Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Nina gundu, wanaume hawanitongozi

Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Kwanza acha kujipitisha ili utongozwe huko ni kutojiamini. Pia achana nafikra potovu maana ujionavyo nafsini mwako ndivyo ulivyo.

Badili muonekano wako, jipende wewe kwanza.
 
Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Tumia chumvi ya mawe kuogea
 
Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Dear inategemea na ww umejiweka vp baada ya kuachana na boyfriend wako.
Hao wote ambao Mungu anakuepusha nao wakati huu si sahihi kwako unaandaliwa kilicho chema.
Usiache kumuomba Mungu.
 
Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Id ya kike maandishi ya kiume, uliona wapi mwanaume anatongozwa ?
 
Wazima jamani

Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo wanaume hakuna ata anayenisimamisha au ata wakuniomba namba,nikijiangalia kwenye kioo najiona bado navutia, nimetumia madawa ya mvuto lakini wapi.
Lipia tangazo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inawezekana hata huyo jamaa alikusaidia tu.... Hebu kapicha kwanza [emoji12][emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka kitu hapa lol
 
Back
Top Bottom