Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

🀣🀣🀣Hebu tuambie Kweli umemtoa wapi maana imekuwa chighafla sana
Una nia gani na mimi? Nikivunjwa na Kantri MOI tutakuwa wote kuniuguza nakukumbusha dada πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Utamuacha bro peke yake na unamjua hachelewi kuvuta chuma kingine 🀣
 
Mleta Uzi Samahani Nina swali,Ina maana hujui kama Lamomy ni mke halali wa Countrywide au umeamua kujizima data?mchukue shosti yake anaitwa Missy Gf ndio penzi lake linayumbayumbaπŸ˜…
🀣🀣🀣🀣🀣 akuuuu mie sitaki natafuta mwenyewe nikimpata nakuja na nyuzi kama tano hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…