Jf hujaizoea bff?? Humu wanawake wote tunaambiwa wanaume na wanaume wote wanaambiwa machoko bas tafrani πππMhhh Hana tabia hizi
Yaani tafraniiioJf hujaizoea bff?? Humu wanawake wote tunaambiwa wanaume na wanaume wote wanaambiwa machoko bas tafrani πππ
Ukija uzi km huu unaambiwa umejifungulia bas tunaishi nao hivo hivoπ€£
Kula chuma hii!π€£π€£π€£π€£π€£ akuuuu mie sitaki natafuta mwenyewe nikimpata nakuja na nyuzi kama tano hivi
Bila shaka u mfuasi wa pastor Mashimo, akili yako inakutambulisha hivyo yaani hata jpili ulionja supu ya vibudu ππOohh hallelujah Jehovah Jyire,
Mungu ni Mwema wapendwa
We nabii wewe unanitia mashaka saanaa..kila kitu unasingizia roho mtakatifu yaani!!una janjajanja nyingii sanaπ€¦π€¦Aimen,
tutazingatia maelekezo ya Roho Mtakatifu katika maombi,
Yawezeka Lamomy alikua ni ngazi au daraja tu kwa mtumishi nisiestahili chochote kufika huko kwenye pendekezo lako...
Aimen
Ungenipa hi bana πππNliacha tu nlivoona wale wacomoro wanachukua mizigo ofisini kwako, nkaona kama upo bize bize
Kamuombee Bashite aache kuharibu vijana kama wewe ambao mnapaswa kupigania ukombozi wenu wa kifikra na sio kuigiza utumishi wa kizwazwa.πNakuombea neema ya utakaso wa damu azizi ya Yesu Kristo
Tunakutanaga mara nyingi tu sema hujui ndo mm na mm sijui ndo ww! Tukionana ntakua serious cyo powaUngenipa hi bana πππ
Hivi ikitokea tumekutana kweli kkoo si tutakufa kwa kucheka
Hatareee πππYaani tafraniiio
Huwezi kuwa serious nikikugundua lazima utacheka πππTunakutanaga mara nyingi tu sema hujui ndo mm na mm sijui ndo ww! Tukionana ntakua serious cyo powa
Huyo jamaa ni nabii wa Baali mkuu πWe nabii wewe unanitia mashaka saanaa..kila kitu unasingizia roho mtakatifu yaani!!una janjajanja nyingii sanaπ€¦π€¦
Wairaq wenzako umewaacha wapi?hiyo sina hakika ila ni katika Roho na Kweli ya Mungu...
Huwez nigundua labda mm nitake mwenyewe, haya kesho ukienda ulizia waiti.....kijiwe changu kilikuwaga shamba la bibi na hong Kong hotelHuwezi kuwa serious nikikugundua lazima utacheka πππ