelewa mnakula na za kwake,huyo ni vitoto vya tandika /buguruni sheli na ukiwaletea Mambo ya kulamba lips zako wakti unaongea nae utaudumia mpaka mama yake nyumbani.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom