paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Hivi mkuu, tokea vifo vifululize hapa inapita wiki kama tatu sasa na, Ni lini tena Chadema wazee wa kuripoti habari za misiba wamefanya hivyo??Mnazidi kuithibitishia Dunia kuwa mnauwezo mdogo wa kufikiri
Kaa kimya tuionyeshe Dunia namna Bora ya kushughurikia milipuko ya magonjwa