Nimezaa na mke wa mtu watoto wawili na ana mimba ya tatu

Nimezaa na mke wa mtu watoto wawili na ana mimba ya tatu

Status
Not open for further replies.
Leta hits za ki Legendery
Hongera kwa kukuza mkuu at 40+ mtoto wa mwisho kamaliza six na wengine wapo chuo. Sasa kwani huyo mkeo ni jimama ulioa. Maana huyo wa bank ni age mate wako anaonekana around 40+ na bdo anazaa ila mkeo hazai tena.
 
Hapo picha linaanza unamwambia mkeo una watoto watatu nje na yeye anakwambia tu ukweli wale watoto unaodhani umezaa na mkeo na watoto wa ex wake hapo ndio utajua kuishi Tanzania ni kazi
 
nimeacha mkuu, nimejikuta nafsi inanisuta japo si kosa langu ni la huyo mama kunitafuta tena ili hali alishabadilisha namba ya simu ambapo nisingeweza kuonana naye tena. Naweza kulaumiwa lkn kumbuka hakuna mwanaume aliyeshinda vita ya mke. Tukianza na Adam, Samson nk nk
We jifariji tu
 
nimeacha mkuu, nimejikuta nafsi inanisuta japo si kosa langu ni la huyo mama kunitafuta tena ili hali alishabadilisha namba ya simu ambapo nisingeweza kuonana naye tena. Naweza kulaumiwa lkn kumbuka hakuna mwanaume aliyeshinda vita ya mke. Tukianza na Adam, Samson nk nk
Kuni ya mpingo kabisa pale jehanamu

Malaika wa zamu atakuwa nakuchochea vizuri kabisa

Mkuu usirudie tena kuanza na bwana yesu asifiwe unatafuta laana wewe na kizazi chako
 
Unaleta uzi tunachangia kwa nguvu then unasema it's not true,

Acha niyumbe but be serious sometimes
Kama wewe ni Great thinker unaweza kuelewa ila kwa sasa naishia hapa.
Na uzi nimedit kwa sababu maalum asante. Na samahani kwa kukwaza
 
Kuni ya mpingo kabisa pale jehanamu

Malaika wa zamu atakuwa nakuchochea vizuri kabisa

Mkuu usirudie tena kuanza na bwana yesu asifiwe unatafuta laana wewe na kizazi chako
Hukumu za Mungu si kama za kwako wewe mwanadam la sivyo Yesu asingegongemelewa pale msalabani
 
Nimescreen shot nikashare huu upumbavu mtandao mwingine ili tupate wachangiaji wengi nikuletee majibu

Mkuu hii dhambi mpaka unaingia kaburini haikuachi
 
Nimescreen shot nikashare huu upumbavu mtandao mwingine ili tupate wachangiaji wengi nikuletee majibu

Mkuu hii dhambi mpaka unaingia kaburini haikuachi
Dhambi inaishia pale ambapo wewe mwenyewe unaamua kuiacha na kutubu full stop. Ila kwa kawaida shetani anatabia ya kukumbusha ili ujione hufai. Mungu anasamehe hakuna mwadamu aliyemkamilifu hata mmoja, yawezekana wewe ukawa si mzinzi lakini ni mshirikina, unaabudu sanamu nk, unaweza kuwa mwizi, mseng'enyaji nk nk
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom