Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23][emoji23]Kuni zako zitakazotumika kukuchoma kule mbinguni zitakuwa za gas[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Kuni zako zitakazotumika kukuchoma kule mbinguni zitakuwa za gas[emoji16]
[emoji1787]Kuna mtu anakwenda kugeuzwa mooo hapa
Mkuu mbona umeenda mbali amegoma kukupandisha daraja nini?yaani namjua unaemfanyia hivo ni afisa elim
Leta hits za ki Legenderywewe sio legend.......
Ma Legend hatupo ivyo.
MaMDENYI umeyumbawewe ni fala mleta uzi oops
Hongera kwa kukuza mkuu at 40+ mtoto wa mwisho kamaliza six na wengine wapo chuo. Sasa kwani huyo mkeo ni jimama ulioa. Maana huyo wa bank ni age mate wako anaonekana around 40+ na bdo anazaa ila mkeo hazai tena.Leta hits za ki Legendery
Hii Ghahawa babu sio chai😄😄😄Hii no Chai 2
We jifariji tunimeacha mkuu, nimejikuta nafsi inanisuta japo si kosa langu ni la huyo mama kunitafuta tena ili hali alishabadilisha namba ya simu ambapo nisingeweza kuonana naye tena. Naweza kulaumiwa lkn kumbuka hakuna mwanaume aliyeshinda vita ya mke. Tukianza na Adam, Samson nk nk
Kuni ya mpingo kabisa pale jehanamunimeacha mkuu, nimejikuta nafsi inanisuta japo si kosa langu ni la huyo mama kunitafuta tena ili hali alishabadilisha namba ya simu ambapo nisingeweza kuonana naye tena. Naweza kulaumiwa lkn kumbuka hakuna mwanaume aliyeshinda vita ya mke. Tukianza na Adam, Samson nk nk
Unaleta uzi tunachangia kwa nguvu then unasema it's not true,MaMDENYI umeyumba
UwiiiUkiwa Bado unasubiri Dala dala yeye akaja na ki IST chake...Miaka 40 Unasema Ki IST...Unazeeka na Upumbavu Wako.
Kama wewe ni Great thinker unaweza kuelewa ila kwa sasa naishia hapa.Unaleta uzi tunachangia kwa nguvu then unasema it's not true,
Acha niyumbe but be serious sometimes
Hukumu za Mungu si kama za kwako wewe mwanadam la sivyo Yesu asingegongemelewa pale msalabaniKuni ya mpingo kabisa pale jehanamu
Malaika wa zamu atakuwa nakuchochea vizuri kabisa
Mkuu usirudie tena kuanza na bwana yesu asifiwe unatafuta laana wewe na kizazi chako
Jifariji tuHukumu za Mungu si kama za kwako wewe mwanadam la sivyo Yesu asingegongemelewa pale msalabani
Dhambi inaishia pale ambapo wewe mwenyewe unaamua kuiacha na kutubu full stop. Ila kwa kawaida shetani anatabia ya kukumbusha ili ujione hufai. Mungu anasamehe hakuna mwadamu aliyemkamilifu hata mmoja, yawezekana wewe ukawa si mzinzi lakini ni mshirikina, unaabudu sanamu nk, unaweza kuwa mwizi, mseng'enyaji nk nkNimescreen shot nikashare huu upumbavu mtandao mwingine ili tupate wachangiaji wengi nikuletee majibu
Mkuu hii dhambi mpaka unaingia kaburini haikuachi