Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
hilo najua Mimi, wewe panbana ulipie wanao.Hoja nayoizungumzia ni utambuzi wa mambo tu madogo madogo. Hata namna yakiitambua akili ya mtoto kua huyu yuko vizuri unamuelewa mapema tu.
😹😹😹 kabisa hawana tofauti..!!Ushawai kutana na mtu anasema kumiliki iphone ni ushamba? Ndo mtoa maada 😂
Huyu Jamaa ni kizazi, na ange kuwa karibu yangu ninge mchapa Kofi.Experience and real world.....hivi kusoma kwa shida na karaha ndio experience nzuri ya maisha?? Watanzania kwa nini tunautukuza umasikini kama ni sifa?? Unasema unamuandaa aje kufanya biashara kama zako yet unamuandaa kwenye mazingira magumu serious??
Nimesomea rudn ama pfur formerly known as Patrice Lumumba, mie sijui kuandika I know to solve maths and physics problems.We jamaa umesoma Urusi ipi hata kauandika tu ni shida?
Mbona unataka kutuchota hapa?
Hii hoja sio kweli.Kulipa hio 1.5 au 3 sio issue, issue nikua unakuta unalipa ada zote hizo lakini mtoto ukimlinganisha na watoto wa Kayumba unakuta wanazidiwa uwezo wa kufikili katika mazingira halisi.
Kumbe unayo akili mno mkuu, yes uelewa ni dunia mno yaani mno kulingana na uelewa wako uliotumika ku asses uelewa wangu. Mana inaonekana wewe ndiye SI unit ya ku asses uelewa wa watu. Keep it up nigaKijana umesoma Tabora ila uelewa wako ni duni mno. Hujui kuwa binadamu tunatofautiana? Kuna wanaosoma special schools na kuna wanaosoma MEMKWA ila wote wanatafuta elimu.
Sikia lugha watt wakiingia from three Ile kayumba na em wanapoteana yaani kayumba na em hawajulikani na naniHuku chini hawa watoto wanahitaji uangalizi na msingi mzuri sana.Wajue lugha vyema,na uelewa upanuke
Form 1 kayumba sawa
Shida ya Kuwa na watoto bila Elimu, na Kama una Elimu, basi una Elimika; Mama yake ana akili kuliko wewe, urithi wa mtoto ni Elimu, bora, full stop!
FactSikia lugha watt wakiingia from three Ile kayumba na em wanapoteana yaani kayumba na em hawajulikani na nani
Hizo ndo shule sasa. Achana na hizi shule zenu za soft workAcha Kumsumbua mtoto mwache tu asome kwa raha.
Hivi kwenda shule na fagliò na kudumu unaona kazi ndogo
Mungu akubariki uweke na hisa zake,
Kwani shule za government hawezi kusoma?
Umeshauri vizuri, lakini Bora mtoto umpeleke st Kayumba primary alafu ujikusanye akifika secondary mpeleke shule ya maana hata kama ni mzito sana ataambulia kitu, lakini akienda primary private alafu secondary akaenda kayumba, miezi 3 inamtosha kuwa amesha sahau kila kitu na amefanana na wale waliotoka kayumba msingiMke wako kwa point fulani ana idea nzuri. Hii dunia ya sasa kama hujui inglishi vizuri kuna mengi yatakupita. Mpeleke walau primary akajifunze inglishi then olevo mpeleke st kayumba.
NB: hata mimi nilikua na mtazamo kama wako ila nikiangalia inglishi inavyopelekesha watu huku makazini ikabidi niwaze upya msimamo wangu!
Usalama wa watoto pia dhidi ya sexual harassment, usafi wa mazingira, idadi ndogo ya wanafunzi ndani ya chumba kimoja cha darasa, n.k..Huko unaenda kununua kiingereza na mtoto kukaririshwa majibu
Hamjui maana ya shule ninyi. Na pia hamjui maana ya mtaji. Kwa kifupi duniani raslimali ya maana kuliko raslimali zote sasa hivi ni elimu (ujuzi).usipoteze hela kulipa english medium primary school
HIZO HELA WEKEZA KWENYE HISA,MASHAMBA,VIWANJA PERI URBAN AREAS
📌FOCUS IANZE KWA KUWEKEZA PESA ZA KUJA KUWAPA MITAJI NA URITHI WA MALI KWA HAO AKINA JUNIOR WENU.KUPOTEZA MAMILIONI HUKO EMS KISHA ANAKUJA KUGOMBANIA INTERVIEW ZA TAMISEMI NI "UKICHAA".
