Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu

Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu


Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia.

Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki afya zetu hasa HIV kabla hatujafanya chochote. Ila kama mjuavyo penzi la kwanza huwa na nguvu sana, ile tunaingia tuu ndani tumekumbatiana ndo hatukuachiana mpaka kila mmoja alipofika kileleni.

Tumeenda round 2, kisha tukala chakula. Kabla hatujaenda ya 3 ndipo tukakumbuka kupimana. Asalaleeeh!!! Majibu kutoka mwenzangu amewaka, tena amewaka kwelikweli maana hiyo line ya test ilivyo bold siyo mchezo!!!

Kwa kumuangalia mapokeo ya majibu yake ni alikuwa anajua, she knew her status for sure maana chapchap alini-beg nisimpige. Hakujua mimi nina roho ngumu kama paka.

Palepale niliondoka na kwenda hospitali, nikaelezea situation nzima na wakanipa PEP ambazo ndizo napambana nazo mpaka sasa, japo zinazingua kwelikweli lakini hamna namna..

Lengo la kulileta hapa ni ili wana JF wenzangu mjifinze kupitia mimi. Funzo kubwa hapa ni usimuamini yeyote, kabla hamjavuana nguo ni vizuri mkapima kabla, au ikishindikana tumieni njia za ngono salama ili msije mkapitia ninayoyapitia mimi, maana si jambo rahisi.

Funzo la pili mtakalolipata ni matumizi ya PEP kama yanasaidia ama laah. Kwa research zilivyo, PEP zina 80% ya kuzuia maambukizi endapo zinatumiwa inavyopaswa, 20% haziwasaidii na wanapata maambukizi.

Hivyo baada ya kumaliza PEP, itabidi nikae siku 28 ndipo nije nipime. Endapo, nitakuwa NEGATIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la 80%, nikiwa POSITIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la wale 20%.

Tukutane hapahapa kwenye Next Episode baada ya kumaliza PEP na kupima.
images (29).jpeg
 
msimuumize moyo, hivyo vipimo kuna baadhi ya mikoa hapahapa mfano Dodoma, kuna doctor mmoja alinambia vinadanganya. ila kama mwanamke alijua, basi, kama utelezi ulikuwepo wa kutosha, kuna uwezekano mdogo sana ukasavaivu. kuna mwezi nilienda Dodoma kikazi, nikapigwa na malaria kali kwelikweli,nikaenda kupima, nikaambiwa hakuna malaria wala nini. nikawa naendelea na shughuli morogoro, nikapima nikaonekana nina malaria kali. nikamwuliza kwanini Dodoma nimepima juzi ilikuwa hakuna malaria, akanambia kuwa hali ya hewa ya Dodoma wakati mwingine malaria huwa hazionekani. kuna uwezekano hata kwenye hiv test ya aina hiyo ikaonyesha negative kama ilivyo kwako, kumbe unavyo. sijui kama nilidanganywa na huyo doctor ama la.
We si uliambiwa kuhusu malaria ya nn umtishe mwenzio
 
msimuumize moyo, hivyo vipimo kuna baadhi ya mikoa hapahapa mfano Dodoma, kuna doctor mmoja alinambia vinadanganya. ila kama mwanamke alijua, basi, kama utelezi ulikuwepo wa kutosha, kuna uwezekano mdogo sana ukasavaivu. kuna mwezi nilienda Dodoma kikazi, nikapigwa na malaria kali kwelikweli,nikaenda kupima, nikaambiwa hakuna malaria wala nini. nikawa naendelea na shughuli morogoro, nikapima nikaonekana nina malaria kali. nikamwuliza kwanini Dodoma nimepima juzi ilikuwa hakuna malaria, akanambia kuwa hali ya hewa ya Dodoma wakati mwingine malaria huwa hazionekani. kuna uwezekano hata kwenye hiv test ya aina hiyo ikaonyesha negative kama ilivyo kwako, kumbe unavyo. sijui kama nilidanganywa na huyo doctor ama la.
Hii sidhani kama ina ukweli wowote, vipimo vidanganye kwasababu ya hali ya hewa??
 
Kuna dawa zinaitwa Prep yaan hizo unameza halafu unadunda kwa mwezi mzima kavukavu na hupati maambukizi. Kwa sasa hizi dawa serikali inatoa kwa wauguzi (madaktari/manesi), wasaganaji na mashoga only.
Bora zifichwe TU
Kuna vijana watapekua ovyo kizembe
 

Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia.

Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki afya zetu hasa HIV kabla hatujafanya chochote. Ila kama mjuavyo penzi la kwanza huwa na nguvu sana, ile tunaingia tuu ndani tumekumbatiana ndo hatukuachiana mpaka kila mmoja alipofika kileleni.

Tumeenda round 2, kisha tukala chakula. Kabla hatujaenda ya 3 ndipo tukakumbuka kupimana. Asalaleeeh!!! Majibu kutoka mwenzangu amewaka, tena amewaka kwelikweli maana hiyo line ya test ilivyo bold siyo mchezo!!!

Kwa kumuangalia mapokeo ya majibu yake ni alikuwa anajua, she knew her status for sure maana chapchap alini-beg nisimpige. Hakujua mimi nina roho ngumu kama paka.

Palepale niliondoka na kwenda hospitali, nikaelezea situation nzima na wakanipa PEP ambazo ndizo napambana nazo mpaka sasa, japo zinazingua kwelikweli lakini hamna namna..

