Nimezaa na mke wa mtu watoto wawili na ana mimba ya tatu

Nimezaa na mke wa mtu watoto wawili na ana mimba ya tatu

Status
Not open for further replies.
Wagonjwa wa magonjwa ya Moyo na akili ndo wanaongezeka hivyo......

Hypertension, Schizophrenia, Depression, Angina nk 😢😢😢😢
what do you mean
Mimi hapa pia mtu mzima, labda hata nakuzidi umri, na nimeyaona na kuyapitia labda hata mara kumi yako, nimetafuna mke wa mtu ila unapaswa kutumia akili na kujua wapi pa kuchora mstari, sio kuachia dushe likuongoze kwenye maamuzi yote.

Hapo unakwenda kupasua familia ya watu ibomoke vipande, na pia inawezekana na yako ikalipuka kiasi cha kutosamehewa na hata wanao, unaishia kuvuruga kote na kuharibikiwa, na hamna kitu cha hovyo kama kuanza kuingia uzeeni huku umevurugana na watoto wako.

Unapswa uwahiwe ufe kabla haujaharibu kote...
Sina wasi wasi wa kuvurugana na familia yangu, kwa sababu ninaouwezo wa kula kunywa kulala mpaka kufa. Ninahofia upande wa pili tu. Two wrong cant make it right. Nimeshakosea na hilo liko wazi hivo nachukuwa mawazo ya kufanyia kazi.

Wanangu wanajua am a man wangenishangaa ikiwa wangesikia babao kabaka. Kwa hili hawana say yoyote. Issue ni kwamba nimelima kwenye shamba la mtu bila idhini na shamba likiwa limezungushiwa fence.
Mimi ni mmoja tu kati ya wale waliohamua kusema lkn tupo mamilioni
 
Mimi hapa pia mtu mzima, labda hata nakuzidi umri, na nimeyaona na kuyapitia labda hata mara kumi yako, nimetafuna mke wa mtu ila unapaswa kutumia akili na kujua wapi pa kuchora mstari, sio kuachia dushe likuongoze kwenye maamuzi yote.

Hapo unakwenda kupasua familia ya watu ibomoke vipande, na pia inawezekana na yako ikalipuka kiasi cha kutosamehewa na hata wanao, unaishia kuvuruga kote na kuharibikiwa, na hamna kitu cha hovyo kama kuanza kuingia uzeeni huku umevurugana na watoto wako.

Unapswa uwahiwe ufe kabla haujaharibu kote...
Huyo mwanamke anafaa zaidi kwa utekelezaji wa huu mpango
 
Hao sio watoto wako achanao na wanaume mnawapatia wake za watu mimba nawaombea mpate ajari mvunjike miguu mbwa nyie
Wakivunjika miguu si wataendelea kugonga, labda ungeomba yenye we ndo ivunjike.
 
Habari kama hii unapaswa umsimulie kwanza mkeo huenda akakushauri vizuri sio mambo yako ya ndani unakuja kutangaza huku
 
Wakuu asalaam Aleikum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, nawasalamu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nije kwenye mada mimi ni mwanaume ambaye kidogo nimeshavuta vuta umri kiasi (niko around 40+) nina mke na watoto watatu. Lengo la kuja hapa naomba tupeane ushauri. Binafsi nimezunguka mikoa mbalimbali katika kutafuta riziki, mwaka 2012 nikiwa Dar na familia ikiwa mkoani nilikutana na dada mmoja bank flani hapohapo Dar.

Nikiwa kwenye foleni ya kuchukua visenti vyangu nyuma yangu kulikuwa na mwanadada ambaye ni kama age mate wangu tofauti yetu ni kama miaka miwili, yaani namzidi miaka 2.

Huyu dada alikuwa hana kalamu kwa ajili ya kujazia ile slip ya benki, hivyo akaniomba kalamu, nami bila hiana nikampatia huku nikiendelea kusogea counter ili nichukuwe visenti vyangu. Wakati namaliza kuchukuwa hela naye alikuwa amemaliza kujaza ile karatasi hivo akawa anasogea counter, yeye alikuwa ana depost hela.

Akanipatia kalamu yangu nikajivuta nje ya benki na hatimaye barabarani kusubiria daladala, nikiwa bado nasubiri daladala huyu dada akawa amekuja huku akiwa na ki IST chake akaniuliza unaelekea wapi nikamwambia Mwenge alafu Mbezi, akanIambia twende nikusogeze na hapo ndo mazungumzo yalianza.

