Nimezaa na mke wa mtu watoto wawili na ana mimba ya tatu

Nimezaa na mke wa mtu watoto wawili na ana mimba ya tatu

Status
Not open for further replies.
what do you mean

Sina wasi wasi wa kuvurugana na familia yangu, kwa sababu ninaouwezo wa kula kunywa kulala mpaka kufa. Ninahofia upande wa pili tu. Two wrong cant make it right. Nimeshakosea na hilo liko wazi hivo nachukuwa mawazo ya kufanyia kazi.
wanangu wanajua am a man wangenishangaa ikiwa wangesikia babao kabaka. Kwa hili hawana say yoyote. Issue ni kwamba nimelima kwenye shamba la mtu bila idhini na shamba likiwa limezungushiwa fence.
Mimi ni mmoja tu kati ya wale waliohamua kusema lkn tupo mamilioni
Unaonekana jeuri na mjuaji,rudia tena et wanao wanajuaje? Eti una uhakika wa kula na kunywa ad kufa,bro wewe ni mwanaume au mvulana? .Tuliona wengi waliokua na uwezo wa kuenda kulala dubai na kurudi kazini dar asubuhi ,saivj wakowapi? .kama hujipendi ,dhubutu kuvuruga familia ya huyo buana uone kitakacho kukuta.
 
what do you mean

Sina wasi wasi wa kuvurugana na familia yangu, kwa sababu ninaouwezo wa kula kunywa kulala mpaka kufa. Ninahofia upande wa pili tu. Two wrong cant make it right. Nimeshakosea na hilo liko wazi hivo nachukuwa mawazo ya kufanyia kazi.
wanangu wanajua am a man wangenishangaa ikiwa wangesikia babao kabaka. Kwa hili hawana say yoyote. Issue ni kwamba nimelima kwenye shamba la mtu bila idhini na shamba likiwa limezungushiwa fence.
Mimi ni mmoja tu kati ya wale waliohamua kusema lkn tupo mamilioni

Kustaafu huku umevurugana na wanao hata hicho chakula hakitokaa kikusaidie, na kwa namna unaongea ni wazi utakua wanao umewalea kidikteta, muhimu ukaanza kutengeneza nao.
Upande wa pili huko ulipoharbu na unataka kuharibu zaidi ndiko nasema inapaswa uwahiwe mapema na kuuawa.
 
Acha upumbavu wewe, hakuna aliyeshinda vita ya Mke, mbona tupo wengi tu nikiwepo mimi ambaye alinitafuta zaidi ya mara 5, mara ya sita aliingia usiku saa 7 ndani kwangu akiwa na kanga 1 tu na sidiria?

Aligonga hodi kwa nguvu akisingizia kuwa anaogopa, hatimaye nilipomfungulia mlango alipitiliza 1 kwa 1 hadi kitandani akitaka nimle lakini nilionesha msimamo tukikwepana mzungu wa 4 na saa 11 alfajiri nilimlazimisha kwa kichapo cha mkanda akatoka kwangu bila ya kufanya huo upumbavu [emoji848]

Je Yusufu kwa Mke wa Mfalme?

Vipi Ayubu alipomjibu Mkewe ni miongoni mwa wapumbavu kwa kudhani Mungu anapaswa kuwa mzuri kwa mazuri tu, ila Binadamu wakipatwa na changamoto tu imekuwa nongwa?

Kubali kushauriwa unapotafuta ushauri siyo kuja hapa JF na majibu yako ya 1 kwa 1 [emoji34]
Wee kazi yako kushauri na mwenye kupokea ushauri ni mimi sawa boss, kuwa mpole hili ni jukwaa usijepata stress bure. Twende taratibu kwanza baadae utaelewa
 
Wakuu asalaam Aleikum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, nawasalamu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nije kwenye mada mimi ni mwanaume ambaye kidogo nimeshavuta vuta umri kiasi (niko around 40+) nina mke na watoto watatu. Lengo la kuja hapa naomba tupeane ushauri. Binafsi nimezunguka mikoa mbalimbali katika kutafuta riziki, mwaka 2012 nikiwa Dar na familia ikiwa mkoani nilikutana na dada mmoja bank flani hapohapo Dar.

