Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Cute ninashida na namba yako please kama utojali๐Ÿ™
 
Ww ni mpare
Kwa hiyo umeamua kuyaleta huku
Si uliniacha baada ya kurudiana na Ex wako
Rudi tu kwangu tena tuendeleze upendo wetu
Nkoo dm
 
JE UNA JIPAMBA SANA?
JE UNA VAA NGUO ZA GHARAMA?
JE UMEWEKA VITU VINGI FAKE MWILINI? KUCHA, NYUSI, NYWELE, UMEJICHUBUA?

JE UNATAKA MTU WA KUDUMU NAYE AU WA KUMTUMIA NA KUMUACHA?
UKIWEZA PITA PITA VIJIWE VYA MAAFISA USAFIRISHAJI (BODABODA)
 
Naona sifa zako zinafafana na yagu mimi kila nikimtongoza mwanamke ananikimbia .njoo tuyajenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