Alinieleza mambo mengi kuhusu familia yake kuwa yeye ni yatima hamjui mama wala baba na alikuwa ameolewa mkoa fulani hivi lakini kutokana na tabia za mmewe waliamua kuachana, yeye kachukuwa watoto wake kuja Dar. Tangu siku hiyo tukaanza mazoea na hatimaye mahusiano. Kwa bahati mbaya yeye akataka sana ni muoe kitu ambacho mimi sikuweza kwa sababu tayari nilikuwa na mke.

Baada ya mahusiano ya takribani miaka mitatu huyu dada akapata mtu wa kumuoa na akanijulisha kuwa anaolewa kwa hiyo uhusiano wetu umefika mwisho , nikamwambia sawa na namba akabadilisha. Baada ya miezi sita akanipigia simu na namba mpya akaniomba samahani na kunIambia kama bado uko Dar naomba tuonane na kipindi hiki mimi pia nilikuwa nimeshaleta familia yangu Dar, nikamwambia sawa.

Tukakutana kwenye ile hoteli aliyofia yule mzee wa miaka 80 akiwa na binti. Akaniomba tena samahani na usema kuwa tangu ameolewa hajawahi kuinjoi penzi, kwani mume wake hata dakika hamalizi anakuwa ameshakojoa na hawezi kurudia tena, kinachofuata ni kuomba samahani tu. Nikamuuliza kwa hiyo nikusaidiaje? akasema 'kama kuna dawa unaijua naomba nimpelekee m'ume wangu', nikamwambia sina dawa na akanipa tena mzigo nikagonga na akawa amepata ujauzito siku hiyohiyo.

Tumeendelea na uhusiano mpaka sasa na nimeshamzalisha watoto wawili na ana mimba ya tatu anatarajia kujifungua mwezi wa nane.

Kwa sasa yeye na mume wake hawaishi Dar ila kwa kuwa ni mfanyabiashara mara nyingi anakuja Dar kuchukuwa mzigo na mbinu anayotumia akitaka kuja na akiwa na lengo la kubeba ujauzito anakuja akiwa anakaribia zile siku za hatari, hivyo tunafanya yetu alafu anarudi kwa mumewe.

Akifika kwa mume kwa kuwa mume anaifahamu kalenda yake mwanamke atajifanya ameingia period na kuvaa pedi kama kawaida na baadaye anamtegeshea jamaa anagonga alafu mwanamke anamwambia ameshika ujauzito.

Hii mbinu kwa upande wa mwanamke imefanya kazi vizuri lakini kwangu sasa naumia na natamani damu yangu, kwa lugha nyingine nahitaji hawa watoto wangu. Mke wangu hajui lakini yule mume mwenzangu pia hajui. Lakini ananijua tu kwa jina kwani mara nyingi amewahi kufuma sms zangu kwenye simu ya mkewe na kunipigia simu akiomba niachane na mke wake kwa kuwa anampenda sana mkewe.

Mwaka jana baada ya kuwa amekaa muda tangu kujifungua mtoto wa pili nikamtania hutaki tena kuzaa akasema nataka lakini naona kama wameisha make jamaa miaka yote nimemwachia jamaa lakini sishiki mimba, nikamwambia njoo tujaribu hii ilikuwa ni mwezi akaja na matokeo kashika mimba ya tatu tena. Kiuchumi yuko vizuri tu ana biashara zake, na mume ni mfanyakazi Serikalini.

Hebu tushauriane nini nifanye make natamani hawa watoto wangu ukizingatia mke wangu hazai tena na watoto wetu ni wakubwa wa mwisho amemaliza six anaenda JKT, wawili wako chuo. Na huyu jamaa akijua kinachofuata ni yale ya SAIDI. Mwanamke ananisihi sana nisaidae hawa watoto ila ikitokea mume wake amekufa kabla yangu atawaambia watoto ukweli tofauti na hapo hawezi na ananiomba sana nisithubutu.
Kitanda hakizai haramu!!
 
[emoji38][emoji38]wonders shall never end
 
Huyo mwanamke anafaa zaidi kwa utekelezaji wa huu mpango
Mimi nina akili zaidi ya hizo za kwako boss, na haujanipata kwa kuniwekea mtego. Labda nikupe siri labda ndo kwanza unajifunza kuchepuka, ni hivi ukichepuka na mke wa mtu usitumie gari yako. Omba mkutane stendi ya daladala. Magari binafsi karibu stendi zote Dar hayaingii.

Na mkubaliane kukutana na usimwambie nawe utakuwa stendi bali mwambie akifika stendi akupigie simu. Akipiga simu unamwambia nawe uko stendi. Hapo mnachukuwa bajaji, wakati muangalie kama anachezea simu. Kama kimya poa ukitilia shaka nyendo zake kama kuongelea pembeni sepa achana naye.