Nikiwa kwenye foleni ya kuchukua visenti vyangu nyuma yangu kulikuwa na mwanadada ambaye ni kama age mate wangu tofauti yetu ni kama miaka miwili, yaani namzidi miaka 2.

Huyu dada alikuwa hana kalamu kwa ajili ya kujazia ile slip ya benki, hivyo akaniomba kalamu, nami bila hiana nikampatia huku nikiendelea kusogea counter ili nichukuwe visenti vyangu. Wakati namaliza kuchukuwa hela naye alikuwa amemaliza kujaza ile karatasi hivo akawa anasogea counter, yeye alikuwa ana depost hela.

Akanipatia kalamu yangu nikajivuta nje ya benki na hatimaye barabarani kusubiria daladala, nikiwa bado nasubiri daladala huyu dada akawa amekuja huku akiwa na ki IST chake akaniuliza unaelekea wapi nikamwambia Mwenge alafu Mbezi, akanIambia twende nikusogeze na hapo ndo mazungumzo yalianza.

Alinieleza mambo mengi kuhusu familia yake kuwa yeye ni yatima hamjui mama wala baba na alikuwa ameolewa mkoa fulani hivi lakini kutokana na tabia za mmewe waliamua kuachana, yeye kachukuwa watoto wake kuja Dar. Tangu siku hiyo tukaanza mazoea na hatimaye mahusiano. Kwa bahati mbaya yeye akataka sana ni muoe kitu ambacho mimi sikuweza kwa sababu tayari nilikuwa na mke.

Baada ya mahusiano ya takribani miaka mitatu huyu dada akapata mtu wa kumuoa na akanijulisha kuwa anaolewa kwa hiyo uhusiano wetu umefika mwisho , nikamwambia sawa na namba akabadilisha. Baada ya miezi sita akanipigia simu na namba mpya akaniomba samahani na kunIambia kama bado uko Dar naomba tuonane na kipindi hiki mimi pia nilikuwa nimeshaleta familia yangu Dar, nikamwambia sawa.

Tukakutana kwenye ile hoteli aliyofia yule mzee wa miaka 80 akiwa na binti. Akaniomba tena samahani na usema kuwa tangu ameolewa hajawahi kuinjoi penzi, kwani mume wake hata dakika hamalizi anakuwa ameshakojoa na hawezi kurudia tena, kinachofuata ni kuomba samahani tu. Nikamuuliza kwa hiyo nikusaidiaje? akasema 'kama kuna dawa unaijua naomba nimpelekee m'ume wangu', nikamwambia sina dawa na akanipa tena mzigo nikagonga na akawa amepata ujauzito siku hiyohiyo.

Tumeendelea na uhusiano mpaka sasa na nimeshamzalisha watoto wawili na ana mimba ya tatu anatarajia kujifungua mwezi wa nane.

Kwa sasa yeye na mume wake hawaishi Dar ila kwa kuwa ni mfanyabiashara mara nyingi anakuja Dar kuchukuwa mzigo na mbinu anayotumia akitaka kuja na akiwa na lengo la kubeba ujauzito anakuja akiwa anakaribia zile siku za hatari, hivyo tunafanya yetu alafu anarudi kwa mumewe.

Akifika kwa mume kwa kuwa mume anaifahamu kalenda yake mwanamke atajifanya ameingia period na kuvaa pedi kama kawaida na baadaye anamtegeshea jamaa anagonga alafu mwanamke anamwambia ameshika ujauzito.

Hii mbinu kwa upande wa mwanamke imefanya kazi vizuri lakini kwangu sasa naumia na natamani damu yangu, kwa lugha nyingine nahitaji hawa watoto wangu. Mke wangu hajui lakini yule mume mwenzangu pia hajui. Lakini ananijua tu kwa jina kwani mara nyingi amewahi kufuma sms zangu kwenye simu ya mkewe na kunipigia simu akiomba niachane na mke wake kwa kuwa anampenda sana mkewe.

Mwaka jana baada ya kuwa amekaa muda tangu kujifungua mtoto wa pili nikamtania hutaki tena kuzaa akasema nataka lakini naona kama wameisha make jamaa miaka yote nimemwachia jamaa lakini sishiki mimba, nikamwambia njoo tujaribu hii ilikuwa ni mwezi akaja na matokeo kashika mimba ya tatu tena. Kiuchumi yuko vizuri tu ana biashara zake, na mume ni mfanyakazi Serikalini.

Hebu tushauriane nini nifanye make natamani hawa watoto wangu ukizingatia mke wangu hazai tena na watoto wetu ni wakubwa wa mwisho amemaliza six anaenda JKT, wawili wako chuo. Na huyu jamaa akijua kinachofuata ni yale ya SAIDI. Mwanamke ananisihi sana nisaidae hawa watoto ila ikitokea mume wake amekufa kabla yangu atawaambia watoto ukweli tofauti na hapo hawezi na ananiomba sana nisithubutu.
Sasa unapoomba ushauri kwa kuelezea historia nzima unategemea nini toka kwa huyo dada maana hii ni platfom kila mtu anaweza akaingia na kusoma, huoni kuwa huyo dada anawezapitia humu na kusoma na kujua ujuha wako?
 
Kabla ya kuwaza watoto, waza kutengeneza na Mungu. Maana hili hulipi kipaumbele cha kwanza katika ujumbe wako. Kumbuka siri ya wawili sio siri.
 
Wakuu asalaam Aleikum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, nawasalamu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nije kwenye mada mimi ni mwanaume ambaye kidogo nimeshavuta vuta umri kiasi (niko around 40+) nina mke na watoto watatu. Lengo la kuja hapa naomba tupeane ushauri. Binafsi nimezunguka mikoa mbalimbali katika kutafuta riziki, mwaka 2012 nikiwa Dar na familia ikiwa mkoani nilikutana na dada mmoja bank flani hapohapo Dar.

Nikiwa kwenye foleni ya kuchukua visenti vyangu nyuma yangu kulikuwa na mwanadada ambaye ni kama age mate wangu tofauti yetu ni kama miaka miwili, yaani namzidi miaka 2.

Huyu dada alikuwa hana kalamu kwa ajili ya kujazia ile slip ya benki, hivyo akaniomba kalamu, nami bila hiana nikampatia huku nikiendelea kusogea counter ili nichukuwe visenti vyangu. Wakati namaliza kuchukuwa hela naye alikuwa amemaliza kujaza ile karatasi hivo akawa anasogea counter, yeye alikuwa ana depost hela.

Akanipatia kalamu yangu nikajivuta nje ya benki na hatimaye barabarani kusubiria daladala, nikiwa bado nasubiri daladala huyu dada akawa amekuja huku akiwa na ki IST chake akaniuliza unaelekea wapi nikamwambia Mwenge alafu Mbezi, akanIambia twende nikusogeze na hapo ndo mazungumzo yalianza.

Alinieleza mambo mengi kuhusu familia yake kuwa yeye ni yatima hamjui mama wala baba na alikuwa ameolewa mkoa fulani hivi lakini kutokana na tabia za mmewe waliamua kuachana, yeye kachukuwa watoto wake kuja Dar. Tangu siku hiyo tukaanza mazoea na hatimaye mahusiano. Kwa bahati mbaya yeye akataka sana ni muoe kitu ambacho mimi sikuweza kwa sababu tayari nilikuwa na mke.

Baada ya mahusiano ya takribani miaka mitatu huyu dada akapata mtu wa kumuoa na akanijulisha kuwa anaolewa kwa hiyo uhusiano wetu umefika mwisho , nikamwambia sawa na namba akabadilisha. Baada ya miezi sita akanipigia simu na namba mpya akaniomba samahani na kunIambia kama bado uko Dar naomba tuonane na kipindi hiki mimi pia nilikuwa nimeshaleta familia yangu Dar, nikamwambia sawa.

