Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Daaah! Qmamake 🤣🤣🤣🙌Atafute size yake,mbona wauza mapeaz kwenye visinia barabarani wapo wengi sana nao wanataka waume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah! Qmamake 🤣🤣🤣🙌Atafute size yake,mbona wauza mapeaz kwenye visinia barabarani wapo wengi sana nao wanataka waume
Akili zako finyu,kwenda Amerika kusini gharama yake ni mara 3 ukifananisha na kwenda nchi za ulaya kutokea.unaweza unga safar sanaStill bado kapuku mwenzio tu. Kwenda abroad hasa America ya kusini hata kaskazini haiondoi ukapuku
Wote makapuku tu we na huyo demAki
Akili zako finyu,kwenda Amerika kusini gharama yake ni mara 3 ukifananisha na kwenda nchi za ulaya kutokea.unaweza unga safar sana
Hahaha mpuguso ya wapi mkuu...🤣🤣🤣Nyoko eti siku 10 umetumia 200k hotel,kula,kunywa halafu sometime mnakua wa5...mkuu hapo sio mbeya wewe ulikua MPUGUSO
Umewaza Kama Mimi. Nakumbuka Kuna kenge niliipa offer ya dinner ikaja na marafiki wawili, sisi tulikuwa wawili sehemu inaitwa bonasera Mwanza asee ile bill ilikuwa ya moto siwezi kuiweka hapa nitachekwa na dunia nzima.Laki mbili? Au million 2? Kweli Mbeya tuna hotel very cheap😔
Afu kwann wanakuja na marafiki🤦Umewaza Kama Mimi. Nakumbuka Kuna kenge niliipa offer ya dinner ikaja na marafiki wawili, sisi tulikuwa wawili sehemu inaitwa bonasera Mwanza asee ile bill ilikuwa ya moto siwezi kuiweka hapa nitachekwa na dunia nzima.
Ni dalili za ushamba tu Mimi nadhani, baada ya pale mmoja wa wale marafiki zake anataka kupindua meza nikawashangaa sana watoto wa kike.Afu kwann wanakuja na marafiki🤦
Ujinga tuNi dalili za ushamba tu Mimi nadhani, baada ya pale mmoja wa wale marafiki zake anataka kupindua meza nikawashangaa sana watoto wa kike.
😜Hiyo laki mbili ukigawanya Kwa kumi unapata elfu ishirini Kwa siku!
Mnapenda hoteli gani hata mfiemo,haitoshi!
Acha kutufanya mazoba kutumia 20k ukiwa na mwanamke Kwa siku ni hesabu ya kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpeleke gheto kwako mwambie mpnz nataka nionje mapishi yako/privacy na wewe kama unaona noma endelea kutoboka ukiishiwa pumzi utamsanua tu ukweli
Tabia mbaya hii, wacha wapinduliwe tu hakuna namna.Afu kwann wanakuja na marafiki[emoji1751]
Ni ajabu sanaTabia mbaya hii, wacha wapinduliwe tu hakuna namna.
Sasa mkuu mbona huku jiamini? Wewe umempa offer mwanamke mmoja yeye kaja na wenzake we wenzake ungeachana nao tu we ungelipa bill ya watu wawiliUmewaza Kama Mimi. Nakumbuka Kuna kenge niliipa offer ya dinner ikaja na marafiki wawili, sisi tulikuwa wawili sehemu inaitwa bonasera Mwanza asee ile bill ilikuwa ya moto siwezi kuiweka hapa nitachekwa na dunia nzima.