Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Watumishi wa Mungu hatujibu km nyie wa mataifa [emoji23]
Dada nitake radhii Mimi ni Miongoni mwa Vijana wachache tuliochukua dhamira ya kuieneza Injiri kutoka mioyoni mwetu mpk Kwa wenzetu. Tafuta watu wa kuwaita wa mataifa .?


Mfano Kdg tu hata Yudah Eskalliot alipotaka kumuuza Yesu hakutumia maneno kabsa alienda na kumbusu hbr ikaishia. Hivyo ndy Wana wa Mungu tulivyo Jibu baya alitakiwi kulembwa?
 
Mleta Uzi Samahani Nina swali,Ina maana hujui kama Lamomy ni mke halali wa Countrywide au umeamua kujizima data?mchukue shosti yake anaitwa Missy Gf ndio penzi lake linayumbayumbaπŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ningeshangaa usingekuja kupinga, sema hapo kwa bff itabidi mista Tlaatlaah achukue chombo hiko
 
Aririiiiii riiiiiii riiiiii mwali wangu hujaniangusha,, shemeji peleka level 8 mdogo wangu Leo akanywe Margarita bariiiiiidi
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ningeshangaa usingekuja kupinga, sema hapo kwa bff itabidi mista Tlaatlaah achukue chombo hiko
Tena ashukuru Kwa vile kamtanguliza bwana Yesu nimeona sio vizuri kupambana na mchungaji hachelewi kukwambia "vita yangu si ya damu na nyama"ila kaniudhi Sanaa,maana hapo Kaamua kumchokoza Wizzy πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tena ashukuru Kwa vile kamtanguliza bwana Yesu nimeona sio vizuri kupambana na mchungaji hachelewi kukwambia "vita yangu si ya damu na nyama"ila kaniudhi Sanaa,maana hapo Kaamua kumchokoza Wizzy πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wizzy hii week wanamtafuta sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…