Tukakutana kwenye ile hoteli aliyofia yule mzee wa miaka 80 akiwa na binti. Akaniomba tena samahani na usema kuwa tangu ameolewa hajawahi kuinjoi penzi, kwani mume wake hata dakika hamalizi anakuwa ameshakojoa na hawezi kurudia tena, kinachofuata ni kuomba samahani tu. Nikamuuliza kwa hiyo nikusaidiaje? akasema 'kama kuna dawa unaijua naomba nimpelekee m'ume wangu', nikamwambia sina dawa na akanipa tena mzigo nikagonga na akawa amepata ujauzito siku hiyohiyo.

Tumeendelea na uhusiano mpaka sasa na nimeshamzalisha watoto wawili na ana mimba ya tatu anatarajia kujifungua mwezi wa nane.

Kwa sasa yeye na mume wake hawaishi Dar ila kwa kuwa ni mfanyabiashara mara nyingi anakuja Dar kuchukuwa mzigo na mbinu anayotumia akitaka kuja na akiwa na lengo la kubeba ujauzito anakuja akiwa anakaribia zile siku za hatari, hivyo tunafanya yetu alafu anarudi kwa mumewe.

Akifika kwa mume kwa kuwa mume anaifahamu kalenda yake mwanamke atajifanya ameingia period na kuvaa pedi kama kawaida na baadaye anamtegeshea jamaa anagonga alafu mwanamke anamwambia ameshika ujauzito.

Hii mbinu kwa upande wa mwanamke imefanya kazi vizuri lakini kwangu sasa naumia na natamani damu yangu, kwa lugha nyingine nahitaji hawa watoto wangu. Mke wangu hajui lakini yule mume mwenzangu pia hajui. Lakini ananijua tu kwa jina kwani mara nyingi amewahi kufuma sms zangu kwenye simu ya mkewe na kunipigia simu akiomba niachane na mke wake kwa kuwa anampenda sana mkewe.

Mwaka jana baada ya kuwa amekaa muda tangu kujifungua mtoto wa pili nikamtania hutaki tena kuzaa akasema nataka lakini naona kama wameisha make jamaa miaka yote nimemwachia jamaa lakini sishiki mimba, nikamwambia njoo tujaribu hii ilikuwa ni mwezi akaja na matokeo kashika mimba ya tatu tena. Kiuchumi yuko vizuri tu ana biashara zake, na mume ni mfanyakazi Serikalini.

Hebu tushauriane nini nifanye make natamani hawa watoto wangu ukizingatia mke wangu hazai tena na watoto wetu ni wakubwa wa mwisho amemaliza six anaenda JKT, wawili wako chuo. Na huyu jamaa akijua kinachofuata ni yale ya SAIDI. Mwanamke ananisihi sana nisaidae hawa watoto ila ikitokea mume wake amekufa kabla yangu atawaambia watoto ukweli tofauti na hapo hawezi na ananiomba sana nisithubutu.
Hapo ulipoandika "akifika kwa mume anajifanya Yuko period na anavaa Pedi Kisha baadae anamtegeshea anagonga kumwambia amepata ujauzito" ndio imefanya Uzi wako wote uinekane wa kijinga.

Una miaka 40+ ila akili yako haina tofauti na kijana wa miaka 20.
 
Katika hili sitaki hongera wa likes. Hili jambo ghafla limeanza kunitesa sana na nahitaji sana kuungama hii dhambi. Ila wanawake ni shida. Angeikubali hali aliyoikuta kwa mmewe haya yasingetokea. Najua aliolewa baada ya kumwambia siwezi kumuoa. Hivo alifanya kama kunikomoa. All najua humu wanacomment mpaka wanawake but most of you mnarudi kwa Ma Ex
Kwahiyo alipo kuomba mkutane tena hotel ulijua mnaenda kufanya nini? Au ulijua mnaenda kucheza karata? Kama ni Mkristo kweli unaweza kukutana na mtu ambaye ni ex sehemu ya faragha na mkatoka salama? Usimlaumu huyo mwenzio jilaumu kwanza wewe, pia ungegoma kukutana naye na kuona usumbufu nawewe ungebadilisha line au kublock kabisa, hayo mengine watakushauri wenzio waliopitia humo{wachepukaji}
 
Halafu mume wa huyo mwanamke,aje ajue kua watoto wote siyo wake,na kuna jamaa aliyemzalisha hajutii kufanya hivyo,mwisho wa siku aue,watu waanze kulaumu kua KWANINI ASINGEMUACHA TU?
 
