Fursa! Anajua mwamba ana maokoto ya kutosha kwahiyo anaogopa jamaa asije akapeperuka hivyo anataka kumdhibiti mapemaKo kutolewa tu mahari ndo ukaamua uanze kutafuta mimba?huwa mna haraka ya kuwahi wapi?
Na kwa nini ukimbilie kusema hazai,je kuwa na mtoto ndo kusema huwezi tena kupata changamoto ya kupata mimba ingine...
yaani wewe ni lisingo maza afu unachaguachagua tena? hujui kuwa kuwa tu single mother ni ulemavu tayari unao na atakayekuokota amekusaidia tu.Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari,...
Acha kuteseka !! Nitafute nikupe mimba, ninazo nyingi, sijui unahitaji ngapi ?!Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari, situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 ,tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Siri imevuja...Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari, situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 ,tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Mwanaume ana stress za kukosa hata mia mbovu bado anamdai mimba, haya mambo jamani acheni tu.Huyu ni mpishi mkubwa wa chai humu jukwaani.
Tazama thread hii ya siku ya ijumaa.
Nyingine hii hapa ya jana
Kufanya kazi vijijini nilikuwa nasikiaga tu kwa jirani
Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata. Ajira...www.jamiiforums.com
Endelea kuwa cold water ukihangaika utachemshwaAmenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari, situmii kizuizi chochote tunakutana...
Hiyo ni hakikaaa...imeenda hiyoTangu hangaya aseme wanaume hawahusiki na watoto kazi yao ni kuchangia mbegu bila shaka huyu anahitaji kuchangiwa mbegu.
Kuna wangu hapa ndiyo atanipa Mkuu..Asante kwa busaraNjoo nikupe mwingine na Mimi wala sio dhambi,
OkKuwa na mtoto sio dhambi ila kuwa na mtoto kabla ya ndoa ni dhambi!
PerfectSijibu maswali ya kitoto!
Wewe ndio umeleta thread? Mada kaanzisha cold water au ndio mambo ya switch accountSijibu maswali ya kitoto!
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.
Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .
Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Huwezi kumdhibiti mwanaume kwa kutumia mtoto,kama hana malengo na wewe utazalishwa na utaachwa tuFursa! Anajua mwamba ana maokoto ya kutosha kwahiyo anaogopa jamaa asije akapeperuka hivyo anataka kumdhibiti mapema
Na Mimi nimuongezee, wako huyo au wenu? Ulisikia wapi wanaume tunachoviya sehemu mojaKuna wangu hapa ndiyo atanipa Mkuu..Asante kwa busara