Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Umefunga Uzikuna uwezekano hata kwenye hiv test ya aina hiyo ikaonyesha negative kama ilivyo kwako, kumbe unavyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefunga Uzikuna uwezekano hata kwenye hiv test ya aina hiyo ikaonyesha negative kama ilivyo kwako, kumbe unavyo
Yaan akishaifungua zipu ni moja kwa moja anaanza kuinyonya kwa kasi ya ajabu sana na kuomung'unya km kibogoyo huo muda wa kwenda kupima utakumbuka saangap?Ulimpima afya huyo mwanamke kwa kumuangalia tu.
Uzembe wako umekugharimu....pole sana.
Acha kudanganya watu,vipimo viache kudanganya dunia nzima vije kudanganya Dodoma,kama ni kweli huyo Doctor wako atakuwa hajitambui..msimuumize moyo, hivyo vipimo kuna baadhi ya mikoa hapahapa mfano Dodoma, kuna doctor mmoja alinambia vinadanganya. ila kama mwanamke alijua, basi, kama utelezi ulikuwepo wa kutosha, kuna uwezekano mdogo sana ukasavaivu. kuna mwezi nilienda Dodoma kikazi, nikapigwa na malaria kali kwelikweli,nikaenda kupima, nikaambiwa hakuna malaria wala nini. nikawa naendelea na shughuli morogoro, nikapima nikaonekana nina malaria kali. nikamwuliza kwanini Dodoma nimepima juzi ilikuwa hakuna malaria, akanambia kuwa hali ya hewa ya Dodoma wakati mwingine malaria huwa hazionekani. kuna uwezekano hata kwenye hiv test ya aina hiyo ikaonyesha negative kama ilivyo kwako, kumbe unavyo. sijui kama nilidanganywa na huyo doctor ama la.
Afya ikiwa kipaumbele chako, utakumbuka tu.Yaan akishaifungua zipu ni moja kwa moja anaanza kuinyonya kwa kasi ya ajabu sana na kuomung'unya km kibogoyo huo muda wa kwenda kupima utakumbuka saangap?
kwahiyo na wewe ni doctor au vipi?Acha kudanganya watu,vipimo viache kudanganya dunia nzima vije kudanganya Dodoma,kama ni kweli huyo Doctor wako atakuwa hajitambui..
JF hii utaiweza.Uwe unasoma vizuri na wewe!
wewe ni muha au mpogolo?Vice versa is true yes ni hivyo hivyo
Na Msinitenge ni wa Q Chief kamshirikisha Prof J?
Vyote kwa pamoja ongezea na Mkinga,wewe ni muha au mpogolo?
Mimi nilikumbushwa Mzee ashasimama akili ikiwa imehama naambiwa we Condom ile pale lete mikuvalishe 🤪😆Afya ikiwa kipaumbele chako, utakumbuka tu.
Manesi na madaktari wanapewa za nini??Kuna dawa zinaitwa Prep yaan hizo unameza halafu unadunda kwa mwezi mzima kavukavu na hupati maambukizi. Kwa sasa hizi dawa serikali inatoa kwa wauguzi (madaktari/manesi), wasaganaji na mashoga only.
Shukurani kwa ku-share nasi na pole kwa unayopitia.
Huyo mwanamke ni evil.. na muuaji.. Nchi zingine sasa hivi angeshtakiwa kama ungeyasema kwa mamlaka..
Kuna line nilisikia kwamba 'hauzuiriki hata kwa Condom za bati' ukikukuta upo ovyo ovyo unapita na wewe, kuna ambao wanalala na wenye virus na hawaupatiDoh!
Siku hizi nyuzi za ngoma zimekuwa nyingi kidogo, huu ni uzi kama wa nne ndani ya wiki 2 sasa...
Kasaharishwa kutumia ndomu mwanamke km alijua alipaswa yeye kubeba ndomu au kumwambia kabla kwamba Mimi nna umeme kwa hio kua makiniKwani jamaa kabakwa Coco?
Au kwani jamaa hajui matumizi ya soksi?
Pole sana na hongera kwa ujasiri wako .View attachment 2809810
Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia.
Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki afya zetu hasa HIV kabla hatujafanya chochote. Ila kama mjuavyo penzi la kwanza huwa na nguvu sana, ile tunaingia tuu ndani tumekumbatiana ndo hatukuachiana mpaka kila mmoja alipofika kileleni.
Tumeenda round 2, kisha tukala chakula. Kabla hatujaenda ya 3 ndipo tukakumbuka kupimana. Asalaleeeh!!! Majibu kutoka mwenzangu amewaka, tena amewaka kwelikweli maana hiyo line ya test ilivyo bold siyo mchezo!!!
Kwa kumuangalia mapokeo ya majibu yake ni alikuwa anajua, she knew her status for sure maana chapchap alini-beg nisimpige. Hakujua mimi nina roho ngumu kama paka.
Palepale niliondoka na kwenda hospitali, nikaelezea situation nzima na wakanipa PEP ambazo ndizo napambana nazo mpaka sasa, japo zinazingua kwelikweli lakini hamna namna..
Lengo la kulileta hapa ni ili wana JF wenzangu mjifinze kupitia mimi. Funzo kubwa hapa ni usimuamini yeyote, kabla hamjavuana nguo ni vizuri mkapima kabla, au ikishindikana tumieni njia za ngono salama ili msije mkapitia ninayoyapitia mimi, maana si jambo rahisi.
Funzo la pili mtakalolipata ni matumizi ya PEP kama yanasaidia ama laah. Kwa research zilivyo, PEP zina 80% ya kuzuia maambukizi endapo zinatumiwa inavyopaswa, 20% haziwasaidii na wanapata maambukizi.
Hivyo baada ya kumaliza PEP, itabidi nikae siku 28 ndipo nije nipime. Endapo, nitakuwa NEGATIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la 80%, nikiwa POSITIVE basi nitakuwa nimeangukia kwenye group la wale 20%.
Tukutane hapahapa kwenye Next Episode baada ya kumaliza PEP na kupima.