Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
utapona acha wenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3]Manesi na madaktari wanapewa za nini??
Acha kamba mkuu.
[emoji848]Kuna dawa zinaitwa Prep yaan hizo unameza halafu unadunda kwa mwezi mzima kavukavu na hupati maambukizi. Kwa sasa hizi dawa serikali inatoa kwa wauguzi (madaktari/manesi), wasaganaji na mashoga only.
Kasaharishwa kutumia ndomu mwanamke km alijua alipaswa yeye kubeba ndomu au kumwambia kabla kwamba Mimi nna umeme kwa hio kua makini
Parapanda imelia parandaaaView attachment 2809810
Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia...
Kwani mpaka 2 anapulizia,si alikua mtamu kinoma?! HIV haikati utamu bro. Kikubwa umeridhiaPole Sana boss.
Achana nae huyo Mwanamke pambana na afya yako kwanza
HahahahahaView attachment 2809810
Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia...
si wajeuri, watameza mbaazi mpaka wakomeVijana wanyetuke au sio [emoji854]
Penzi la kwanza !!?? .... SEMA jipya .... Tupo wengi Mzee mwenzangu tuliojifunza Kwa njia ndefu na ngumu..... Utakuwa fresh tu dingi...View attachment 2809810
Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia...
wanajifanya mashababi kushindana na mashimo, safi sana NgwengweAngepakaa mafuta kichwani asingekua anakula pep mda huu bebekea,
Ukimwi haupewi Kwa dispatch kwamba huyo anao ukisaini tu unao.... Ila hata kama tumekwepa mishale mingi tukumbuke Kinga ....1.Mm nmeshawahi kua na mwanamke mwenye ngwengwe nlisex nae Mara zaidi ya 3 bila kujua baadae ndo nkaja jua amewaka nkasepa. 2.Mwingine nlikua najua kabsa ni mgonjwa kisa tumelewa nikamtimba pombe zilipoisha ndo akili ikarudi sikurudia tena. By the way mpaka sasa nko salama kabsa.
vijana hawaelewi, wanasema KE wameumbiwa wao wawagegede
Kwani jamaa kabakwa Coco?
Au kwani jamaa hajui matumizi ya soksi?
Kwa hiyo tunaozama tuko na risk ya kulibeba eenh, basi kwisha habari ywtu😁Kama ulizama na chumvini ndo basi tena😃😃
Kuna kipindi cha nyuma kidogo niliaribu dar ikabidi nijirudie home iringa aise maisha yakawa magumu na mzunguko Wa hela mdogo ukichangia niliondoka miaka mingi so sielewi hata pakuanzia ni kama sio home vile kila mtu mgeni vitoto nilivyo viacha ndio wamekuwa masela Wa mtaaView attachment 2809810
Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia.
Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki afya zetu hasa HIV kabla hatujafanya chochote. Ila kama mjuavyo penzi la kwanza huwa na nguvu sana, ile tunaingia tuu ndani tumekumbatiana ndo hatukuachiana mpaka kila mmoja alipofika kileleni.
Tumeenda round 2, kisha tukala chakula. Kabla hatujaenda ya 3 ndipo tukakumbuka kupimana. Asalaleeeh!!! Majibu kutoka mwenzangu amewaka, tena amewaka kwelikweli maana hiyo line ya test ilivyo bold siyo mchezo!!!
Kwa kumuangalia mapokeo ya majibu yake ni alikuwa anajua, she knew her status for sure maana chapchap alini-beg nisimpige. Hakujua mimi nina roho ngumu kama paka.
Palepale niliondoka na kwenda hospitali, nikaelezea situation nzima na wakanipa PEP ambazo ndizo napambana nazo mpaka sasa, japo zinazingua kwelikweli lakini hamna namna..
Lengo la kulileta hapa ni ili wana JF wenzangu mjifinze kupitia mimi. Funzo kubwa hapa ni usimuamini yeyote, kabla hamjavuana nguo ni vizuri mkapima kabla, au ikishindikana tumieni njia za ngono salama ili msije mkapitia ninayoyapitia mimi, maana si jambo rahisi.
Funzo la pili mtakalolipata ni matumizi ya PEP kama yanasaidia ama laah. Kwa research zilivyo, PEP zina 80% ya kuzuia maambukizi endapo zinatumiwa inavyopaswa, 20% haziwasaidii na wanapata maambukizi.
Hivyo baada ya kumaliza PEP, itabidi nikae siku 28 ndipo nije nipime. Endapo, nitakuwa NEGATIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la 80%, nikiwa POSITIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la wale 20%.
Tukutane hapahapa kwenye Next Episode baada ya kumaliza PEP na kupima.
Doooh! Pole sana,pole sana...Utafanikiwa kuwa kwenye 80%View attachment 2809810
Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia.
Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki afya zetu hasa HIV kabla hatujafanya chochote. Ila kama mjuavyo penzi la kwanza huwa na nguvu sana, ile tunaingia tuu ndani tumekumbatiana ndo hatukuachiana mpaka kila mmoja alipofika kileleni.
Tumeenda round 2, kisha tukala chakula. Kabla hatujaenda ya 3 ndipo tukakumbuka kupimana. Asalaleeeh!!! Majibu kutoka mwenzangu amewaka, tena amewaka kwelikweli maana hiyo line ya test ilivyo bold siyo mchezo!!!
Kwa kumuangalia mapokeo ya majibu yake ni alikuwa anajua, she knew her status for sure maana chapchap alini-beg nisimpige. Hakujua mimi nina roho ngumu kama paka.
Palepale niliondoka na kwenda hospitali, nikaelezea situation nzima na wakanipa PEP ambazo ndizo napambana nazo mpaka sasa, japo zinazingua kwelikweli lakini hamna namna..
Lengo la kulileta hapa ni ili wana JF wenzangu mjifinze kupitia mimi. Funzo kubwa hapa ni usimuamini yeyote, kabla hamjavuana nguo ni vizuri mkapima kabla, au ikishindikana tumieni njia za ngono salama ili msije mkapitia ninayoyapitia mimi, maana si jambo rahisi.
Funzo la pili mtakalolipata ni matumizi ya PEP kama yanasaidia ama laah. Kwa research zilivyo, PEP zina 80% ya kuzuia maambukizi endapo zinatumiwa inavyopaswa, 20% haziwasaidii na wanapata maambukizi.
Hivyo baada ya kumaliza PEP, itabidi nikae siku 28 ndipo nije nipime. Endapo, nitakuwa NEGATIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la 80%, nikiwa POSITIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la wale 20%.
Tukutane hapahapa kwenye Next Episode baada ya kumaliza PEP na kupima.
Hamna bhana, me sijui 😃😃Kwa hiyo tunaozama tuko na risk ya kulibeba eenh, basi kwisha habari ywtu😁