MABASI YA NJANO NA TABU ZA TAMISEMI WAPI NA WAPI ACHIENI KAYUMBA HUKO TAMISEMI NDO MAZINGIRA YAO TANGU WADOGO.NYIE WAZUNGU PORI😄😄😄ANZISHENI MIRADI!!!
FactUmeshauri vizuri, lakini Bora mtoto umpeleke st Kayumba primary alafu ujikusanye akifika secondary mpeleke shule ya maana hata kama ni mzito sana ataambulia kitu, lakini akienda primary private alafu secondary akaenda kayumba, miezi 3 inamtosha kuwa amesha sahau kila kitu na amefanana na wale waliotoka kayumba msingi
Wacheshezeni wenu watoto kamali. Gambling warSiti ya mbele EM vs Kayumba vs pesa
Ems ndio hatari Zaidi kuanzia kwenye gari mtoto wako anaweza kubakwa na dereva wakati wa kupelekwa shule alfajiri.Usalama wa watoto pia dhidi ya sexual harassment,
usafi wa mazingira, idadi ndogo ya wanafunzi ndani ya chumba kimoja cha darasa, n.k..
Swali hili natamani alijibu Tundu Lisu au pascal MayalaWakuu kuna mtoto wangu kaanza shule mwaka huu, chekechea ada yake ni milioni 1.5 ukijumlisha na vikorokoro vingine inaweza fika jumla milioni 1.7
Sio muumini sana wa hizi shule, ila mama yake ndio aling'ang'ania sana tumpeleke huko baada ya kuona rafiki zake nao wamepeleka watoto wao shule za private na wanaongea kiingereza kingi wakiwa na umri mdogo na pia anasema mtoto tukimpeleka shule za serikali atateseka6
Sasa nimefikiria, kumpeleka mtoto hadi amalize shule ya msingi, then sekondari, je hizo pesa za ada badala ya kumlipia shule ya private nikamhamishia serikalini ambako hata hivyo atakua ananuliwa vitabu na materials nyingine , halafu hiyo ada ya private nikawa naiwekeza kwenye mfuko wa UTT au kununua hisa za kampuni inayofanya vizuri tu kila mwaka, au kuiwekeza kwenyw kununua ardhi
Baaadae mtoto akiwa na miaka 20 ama 25 huko atakuwa na mtaji wa kuanzia maisha halafu connection nitampa mimi kwenye biashara zangu
Pia nimefikiria kumpeleka mtoto shule za kawaida kutamjenga awe 'mgumu' awe na kuweza kumudu mazingira halisi ya mtaano baada ya kumaliza masomo, kuliko mazingira ya kupelekwa na kurudishwa na school bus ambayo hayamjengi
Mimi mwenyewe ni msomi mwenye degree, lakini kazi ninyoifanya haihusiani kabisa na elimu yangu, na ilinibidi ni adapt mtaani japo kwa maumivu na hofu yangu ni kuwa mwanangu naweza kumsomesha kwa gharama kubwa halafu elimu isimsaidie kwenye maisha kama mimi, na akawa hana hata skills za kutoboa mtaani, mimi kutokusoma hizo shule za gharama naamimi kumenisaidia kidogo
Dunia inabadilika, wasomi wengi mtaani kazi hakuna na mbaya zaidi kazi nyingi zitaenda kuwa automated miaka ijayo,
Hiyo kua na uswahili mkuu maana yake ni nini?.Hii hoja sio kweli.
Watoto walio soma private schools (Sio English medium, elewa tofauti) They are more formal, Kuliko sisi watoto wa kayumba.
Sisi watoto wa kayumba tuna uswahili mno, ambao tumekua trained nao tangu tukiwa shule.