Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #61
Wewe akili Yako fupi Sana hapa sijaleta habari za kushauriwa kuliwa kwani Mimi sijui kama Kuna kuliwa wabongo kichwani asilimia nyingi ubongo haufanyo kazi kama wewe Mimi naomba ushauri wakusonga mbele wewe unaniambia utaliwa hivi unaakili kweliUkitaka kupima akili ya mtu angalia majibu yake.
Umeleta uzi kuuliza kwakuwa hujui ufanye nini. Umejibiwa unasema "NAJUA NINACHOKIFANYA".
Sasa hapo tushike kipi?