Mwanaume mwenye familia hasie tumia kondomu kwa mchepuko ni kiazi sana. Ni mtazamo tu lakini msijenge chuki.
ukitumia condom hautokuwa umezini au?
Povu la nini unachofanya unajua ni cha kishetani na unatangaza hadharani kuona ni fahari,
Kuwa mpole kwanza hili jukwaa la wazi,
Sasa unapoomba ushauri kwa kuelezea historia nzima unategemea nini toka kwa huyo dada maana hii ni platfom kila mtu anaweza akaingia na kusoma, huoni kuwa huyo dada anawezapitia humu na kusoma na kujua ujuha wako?
jipe muda kutafakari huenda ukajifunza kitu mimi naweza kuleta jambo liwe la kweli au si kweli, baya au zuri jaribu kufanya tafakuri, huenda kuwa nimeandika kisa ambacho nimekisoma mahali au kukisikia au nimefanya. Acheni utakatifu wa mitandaoni. Kuwa mtu wa kujifunza zaidi. Asante
 
Watu kama nyie mkidakwa yapaswa mfanyiwe tukio litakalopelekea dunia muione sio sehem sahihi ya kuwepo
 
Wakuu asalaam Aleikum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, nawasalamu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nije kwenye mada mimi ni mwanaume ambaye kidogo nimeshavuta vuta umri kiasi (niko around 40+) nina mke na watoto watatu. Lengo la kuja hapa naomba tupeane ushauri. Binafsi nimezunguka mikoa mbalimbali katika kutafuta riziki, mwaka 2012 nikiwa Dar na familia ikiwa mkoani nilikutana na dada mmoja bank flani hapohapo Dar.

Nikiwa kwenye foleni ya kuchukua visenti vyangu nyuma yangu kulikuwa na mwanadada ambaye ni kama age mate wangu tofauti yetu ni kama miaka miwili, yaani namzidi miaka 2.

Huyu dada alikuwa hana kalamu kwa ajili ya kujazia ile slip ya benki, hivyo akaniomba kalamu, nami bila hiana nikampatia huku nikiendelea kusogea counter ili nichukuwe visenti vyangu. Wakati namaliza kuchukuwa hela naye alikuwa amemaliza kujaza ile karatasi hivo akawa anasogea counter, yeye alikuwa ana depost hela.

Akanipatia kalamu yangu nikajivuta nje ya benki na hatimaye barabarani kusubiria daladala, nikiwa bado nasubiri daladala huyu dada akawa amekuja huku akiwa na ki IST chake akaniuliza unaelekea wapi nikamwambia Mwenge alafu Mbezi, akanIambia twende nikusogeze na hapo ndo mazungumzo yalianza.

Alinieleza mambo mengi kuhusu familia yake kuwa yeye ni yatima hamjui mama wala baba na alikuwa ameolewa mkoa fulani hivi lakini kutokana na tabia za mmewe waliamua kuachana, yeye kachukuwa watoto wake kuja Dar. Tangu siku hiyo tukaanza mazoea na hatimaye mahusiano. Kwa bahati mbaya yeye akataka sana ni muoe kitu ambacho mimi sikuweza kwa sababu tayari nilikuwa na mke.

Baada ya mahusiano ya takribani miaka mitatu huyu dada akapata mtu wa kumuoa na akanijulisha kuwa anaolewa kwa hiyo uhusiano wetu umefika mwisho , nikamwambia sawa na namba akabadilisha. Baada ya miezi sita akanipigia simu na namba mpya akaniomba samahani na kunIambia kama bado uko Dar naomba tuonane na kipindi hiki mimi pia nilikuwa nimeshaleta familia yangu Dar, nikamwambia sawa.

