Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Inatokeaga.....ukiwa single unahitaji kuzama penzini hawapo, ukiwa kwenye penzi zito na mtoto wa mtu yani watu wanakuja kama wameletwa na upepo, hata ukitembea mmeshikana utashangaa mtu anakukonyeza....
Anyway mzabzab come zis wey
Ongezaa sauti Evee, hii hali ipoo kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanawake sahv wanateseka kweli,wanaume tumeanza kuogopa vizinga vyenu ndo maana sahv ukiwa hauna maajabu sana wanaume wanabaki wanakuangalia tu maana wanajua wakijisogeza tu vizinga vinaanza

Kuna mdada kaingia kibanda umiza siku ya liver na arseno,muda wote alikuwa anachat hadi nikawaza kuwa huyu kaja kucheki game kweli au ndo kaja kutafuta!?
 
Na hivyo ndivyo ilivyo.
Ukiwa umeoa ukitongoza Wanawake wanakukubalia, Mkeo akikuacha mtiti wa Kupata Mwanamke mwingine inakuwa kipengele.

Hiyo ni kawaida. Acha kuwaza mambo ya kijinga.
Kuwa msafi, vaa vizuri, Rings na jishaue.

Wanaume wanapenda Wanawake wanaoringa na kujishaua kuliko wanaojirahisisha
 
Wanawake sahv wanateseka kweli,wanaume tumeanza kuogopa vizinga vyenu ndo maana sahv ukiwa hauna maajabu sana wanaume wanabaki wanakuangalia tu maana wanajua wakijisogeza tu vizinga vinaanza

Kuna mdada kaingia kibanda umiza siku ya liver na arseno,muda wote alikuwa anachat hadi nikawaza kuwa huyu kaja kucheki game kweli au ndo kaja kutafuta!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Wasichana wadogo na bikra hawana wa kuwauliza kutokana na upungufu wa wanaume na wengi wao kuwa mashoga.Sasa wewe unajulikana umeachana na boyfriend na wala sio kuachwa na mume utapata shida sana.
Unapotumia madawa ya kuchubua na kwenda kwa waganga ndio unatibua zaidi. Hata nikikuona ni mzuri sitokuletea mchumba. Kaa ndani, fanya kazi ,subiri na muombe Mungu ndipo utafanikiwa.
 
Acha na ayo madaw yanazidisha gudu oga maji y mwamposa utakuj kunishukur bdae
 
Eti wanasema wewe ni huyu kijeba sio mwanamke 😁
20230115_183033.jpg
 
Back
Top Bottom