Lengo la kulileta hapa ni ili wana JF wenzangu mjifinze kupitia mimi. Funzo kubwa hapa ni usimuamini yeyote, kabla hamjavuana nguo ni vizuri mkapima kabla, au ikishindikana tumieni njia za ngono salama ili msije mkapitia ninayoyapitia mimi, maana si jambo rahisi.

Funzo la pili mtakalolipata ni matumizi ya PEP kama yanasaidia ama laah. Kwa research zilivyo, PEP zina 80% ya kuzuia maambukizi endapo zinatumiwa inavyopaswa, 20% haziwasaidii na wanapata maambukizi.

Hivyo baada ya kumaliza PEP, itabidi nikae siku 28 ndipo nije nipime. Endapo, nitakuwa NEGATIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la 80%, nikiwa POSITIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la wale 20%.

Tukutane hapahapa kwenye Next Episode baada ya kumaliza PEP na kupima.
Kama uliiandaa vyema Mbunye yake na ikawa na Ute Ute mwingi, hakuwa katoka kumaliza Period yake si chache zilizopita, hakuwa na Mchubuko na Wewe Bolo lako limeshaanza kugusagusa Maji ya Mbunyeni Kwake, huna Mchubuko wowote na ulikuwa Ukiuchomeka Ukuni wako very gently and sexy niamini 100% GENTAMYCINE kuwa hajakuambukiza / hujaambukizwa Virusi vya Gitaa la Solo la Dally Kimoko ( HIV )

Ingekuwa ni rahisi hivyo kupata Maambukizi basi GENTAMYCINE ningeshakuwa Muathirika tokea mwaka 2000 kwani Kutwa nafululiza Kuwabandua tu ( tena bila ya Condom kwani sipendi inaondoa Utamu Kunoga wa Mbunye ) Wanawake wa kila Kada.

Sina choices ya Mbunye Mimi ilimradi tu ni Mwanamke na ana Mbunye basi akijaa tu katika 18 yangu lazima ahangaike Kibaiolojia na Bolo ninalolimiliki na lililotukuka.

Ushauri wangu mkubwa Kwako ( na kwa Wengine wakiupenda ) ni kwamba Siku zingine ukiona una Demu na humuamini paka Mafuta ( Wese ) katika Bolo lako Komavu kisha pakaa pia na Kwake ( Mbunyeni ) kisha anza Kumbandua.

Na jitahidi sana uwe unabandua Goli Moko Moko ( Moja Mona ) tu ukiwa na Demu usiyemuamini na usiende nae Goli Mbili au Tatu kwani Goli / Bao hasa la UKIMWI ni la Pili kwakuwa hapa 90% ya Wanaume kutokana na Uhalisia wetu wa Maisha, Lishe na Ugumu wake + Stress, Njaa na Frustrations huwa tunalitafuta mno na matokeo yake unakuta unaisugua sana Mbunye kwa Bolo lako ili Ukojoe lakini unajikuta Unachelewa hivyo kusababisha Ute Ute ( Maji Maji ) ya Ukeni / Mbunyeni Kukauka na kujikuta mnaanza Kuchubuana na Kuumizana na pengine hata Kuambukizana kirahisi kama Mmoja wenu ameshaathirika.

Acha Uoga Dogo/ Kijana haujaukwaa.
 

Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia.

Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki afya zetu hasa HIV kabla hatujafanya chochote. Ila kama mjuavyo penzi la kwanza huwa na nguvu sana, ile tunaingia tuu ndani tumekumbatiana ndo hatukuachiana mpaka kila mmoja alipofika kileleni.

Tumeenda round 2, kisha tukala chakula. Kabla hatujaenda ya 3 ndipo tukakumbuka kupimana. Asalaleeeh!!! Majibu kutoka mwenzangu amewaka, tena amewaka kwelikweli maana hiyo line ya test ilivyo bold siyo mchezo!!!

Kwa kumuangalia mapokeo ya majibu yake ni alikuwa anajua, she knew her status for sure maana chapchap alini-beg nisimpige. Hakujua mimi nina roho ngumu kama paka.

Palepale niliondoka na kwenda hospitali, nikaelezea situation nzima na wakanipa PEP ambazo ndizo napambana nazo mpaka sasa, japo zinazingua kwelikweli lakini hamna namna..

Lengo la kulileta hapa ni ili wana JF wenzangu mjifinze kupitia mimi. Funzo kubwa hapa ni usimuamini yeyote, kabla hamjavuana nguo ni vizuri mkapima kabla, au ikishindikana tumieni njia za ngono salama ili msije mkapitia ninayoyapitia mimi, maana si jambo rahisi.

Funzo la pili mtakalolipata ni matumizi ya PEP kama yanasaidia ama laah. Kwa research zilivyo, PEP zina 80% ya kuzuia maambukizi endapo zinatumiwa inavyopaswa, 20% haziwasaidii na wanapata maambukizi.

Hivyo baada ya kumaliza PEP, itabidi nikae siku 28 ndipo nije nipime. Endapo, nitakuwa NEGATIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la 80%, nikiwa POSITIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la wale 20%.

Tukutane hapahapa kwenye Next Episode baada ya kumaliza PEP na kupima.
Usisahau kutoa mrejesho
 
Back
Top Bottom