Tukakutana kwenye ile hoteli aliyofia yule mzee wa miaka 80 akiwa na binti. Akaniomba tena samahani na usema kuwa tangu ameolewa hajawahi kuinjoi penzi, kwani mume wake hata dakika hamalizi anakuwa ameshakojoa na hawezi kurudia tena, kinachofuata ni kuomba samahani tu. Nikamuuliza kwa hiyo nikusaidiaje? akasema 'kama kuna dawa unaijua naomba nimpelekee m'ume wangu', nikamwambia sina dawa na akanipa tena mzigo nikagonga na akawa amepata ujauzito siku hiyohiyo.

Tumeendelea na uhusiano mpaka sasa na nimeshamzalisha watoto wawili na ana mimba ya tatu anatarajia kujifungua mwezi wa nane.

Kwa sasa yeye na mume wake hawaishi Dar ila kwa kuwa ni mfanyabiashara mara nyingi anakuja Dar kuchukuwa mzigo na mbinu anayotumia akitaka kuja na akiwa na lengo la kubeba ujauzito anakuja akiwa anakaribia zile siku za hatari, hivyo tunafanya yetu alafu anarudi kwa mumewe.

Akifika kwa mume kwa kuwa mume anaifahamu kalenda yake mwanamke atajifanya ameingia period na kuvaa pedi kama kawaida na baadaye anamtegeshea jamaa anagonga alafu mwanamke anamwambia ameshika ujauzito.

Hii mbinu kwa upande wa mwanamke imefanya kazi vizuri lakini kwangu sasa naumia na natamani damu yangu, kwa lugha nyingine nahitaji hawa watoto wangu. Mke wangu hajui lakini yule mume mwenzangu pia hajui. Lakini ananijua tu kwa jina kwani mara nyingi amewahi kufuma sms zangu kwenye simu ya mkewe na kunipigia simu akiomba niachane na mke wake kwa kuwa anampenda sana mkewe.

Mwaka jana baada ya kuwa amekaa muda tangu kujifungua mtoto wa pili nikamtania hutaki tena kuzaa akasema nataka lakini naona kama wameisha make jamaa miaka yote nimemwachia jamaa lakini sishiki mimba, nikamwambia njoo tujaribu hii ilikuwa ni mwezi akaja na matokeo kashika mimba ya tatu tena. Kiuchumi yuko vizuri tu ana biashara zake, na mume ni mfanyakazi Serikalini.

Hebu tushauriane nini nifanye make natamani hawa watoto wangu ukizingatia mke wangu hazai tena na watoto wetu ni wakubwa wa mwisho amemaliza six anaenda JKT, wawili wako chuo. Na huyu jamaa akijua kinachofuata ni yale ya SAIDI. Mwanamke ananisihi sana nisaidae hawa watoto ila ikitokea mume wake amekufa kabla yangu atawaambia watoto ukweli tofauti na hapo hawezi na ananiomba sana nisithubutu.
Duh kumbe hii dunia imejaza matakataka namna hii? Unaona fahari gani sasa? Vipi na wewe my wife wako akamwambia kwamba hao watoto wote siyo wa kwako bali ni wa fundi Maiko? Utajisikiaje? What goes around comes around! Subiri kipigo utajuta!!
 
Kwahiyo alipo kuomba mkutane tena hotel ulijua mnaenda kufanya nini? Au ulijua mnaenda kucheza karata? Kama ni Mkristo kweli unaweza kukutana na mtu ambaye ni ex sehemu ya faragha na mkatoka salama? Usimlaumu huyo mwenzio jilaumu kwanza wewe, pia ungoma kukutana naye na kuona usumbufu nawewe ungebadilisha line au kublock kabisa, hayo mengine watakushauri wenzio waliopitia humo{wachepukaji}
Basi hii mada wewe itakuwa haikuhusu, nadhani na wewe kwa kuwa leo jmpl ulipaswa kuwa kanisani huku tuachie sisi
 
Wakuu asalaam Aleikum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, nawasalamu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nije kwenye mada mimi ni mwanaume ambaye kidogo nimeshavuta vuta umri kiasi (niko around 40+) nina mke na watoto watatu. Lengo la kuja hapa naomba tupeane ushauri. Binafsi nimezunguka mikoa mbalimbali katika kutafuta riziki, mwaka 2012 nikiwa Dar na familia ikiwa mkoani nilikutana na dada mmoja bank flani hapohapo Dar.

