Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Mimi na Wapare ni kaskazini na kusini

tena umetumia dawa pita ivi jana nimekuona unajipitishapisha mbele yetuu nikajua tuu ni wewe huyu.

wala hatukukupa atention pamoja na madawa yako ya akina Sengebe
 
aisee sijawahi kuexperience hicho kitu rafiki yangu,, ila naweza tu kumshauri atulie ale vizuri, avae vizuri apendeze ajiamini afanye mambo yake watakuja wenyewe...asije akaamua kutongoza yeye kitakachompata atakuja asimulie🙌
sioni shida ya mwanamke kutongoza mbona.....
 
Pole naona umekuwa muhanga wa maazimio ya wajumbe ifuatavyo
1.Hakuna kuoa single Mother .Mpaka ukathibitishe lilipo kabuli la mzazi mwenzie.
2.Hakuna kutonza wadada wasio na chura.
3 .KATAA NDOA
 
kwani hata akitongozwa si ataliwa na kuachwa vilevile??
ila ya kuachwa na wewe ndo ulimtongoza inauma saana😔, unaweza kutamani hata kujiua ukifikiria labda aliwaambia na washkaji kama me ndo nilimtokea wee, atulie tu asubiri bahati yake, ana umri gani Kwani??
 
ila ya kuachwa na wewe ndo ulimtongoza inauma saana😔, unaweza kutamani hata kujiua ukifikiria labda aliwaambia na washkaji kama me ndo nilimtokea wee, atulie tu asubiri bahati yake, ana umri gani Kwani??
waschana mna drama sana 😂
 
Hauna gundu lolote, hali ya maisha tu imewabana watu hawana fillings za ngono.

Amini hili ninalokwambia, wanaume wanakula pombe tu sasa hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…