mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
mnaogopa kuwahiwa kuachwa.... 😂kwanini sasa😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnaogopa kuwahiwa kuachwa.... 😂kwanini sasa😅
🤣🤣🤣🙌MweeHebu picha hata pm tuone shida iko wapi, mimi sio mchawi ila wewe ni mfupi
Hela za pombe wanapata ila za kumudu ngono wanakosa. Ndivyo ulivyomaanisha?!Hauna gundu lolote, hali ya maisha tu imewabana watu hawana fillings za ngono.
Amini hili ninalokwambia, wanaume wanakula pombe tu sasa hivi.
Wana nini hao miaka hiyoKama una miaka kuanzia 30 kuwa mpole tu
mnalalamika sanaWafupi tumekosa nini jamani
😅 Mpaka sasa ajatuma🤣🤣🤣🙌Mwee
Akiogea atapata mabwana? Au aongeze kismatiTumia chumvi ya mawe kuogea
kuachwa kunauma, au we hujawah kuachwa rafiki yangumnaogopa kuwahiwa kuachwa.... 😂
😂 mmekosa urefuWafupi tumekosa nini jamani
Sababu tunaonewa bila kosamnalalamika sana
Msitufanyie hivi jamani😂 mmekosa urefu
Mnatakiwa muwe saizi kipotabo sio unakua mfupi alafu chibonge kama mdoli wa tyre za michelinMsitufanyie hivi jamani
Tukiwa mangongoti mnatuita makamanda, asa tufanyaje mwee
Tabia mbaya Exy nikija huko 😅😅😅😅 mpe moyo mwenzako. Nikajua utamwambia, atakuona pm 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Inawezekana hata huyo jamaa alikusaidia tu.... Hebu kapicha kwanza 😜😜
Sawa mkuu nimekuelewa japo kila mtu anavutia upande anaoamini ndio ukweli.Acha kuamini vitu vya hovyo. NYOTA ndio mdudu gani?. Kuwa na mvuto kunatengenezwa Kwa njia za kisaikolojia zaidi. Kunaitwa kujiboresha kiroho,kiakili, kimwili,kihisia na kijamii pia.
Mkuu naona unanisema indirect, mjadala uishie hapa tasavali....Mnatakiwa muwe saizi kipotabo sio unakua mfupi alafu chibonge kama mdoli wa tyre za michelin
tayari 😂 mara mojamoja sio mbaya......kuachwa kunauma, au we hujawah kuachwa rafiki yangu
Kwahiyo wanawake wafupi hawatongozwagi?Hebu picha hata pm tuone shida iko wapi, mimi sio mchawi ila wewe ni mfupi
Wewe hata uwe mfupi kama ndoo kwangu haibadili kitu 🥰Mkuu naona unanisema indirect, mjadala uishie hapa tasavali....
Sijamaanisha hivyo dear msinishambulie ilijitypeKwahiyo wanawake wafupi hawatongozwagi?