Nikiwa kwenye foleni ya kuchukua visenti vyangu nyuma yangu kulikuwa na mwanadada ambaye ni kama age mate wangu tofauti yetu ni kama miaka miwili, yaani namzidi miaka 2.

Huyu dada alikuwa hana kalamu kwa ajili ya kujazia ile slip ya benki, hivyo akaniomba kalamu, nami bila hiana nikampatia huku nikiendelea kusogea counter ili nichukuwe visenti vyangu. Wakati namaliza kuchukuwa hela naye alikuwa amemaliza kujaza ile karatasi hivo akawa anasogea counter, yeye alikuwa ana depost hela.

Akanipatia kalamu yangu nikajivuta nje ya benki na hatimaye barabarani kusubiria daladala, nikiwa bado nasubiri daladala huyu dada akawa amekuja huku akiwa na ki IST chake akaniuliza unaelekea wapi nikamwambia Mwenge alafu Mbezi, akanIambia twende nikusogeze na hapo ndo mazungumzo yalianza.

Alinieleza mambo mengi kuhusu familia yake kuwa yeye ni yatima hamjui mama wala baba na alikuwa ameolewa mkoa fulani hivi lakini kutokana na tabia za mmewe waliamua kuachana, yeye kachukuwa watoto wake kuja Dar. Tangu siku hiyo tukaanza mazoea na hatimaye mahusiano. Kwa bahati mbaya yeye akataka sana ni muoe kitu ambacho mimi sikuweza kwa sababu tayari nilikuwa na mke.

Baada ya mahusiano ya takribani miaka mitatu huyu dada akapata mtu wa kumuoa na akanijulisha kuwa anaolewa kwa hiyo uhusiano wetu umefika mwisho , nikamwambia sawa na namba akabadilisha. Baada ya miezi sita akanipigia simu na namba mpya akaniomba samahani na kunIambia kama bado uko Dar naomba tuonane na kipindi hiki mimi pia nilikuwa nimeshaleta familia yangu Dar, nikamwambia sawa.

Tukakutana kwenye ile hoteli aliyofia yule mzee wa miaka 80 akiwa na binti. Akaniomba tena samahani na usema kuwa tangu ameolewa hajawahi kuinjoi penzi, kwani mume wake hata dakika hamalizi anakuwa ameshakojoa na hawezi kurudia tena, kinachofuata ni kuomba samahani tu. Nikamuuliza kwa hiyo nikusaidiaje? akasema 'kama kuna dawa unaijua naomba nimpelekee m'ume wangu', nikamwambia sina dawa na akanipa tena mzigo nikagonga na akawa amepata ujauzito siku hiyohiyo.

Tumeendelea na uhusiano mpaka sasa na nimeshamzalisha watoto wawili na ana mimba ya tatu anatarajia kujifungua mwezi wa nane.

Kwa sasa yeye na mume wake hawaishi Dar ila kwa kuwa ni mfanyabiashara mara nyingi anakuja Dar kuchukuwa mzigo na mbinu anayotumia akitaka kuja na akiwa na lengo la kubeba ujauzito anakuja akiwa anakaribia zile siku za hatari, hivyo tunafanya yetu alafu anarudi kwa mumewe.

Akifika kwa mume kwa kuwa mume anaifahamu kalenda yake mwanamke atajifanya ameingia period na kuvaa pedi kama kawaida na baadaye anamtegeshea jamaa anagonga alafu mwanamke anamwambia ameshika ujauzito.

Hii mbinu kwa upande wa mwanamke imefanya kazi vizuri lakini kwangu sasa naumia na natamani damu yangu, kwa lugha nyingine nahitaji hawa watoto wangu. Mke wangu hajui lakini yule mume mwenzangu pia hajui. Lakini ananijua tu kwa jina kwani mara nyingi amewahi kufuma sms zangu kwenye simu ya mkewe na kunipigia simu akiomba niachane na mke wake kwa kuwa anampenda sana mkewe.

