Nimeyakanyaga kwa mtoto wa kishua, napasuka kibunda kujifanya ninazo

Nimeyakanyaga kwa mtoto wa kishua, napasuka kibunda kujifanya ninazo

Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest. Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa.

Nilitaka nipige na kusepa lakini wakenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka kwa kuchovya mara moja, binti kaninogea acheni tu.

Ila sasa huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna muda anakuja na mabesti zake watatu!
acha kumkweza, huyo hawezi kuwa wa kishua, ni wa kutoka familia ya kawada tu.

amekuona wewe boya umedata kwa uzuri wake, acha akupukutishe.
 
Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest. Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa.

Nilitaka nipige na kusepa lakini wakenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka kwa kuchovya mara moja, binti kaninogea acheni tu.

Ila sasa huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna muda anakuja na mabesti zake watatu!
Kwa hiyo mwaisa laki mbili ukamua kuja Jf kumsimanga mtoto wa watu siyo..
Achana na mapenz tu fanya kilichokupeleka
 
Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest. Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa.

Nilitaka nipige na kusepa lakini wakenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka kwa kuchovya mara moja, binti kaninogea acheni tu.

Ila sasa huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna muda anakuja na mabesti zake watatu!
Umekulia familia duni, umeajiriwa vihela vinakutia uchizi na kuwa mshamba wa wanawake wa mjini kiasi hicho. Kijijini wazee wanavaa kandambili we' unavimba town! Siyo level yako, kifupi humuwezi huyo, waachie akina Kiduku lilo utachanika msamba shauri yako
 
Kishua hawatangazaji njaa sema umempata muigizaji anaishi uswazi na wanajua kudeka ukiwa endekeza wanakunyosha kisawasawa.

Tena huyo mwanafunzi wa chuo kazi unayo, ila ukiwa una mentally ya kihuni plus ukauzu unaweza piga yeye na marafiki zake sababu tu ya tamaa zao za fedha mabinti wa chuo wengi hawanaga mishipa ya aibu.
Jamaa lishmba kweli yaani
 
acha kumkweza, huyo hawezi kuwa wa kishua, ni wa kutoka familia ya kawada tu.

amekuona wewe boya umedata kwa uzuri wake, acha akupukutishe.
Jamaa BWEGE kweli hili. Hata akiwa mrembo kama malaika ni mwiko kuonesha ume appreciate
 
Laki mbili ?? Au ulikuwa wamaanisha kwa siku au ndo jumla hyo .
Acha kuangusha game janaume ww , anakujaje na mabeshte na hufanyi kitu .
Wanikumbusha pisi Moja matata ,ayra kalame enzi nikiwa chuo ,chombo nlikitafuna yy na group nzima ya madem 5 ndani ya mwezi bila buguza,nlichambua mbuga wakija kujua tarimbo ilikuwa ishasafisha group nzima .
Unaonea huruma mzigo ,piga tunda sawasawa , Kisha oya mambo ya laki mbili siku kumi JF usituletee Mzee .
 
Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest.

Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa.

Nilitaka nipige na kusepa lakini wakenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka kwa kuchovya mara moja, binti kaninogea acheni tu.

Ila sasa huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna siku alikuja na mabesti zake watatu

Uzuri tu ni kwamba hanywi pombe na kula yake ni ya kistaarabu sio ya kufakamia na haleti marafiki zake ovyo
Piga wote kuna faida pia binti akija na wenzie
 
Nipo Mbeya kikazi hapa naishi karibu na mbuga ya mabinti wa vyuo takribani vitano huku maeneo ya forest.

Ukitaka mwendo tia gia havijileti, kidume nimejikoki kwa pisi kali ya chuo lakini mziki naopitia siyo poa.

Nilitaka nipige na kusepa lakini wakenga walisema ukionja asali huwezi kutosheka kwa kuchovya mara moja, binti kaninogea acheni tu.

Ila sasa huyu binti ni siku ya 10 hii nimegharamika takribani laki 2 kumpeleka hotelini na kuna siku alikuja na mabesti zake watatu

Uzuri tu ni kwamba hanywi pombe na kula yake ni ya kistaarabu sio ya kufakamia na haleti marafiki zake ovyo
Laki 2 unalalamika, unaniangusha aisee...tena kwa siku 10 means on average ni 20k per day.
 
Back
Top Bottom