Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Kapicha ka kusindikizia ujumbe, tufanye tathimini
 
no tulia tu,mtu wako yupo
 
Naomba link somo la chumvi tafadhali

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza
 
nenda kapigwe maombi na mwamposa baba yenu wa imani wanadada.
 
Tabia mbaya Exy nikija huko πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mpe moyo mwenzako. Nikajua utamwambia, atakuona pm πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Hahahaaaaa.... Ko wewe unanikataa kwa staili ya kunisukumizia kwake😜😜
 
Jua kuwa jamaa alikua anakuvumilia tu, ila sio pisi ya kuwapagawisha wana. Sasa ukute wewe ndio chanzo cha kuachana, kazi ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…