Nimpeleke mtoto shule ya milioni 1.5 au hela nimuwekezee UTT au hisa?

Huyu Jamaa ni kizazi, na ange kuwa karibu yangu ninge mchapa Kofi.

public school nazi heshimu, ila kwakweli hapana kabisa.

ni vile tu Sija oa, ila ninge mchukua dogo angu aje huku niliko.
ada ni 3m na safari hii nime lipa Mimi, na still naona kawaida mno kwa anacho jifunza huko.
 
We jamaa umesoma Urusi ipi hata kauandika tu ni shida?

Mbona unataka kutuchota hapa?
Nimesomea rudn ama pfur formerly known as Patrice Lumumba, mie sijui kuandika I know to solve maths and physics problems.
Am ain't a writer or author. Mtaani wa mikluho maklaya rector wetu wa African section alikuwa bwana slava aliyefundisha must kwa miaka zaidi ya 20 baadaye akaenda kwao.
 
Kulipa hio 1.5 au 3 sio issue, issue nikua unakuta unalipa ada zote hizo lakini mtoto ukimlinganisha na watoto wa Kayumba unakuta wanazidiwa uwezo wa kufikili katika mazingira halisi.
Hii hoja sio kweli.

Watoto walio soma private schools (Sio English medium, elewa tofauti) They are more formal, Kuliko sisi watoto wa kayumba.

Sisi watoto wa kayumba tuna uswahili mno, ambao tumekua trained nao tangu tukiwa shule.
 
Kijana umesoma Tabora ila uelewa wako ni duni mno. Hujui kuwa binadamu tunatofautiana? Kuna wanaosoma special schools na kuna wanaosoma MEMKWA ila wote wanatafuta elimu.
Kumbe unayo akili mno mkuu, yes uelewa ni dunia mno yaani mno kulingana na uelewa wako uliotumika ku asses uelewa wangu. Mana inaonekana wewe ndiye SI unit ya ku asses uelewa wa watu. Keep it up niga
 
Huku chini hawa watoto wanahitaji uangalizi na msingi mzuri sana.Wajue lugha vyema,na uelewa upanuke

Form 1 kayumba sawa
Sikia lugha watt wakiingia from three Ile kayumba na em wanapoteana yaani kayumba na em hawajulikani na nani
 
Kwani shule za government hawezi kusoma?
Shida ya Kuwa na watoto bila Elimu, na Kama una Elimu, basi una Elimika; Mama yake ana akili kuliko wewe, urithi wa mtoto ni Elimu, bora, full stop!
 
Acha Kumsumbua mtoto mwache tu asome kwa raha.
Hivi kwenda shule na fagliò na kudumu unaona kazi ndogo

Mungu akubariki uweke na hisa zake,
Hizo ndo shule sasa. Achana na hizi shule zenu za soft work
 
Kwani shule za government hawezi kusoma?

Anaweza soma kokote ndugu, Hakuna shida, wewe ndo unaamua! Wakati Maisha ya nakuwa magumu msijifurahishe na Sababu zisizo Kuwa na maana, amueni tu kufanya vile uwezo wenu unawataka mfanye!
 
Umeshauri vizuri, lakini Bora mtoto umpeleke st Kayumba primary alafu ujikusanye akifika secondary mpeleke shule ya maana hata kama ni mzito sana ataambulia kitu, lakini akienda primary private alafu secondary akaenda kayumba, miezi 3 inamtosha kuwa amesha sahau kila kitu na amefanana na wale waliotoka kayumba msingi
 
Hamjui maana ya shule ninyi. Na pia hamjui maana ya mtaji. Kwa kifupi duniani raslimali ya maana kuliko raslimali zote sasa hivi ni elimu (ujuzi).
 
Fact
 
Usalama wa watoto pia dhidi ya sexual harassment,
Ems ndio hatari Zaidi kuanzia kwenye gari mtoto wako anaweza kubakwa na dereva wakati wa kupelekwa shule alfajiri.

Shuleni wanafunzi wachache ukimya mwingi mtoto anaweza kubakwa chooni au ofisini Kwa teacher big na watu wasijue Kwa sababu hakuna movements nyingi

usafi wa mazingira, idadi ndogo ya wanafunzi ndani ya chumba kimoja cha darasa, n.k..

Children pyschology inasema watoto wana enjoy Zaidi wanapokuwa kwenye kundi la watoto wengi na Sio wachache
 
Swali hili natamani alijibu Tundu Lisu au pascal Mayala
 
Hii hoja sio kweli.

Watoto walio soma private schools (Sio English medium, elewa tofauti) They are more formal, Kuliko sisi watoto wa kayumba.

Sisi watoto wa kayumba tuna uswahili mno, ambao tumekua trained nao tangu tukiwa shule.
Hiyo kua na uswahili mkuu maana yake ni nini?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…