Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Msangi jina la kipare kabisa...mbona nilisikia mabinti wa kipare hawana tabia za kutumia dawa za mvuto
 
Hahahaaaaa.... Ko wewe unanikataa kwa staili ya kunisukumizia kwake😜😜
Huachi vituko vyako πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ yaani nimekumiss muda sijakuona jukwaa lolote. Msaidie mrembo, atoe gundu ajione nayeye ni mwanamke kamili.
Japo hana gundu lolote ni mawazo yake tu. Haya Exy Karibu lunch ...
 
Reactions: Exy
Njoo nikupe dawa yangu ya mvuto
 
tako lipo?
 
Huachi vituko vyako πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ yaani nimekumiss muda sijakuona jukwaa lolote. Msaidie mrembo, atoe gundu ajione nayeye ni mwanamke kamili.
Japo hana gundu lolote ni mawazo yake tu. Haya Exy Karibu lunch ...
Mfungo ulinifunga!!, Asante Sana la mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…