Mwaka jana baada ya kuwa amekaa muda tangu kujifungua mtoto wa pili nikamtania hutaki tena kuzaa akasema nataka lakini naona kama wameisha make jamaa miaka yote nimemwachia jamaa lakini sishiki mimba, nikamwambia njoo tujaribu hii ilikuwa ni mwezi akaja na matokeo kashika mimba ya tatu tena. Kiuchumi yuko vizuri tu ana biashara zake, na mume ni mfanyakazi Serikalini.

Hebu tushauriane nini nifanye make natamani hawa watoto wangu ukizingatia mke wangu hazai tena na watoto wetu ni wakubwa wa mwisho amemaliza six anaenda JKT, wawili wako chuo. Na huyu jamaa akijua kinachofuata ni yale ya SAIDI. Mwanamke ananisihi sana nisaidae hawa watoto ila ikitokea mume wake amekufa kabla yangu atawaambia watoto ukweli tofauti na hapo hawezi na ananiomba sana nisithubutu.
Mbona hilo la kawaida sana. Mimi katika wilaya mojawapo huko Mwanza nategemea kupata mtoto kutoka kwa mke wa mtu kabla mwaka huu haujaisha.
 
Nimekuelewa na ni vipi ninalaumiwa tu mimi ili hali nimeeleza kuwa huyu mtu alikuwa single mother wakati nakutana naye. Alivoolewa tukakubaliana kukata mawasiliano na akabadilisha namba ya simu, lakini baadae akanitafuta tena. Offcourse sitathubutu ila kama binadamu naumia kwa niliyofanya na matokeo ya yale yaliofanyika.
Pole sana mkuu, kuishi na 'guilty' ni mbaya sana...mimi najiuliza umejuaje hao watoto wote ni wa kwako?? na sio wa mumewe??? kutoshika kwake Mimba before hajakutana na wewe sio sababu ya kukuaminisha wewe ndio baba wa watoto hao......au wamefanana na wewe sana? 🤣 🤣 😳, binafsi sidhani kama ni wise kutibua mambo sasa hivi, afterall umekaa kimya miaka yote hii, you can still keep quiet,mpe nafasi huyo mwanamke a focus kwenye ndoa yake...

Maybe umpe majina yako yote huyo mwanamke, kisha kama watoto baadae watataka kumjua baba yao halisi siku moja, siku hizi mambo yako simplified, unaenda tu RITA wanakupata..lol....seriously though, ukitibua mambo sasa hivi, ndoa ya huyo dada ikafa, au huyo baba akafa kwa pressure...yaani utafeel 'Guilty' even more... the best option ni ku keep quiet...afterall hujui hata kwenye hio ndoa yako hao watoto wako labda sio wako na wewe....Sikuhukumu sababu kila mtu ana makando yake ila be careful tumia mpira..Peace..
 
Lawama ni lazima, huku wana ndoa zao wanaogopa kupata watoto siyo wao

Huyo mwanamke mwenzetu tunamwacha kwa kummezea tu maana yeye ndiye Eva aliyekushawishi.

Mwambie akupe kadi za watoto walau apige picha akutumie mnaweza mkawa mpo wa baba watoto hata kumi yeye anaongeza mtaji tu huku wewe unaambulia majibu tata humu.
 
Lawama ni lazima, huku wana ndoa zao wanaogopa kupata watoto siyo wao

Huyo mwanamke mwenzetu tunamwacha kwa kummezea tu maana yeye ndiye Eva aliyekushawishi.

Mwambie akupe kadi za watoto walau apige picha akutumie mnaweza mkawa mpo wa baba watoto hata kumi yeye anaongeza mtaji tu huku wewe unaambulia majibu tata humu.
Nimeipenda sana hii mkuu...au afanye vile vipimo hospitalini, vya kujua nani baba wa mtoto.. (DNA).
 
Ahsante,Kuna kitu nimejifunza hapa! Halafu pia nashukuru Wife yeye ana ujauzito ila ana mtoto mmoja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom