Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu

Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu

Ukimwi ungekuwa unaambukizwa kwa majimaji basi wanzinzi wote NI positive , mchakato WA kuambukizana ukimwi ipo hivi
1.kupitia kunyonyana Denda , Hii NI njia rahis Sana ya kuyakanyaga maana kwenye kunyonya mate unaweza ukanyonya na damu ukaimeza nafikiri wengi huwa wanapata ukimwi kupitia Hii njia

Zingine ni
2.kunyonya kisimi
3. Kunyonya mboo Yenye michubuko
4.Wakati WA kusex na hapa kama wote mtakuwa na michubuko ni rahis kupata

Wale msiopenda kinga na kupima Hakikisha K ina Ute WA kutosha, pia k ya kubana sio nzuri NI rahis kupata maambukiz , pendelea k ambazo hupati shida kuingiza [emoji533], epuka Sana Denda, maana unaweza tumia condom lakini ukaupatia kwenye Denda
Kingine usipende kurudia game et round 5 usiku mmoja , round moja au mbili inatosha pita hiv , round zingine **** inakuwa kavu au inawahi kukauka ni rahis kumchubua mwenzio ,
 
Kwa kumuangalia mapokeo ya majibu yake ni alikuwa anajua, she knew her status for sure maana chapchap alini-beg nisimpige
Uwe na amani budda.

Hawa akinamama wengi wao wanakula dawa tayari maana wanapimwa kule klinik zao za mambo ya uzazi.

sema hawezi kukwambia kama ana iyo shida maana anajua kifatacho itv.

ila sasa nawew daah

unakula stereo mtu hujamjua vizuri¿
 
Nakushauri nenda kapime Kwanza,,unaweza ikawa upo negative.

Mimi niliwahi kusex na wanawake tofauti 3 kwa kipindi tofauti na wote walikuwa HIV POSITIVE,,


mwisho wa mchezo nipo Salama hadi sasa.

Alhamdulillah.

-Angalizo

Epuka matumizi ya mkongo,

Kuepuka michubuko wakati wa tendo
 
Kwa nn hukutumia kondomu au ndio ulizimeza?

unajua nye.ge ua hazina adabu. zikitamalaki maungoni mja hufikwa mambo haya apa;

- mwili mzima kuzungukwa na makopakopa na malovebite💞🥰.

- kujihisi unabebishwabebishwa kila upande kusini na kaskazi.

- akili zote za kichwa cha juu kuhamia kichwa cha chini haraka sana👇

- kujihisi kama unataka kumkabidhi bibie kadi ya ATM au hata mshahara wote.

- Ukishtuka na kukaa sawa unagundua kumbe mnatafuta bao la 3 na bibie na wkt wote uo KUMBE mlikuwa mwendo wa nyama kwa nyama!!🤯🤯

- unashtuka ebhoo😳 akili zinarudi haraka kichwa cha juu.

- mara unaskia kale kawimbo maarufu kakijiimbisha kenyewe kichwani mwako "niagieni niagieni"😭😭
 

Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia.

Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki afya zetu hasa HIV kabla hatujafanya chochote. Ila kama mjuavyo penzi la kwanza huwa na nguvu sana, ile tunaingia tuu ndani tumekumbatiana ndo hatukuachiana mpaka kila mmoja alipofika kileleni.

Tumeenda round 2, kisha tukala chakula. Kabla hatujaenda ya 3 ndipo tukakumbuka kupimana. Asalaleeeh!!! Majibu kutoka mwenzangu amewaka, tena amewaka kwelikweli maana hiyo line ya test ilivyo bold siyo mchezo!!!

Kwa kumuangalia mapokeo ya majibu yake ni alikuwa anajua, she knew her status for sure maana chapchap alini-beg nisimpige. Hakujua mimi nina roho ngumu kama paka.

Palepale niliondoka na kwenda hospitali, nikaelezea situation nzima na wakanipa PEP ambazo ndizo napambana nazo mpaka sasa, japo zinazingua kwelikweli lakini hamna namna..

Lengo la kulileta hapa ni ili wana JF wenzangu mjifinze kupitia mimi. Funzo kubwa hapa ni usimuamini yeyote, kabla hamjavuana nguo ni vizuri mkapima kabla, au ikishindikana tumieni njia za ngono salama ili msije mkapitia ninayoyapitia mimi, maana si jambo rahisi.

Funzo la pili mtakalolipata ni matumizi ya PEP kama yanasaidia ama laah. Kwa research zilivyo, PEP zina 80% ya kuzuia maambukizi endapo zinatumiwa inavyopaswa, 20% haziwasaidii na wanapata maambukizi.

Hivyo baada ya kumaliza PEP, itabidi nikae siku 28 ndipo nije nipime. Endapo, nitakuwa NEGATIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la 80%, nikiwa POSITIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la wale 20%.

Tukutane hapahapa kwenye Next Episode baada ya kumaliza PEP na kupima.
Pole sana mkuu, ila niambie hio picha umepigia simu gani?
 
Nshakunywa hizo PEP kama mara 3, yaani nimetembe na mademu kama wewe kuja kuwapima Wana ngoma sema ilikuwa within 72hrs watatu wote
 
Asanteni nyote kwa kuendelea kunipa moyo na kunitia nguvu katika kipindi hiki kigumu kwangu.

Wale mnaoweka comment za utani na kukatisha tamaa zaidi pia asanteni sana, yote kheri.

Ndio nimeianza wiki ya 2 nikiwa kwenye PEP. Kiukweli hizi dawa zinatesa sana, usipokuwa mvumilivu unaishia njiani.
 
PEP za sasa ni TLD hazina shida yoyote hazisumbui kabisa nilitumia mwezi March au wewe wamekupa ipi?.

Niliwahi pitia hali kama yako 2018 sitasahau nilikonda ndani ya wiki 2 sikia kwa mwenzio aise.
 

Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia.

Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki afya zetu hasa HIV kabla hatujafanya chochote. Ila kama mjuavyo penzi la kwanza huwa na nguvu sana, ile tunaingia tuu ndani tumekumbatiana ndo hatukuachiana mpaka kila mmoja alipofika kileleni.

Tumeenda round 2, kisha tukala chakula. Kabla hatujaenda ya 3 ndipo tukakumbuka kupimana. Asalaleeeh!!! Majibu kutoka mwenzangu amewaka, tena amewaka kwelikweli maana hiyo line ya test ilivyo bold siyo mchezo!!!

Kwa kumuangalia mapokeo ya majibu yake ni alikuwa anajua, she knew her status for sure maana chapchap alini-beg nisimpige. Hakujua mimi nina roho ngumu kama paka.

Palepale niliondoka na kwenda hospitali, nikaelezea situation nzima na wakanipa PEP ambazo ndizo napambana nazo mpaka sasa, japo zinazingua kwelikweli lakini hamna namna..

Lengo la kulileta hapa ni ili wana JF wenzangu mjifinze kupitia mimi. Funzo kubwa hapa ni usimuamini yeyote, kabla hamjavuana nguo ni vizuri mkapima kabla, au ikishindikana tumieni njia za ngono salama ili msije mkapitia ninayoyapitia mimi, maana si jambo rahisi.

Funzo la pili mtakalolipata ni matumizi ya PEP kama yanasaidia ama laah. Kwa research zilivyo, PEP zina 80% ya kuzuia maambukizi endapo zinatumiwa inavyopaswa, 20% haziwasaidii na wanapata maambukizi.

Hivyo baada ya kumaliza PEP, itabidi nikae siku 28 ndipo nije nipime. Endapo, nitakuwa NEGATIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la 80%, nikiwa POSITIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la wale 20%.

Tukutane hapahapa kwenye Next Episode baada ya kumaliza PEP na kupima.
Pole sana hivyo dose ya PPE Ukinywa unajikuta kama una elea hewani.
 
..

IMG_20231112_214816.jpg
 
Back
Top Bottom