Unaweza ukaenda hata lodge nne ukijifanya hujaridhika. Hahaaa alafu mimi demu ananifuata toka zake huko sijui Arusha au Moshi huo mtego wako utakusumbua sana, na mwanamke aliyeamua kubeba mimba tatu nje ya ndoa ukicheza we ndo anakulisha sumu kabla hujafika kwangu. Asomaye na afahamu
 
what do you mean

Sina wasi wasi wa kuvurugana na familia yangu, kwa sababu ninaouwezo wa kula kunywa kulala mpaka kufa. Ninahofia upande wa pili tu. Two wrong cant make it right. Nimeshakosea na hilo liko wazi hivo nachukuwa mawazo ya kufanyia kazi.
wanangu wanajua am a man wangenishangaa ikiwa wangesikia babao kabaka. Kwa hili hawana say yoyote. Issue ni kwamba nimelima kwenye shamba la mtu bila idhini na shamba likiwa limezungushiwa fence.
Mimi ni mmoja tu kati ya wale waliohamua kusema lkn tupo mamilioni
Ndoa zina mambo mengi sana, kama ilivyo kwa umri. Jinsi unavyokuwa mkubwa zaidi ndivyo makubwa pia yanavyotokea. Tunavyokuwa wakubwa zaidi, pamoja na mambo mengine, uwezo wetu wa kukabiliana (bare risk) kunatakiwa kuongezeka.

Mzee mwenzangu, hapo umeingia sehemu ambayo sio sahihi, hususan hili la watoto. Imagine wewe hapo mkeo aje akwambie kuwa wanao hao wana baba yao na anawahitaji. Utafanya nini? Utanyamaza tu, utamfukuza au itakuwaje? Yaan kwa umri wetu huu itokee kwako itakuwaje. Hebu jivike nafasi ya huyo mwenzako itakuwaje, vipi.

Na hebu fikiria taswira ya huyo mke wenu kwenye jamii, mke wa mtu uzae watoto watatu nje ya ndoa, just imagine hali utakayompa kwa kukosa kwako uvumilivu.

Suala la msingi hapa ni wewe kukaa kimya kabisa kuhusu hili suala, namaanisha hao watoto watoe kabisa akilini mwako. Waache kwa wazazi wao. Unless otherwise, waombee wavurugane waachane, hapo walau unaweza kuwadai.
 
Habari kama hii unapaswa umsimulie kwanza mkeo huenda akakushauri vizuri sio mambo yako ya ndani unakuja kutangaza huku
Hii wikendi acha stress ligi zimeisha hatuna pa kuangalia mpira hebu kuwa mpore watu walete maoni, hasira za nini
 
Mkuu !!
Ushauri wangu kwako ,usjjaribu kutoa hiyo siri kwa mume wa huyo mwanamke kwani inaweza kuwa na athari kwako kwake..hasa kuvunja familia zenu wawili pengine inaweza kuleta hata kifo..

Achana na hao watoto sio wako tena..

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Ndoa zina mambo mengi sana, kama ilivyo kwa umri. Jinsi unavyokuwa mkubwa zaidi ndivyo makubwa pia yanavyotokea. Tunavyokuwa wakubwa zaidi, pamoja na mambo mengine, uwezo wetu wa kukabiliana (bare risk) kunatakiwa kuongezeka.

gane waachane, hapo walau unaweza kuwadai.
Nimekuelewa mzee mwenzangu, kwenye vikao vya wanaume japo wavulana huvamia lakini wenye busara hawakosekani, hoja yako nimeichukuwa.
 
Mkuu !!
Ushauri wangu kwako ,usjjaribu kutoa hiyo siri kwa mume wa huyo mwanamke kwani inaweza kuwa na athari kwako kwake..hasa kuvunja familia zenu wawili pengine inaweza kuleta hata kifo..

Achana na hao watoto sio wako tena..

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Ila wanawake shida mkuu, tulishapoteza mawasiliano lakini kanitafuta na tukaanza mahusiano. Kumbuka mwanzo nikiwa naye alikuwa single mother. Ndo hivo mkuu ukubwa una mambo
 
Wakuu asalaam Aleikum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, nawasalamu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nije kwenye mada mimi ni mwanaume ambaye kidogo nimeshavuta vuta umri kiasi (niko around 40+) nina mke na watoto watatu. Lengo la kuja hapa naomba tupeane ushauri. Binafsi nimezunguka mikoa mbalimbali katika kutafuta riziki, mwaka
Mamadenyi nimekuona hebu lete nasaha zako, siyo matusi tafadhari.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom