Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Cute ninashida na namba yako please kama utojali🙏
 
sema mwanangu hivi vi 5'5" kwenda chini ukivipata, ukavikamata ukawa unavirusha rusha raha sana😂
😂 sitii neno
JamiiForums-1144151357.jpg
 
Ww ni mpare
Kwa hiyo umeamua kuyaleta huku
Si uliniacha baada ya kurudiana na Ex wako
Rudi tu kwangu tena tuendeleze upendo wetu
Nkoo dm
 
JE UNA JIPAMBA SANA?
JE UNA VAA NGUO ZA GHARAMA?
JE UMEWEKA VITU VINGI FAKE MWILINI? KUCHA, NYUSI, NYWELE, UMEJICHUBUA?

JE UNATAKA MTU WA KUDUMU NAYE AU WA KUMTUMIA NA KUMUACHA?
UKIWEZA PITA PITA VIJIWE VYA MAAFISA USAFIRISHAJI (BODABODA)
 
Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Naona sifa zako zinafafana na yagu mimi kila nikimtongoza mwanamke ananikimbia .njoo tuyajenge
 
Back
Top Bottom