Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafupi tumekosa nini jamaniHebu picha hata pm tuone shida iko wapi, mimi sio mchawi ila wewe ni mfupi
Kwanza acha kujipitisha ili utongozwe huko ni kutojiamini. Pia achana nafikra potovu maana ujionavyo nafsini mwako ndivyo ulivyo.Wazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Tumia chumvi ya mawe kuogeaWazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
[emoji23][emoji23]ila....Tumia chumvi ya mawe kuogea
Nini sasa..[emoji3][emoji23][emoji23]ila....
[emoji23][emoji23]akimaliza chumvi mawe kuna fruto na maji[emoji23][emoji23]Tumia chumvi ya mawe kuogea
Dear inategemea na ww umejiweka vp baada ya kuachana na boyfriend wako.Wazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Huo si ushirikina sasa[emoji23]Nini sasa..[emoji3]
Id ya kike maandishi ya kiume, uliona wapi mwanaume anatongozwa ?Wazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Lipia tangazo [emoji23][emoji23][emoji23]Wazima jamani
Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Umetumia theory fupi...ya jina la mwisho😀....msangi.Hebu picha hata pm tuone shida iko wapi, mimi sio mchawi ila wewe ni mfupi
Kaa kwa kutulia mamy tunaopenda wafupi tupo.Wafupi tumekosa nini jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] tulia dawa ikuingie na wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka kitu hapa lolInawezekana hata huyo jamaa alikusaidia tu.... Hebu kapicha kwanza [emoji12][emoji12]
Hapana hakuna tunguli hapoHuo si ushirikina sasa[emoji23]