Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Eee we kiboko πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Majibu makali unaweza kuua mtu? Nyie hamtakiwi kukaa na wagonjwa wanaokaribia kukata roho
 
Eee we kiboko [emoji119][emoji119][emoji119]
Majibu makali unaweza kuua mtu? Nyie hamtakiwi kukaa na wagonjwa wanaokaribia kukata roho
Sasa ya nini nikutie Moyo wakati haikupaswa kuwa hivyo negative reply ni negative tu hata uiweke Vipi? Nikupoteza muda. Soma visa na mikasa ya Bible utagundua majibu mabaya yapo Kwa kifupi Sana?
 
Muonee hata huruma kama yesu alivotuonea huruma wanaaadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…