Hahaaa uzi una kitu huu ngoja waje kama asemavyo smart.
Dada nitake radhii Mimi ni Miongoni mwa Vijana wachache tuliochukua dhamira ya kuieneza Injiri kutoka mioyoni mwetu mpk Kwa wenzetu. Tafuta watu wa kuwaita wa mataifa .?Watumishi wa Mungu hatujibu km nyie wa mataifa [emoji23]
ππππ Ningeshangaa usingekuja kupinga, sema hapo kwa bff itabidi mista Tlaatlaah achukue chombo hikoMleta Uzi Samahani Nina swali,Ina maana hujui kama Lamomy ni mke halali wa Countrywide au umeamua kujizima data?mchukue shosti yake anaitwa Missy Gf ndio penzi lake linayumbayumbaπ
Aririiiiii riiiiiii riiiiii mwali wangu hujaniangusha,, shemeji peleka level 8 mdogo wangu Leo akanywe Margarita bariiiiiidiπππ Kumekucha
Hivi makamanda wenzangu mbona hamnipendi? Au ndio mko busy na kuipambania katiba mpya?
Kila siku mimi napendwa na vijana wa Mama Kizimkazi!!! Why? Makamanda mnaniangusha ππππ
CCM wananibeba hivyo ooh!!!
Kwako baba mtumishi Tlaatlaah
Nashukuru kwa kunipenda ingawa sijui umenipenda na umevutiwa na kitu gani na mimi? Sio kesi hata mimi NAKUPENDA km Yesu alivyolipenda kanisa. UPENDO WA AGAPE
Mahusiano na ndoa ni jambo jema, hata vitabu vya Mungu vinatuasa mtu mume na mtu mke waungane wawe mwili mmoja ili waijaze dunia. Ndiomana hata Mungu alivyomuumba Adam hakuona sahihi akamletea msaidizi ambaye ni Hawa ( Ambao ndio sisi kina Lamomy)
Ahsante kwa upendo na mapenzi yako makubwa uliyoonyesha kwangu.
Najua mpaka kuamua kuja na uzi km huu ulichukua muda mrefu kujipanga na kujiandaa hukukurupuka!!! Kuna kitu kilikusukuma moyoni mwako. π
Sasa baba mtumishi pamoja na yote hayo mwenzio mimi mpenzi wa mtu na mpenzi wangu yupo humu humu tena mwana CCM mwenzio. Nampenda kuliko maelezo.
Sina haja ya kumficha anaitwa Countrywide mwenyewe nimezoea kumuita Kantry nampenda chugga man wangu. Samahani kwa kusema haya.
Mwisho nikuombe usikate tamaa kutafuta yule ambaye atakuwa chaguo lako na utakayempenda kwa dhati ya moyo.
Nasikia uchungu kukujibu hivi lakini ndio hivyo siwezi kumuacha nimpendaye kwaajiri ya kumfurahisha mtu mwingine.
Damu ya Yesu ikulinde baba mtumishi.
Aimen π
Hadi kufikia hapa uzi ufungwe tukaendelee na kazi ya kujenga taifa πUmeniita huku nikajua sijui nn asee. Hawa wengine uwe unawapotezea tu, wanakupotezea muda tu
ππππ coca na bff washaona fursa ya kupiga mpungaWanakudanganya tu hao mashemeji zako wanataka kukuchuna mtumishi niaminiπ€£π€£π€£π€£Huyo kaolewa huyo
Sir midabwada kayabwaga hapa πππMillion which who when????? Khakhakhaa!!
Mie hizo hekaheka nishaachaga kitambo sana uduguu naziwezea wapi mimiβΊοΈ!
Tena ashukuru Kwa vile kamtanguliza bwana Yesu nimeona sio vizuri kupambana na mchungaji hachelewi kukwambia "vita yangu si ya damu na nyama"ila kaniudhi Sanaa,maana hapo Kaamua kumchokoza Wizzy ππππππ Ningeshangaa usingekuja kupinga, sema hapo kwa bff itabidi mista Tlaatlaah achukue chombo hiko
Naanzaje kumuacha mpenzi wa maisha yangu jamani? Wewe unajua vile nampenda chugga man πππAririiiiii riiiiiii riiiiii mwali wangu hujaniangusha,, shemeji peleka level 8 mdogo wangu Leo akanywe Margarita bariiiiiidi
ππππ Wizzy hii week wanamtafuta sanaTena ashukuru Kwa vile kamtanguliza bwana Yesu nimeona sio vizuri kupambana na mchungaji hachelewi kukwambia "vita yangu si ya damu na nyama"ila kaniudhi Sanaa,maana hapo Kaamua kumchokoza Wizzy ππ
πππ Wizzy aliwapa nini ndugu zangu?Si Tunamtambua Kantriiiiii weee usitutanieeeee!
Na yeye maskini anawaaminiππππwatamlia Hela hawaππππ coca na bff washaona fursa ya kupiga mpunga
Itabidi nijiite official Kantry wife πππTunaomba melo aweke relationship status(uko kwa relationship,taken etc)
Ili vijana wasichanganye files na kupungua kuchepuka humu.π
Wote wajanja wajanja wale πππNa yeye maskini anawaaminiππππwatamlia Hela hawa