Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Ndio hako kakundi kanaongoza nchi maza kashapangiwa majukumu yake ndio haya tuyaonayo,.Mkuu, tusilaumu watu.
Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.
Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.
Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.
Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.
Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.
chief hangaya ana matatizo she is under remote control,unfortunately our democracy is running beyond repairHitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.
Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.
Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.
Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.
Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza
Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!
Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu... Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili...sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya...!!!
Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume...MUNGU TUSAIDIE
Yumkini inaongozwa na wahuni, washauri lazima wawe na weledi.Mkuu, tusilaumu watu.
Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.
Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.
Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.
Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.
Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.
Tunapumua baada ya kuonewa kwa miaka 5.Hujawahi kuwa na akili inayotosha kibaba cha pishi moja
Gang inazidi kupeta[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa jamaa Huwa hawajui lolote. Na Leo Mama amepewa uchifu wa gang[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Is this possible?ndani ya kakundi hako kadogo yuko pm mmoja wa zamani aliyejiita mtoto wa Mkulima , haonekani hadharani lakini gizani yumo
Mkuu nchi iko mikononi mwa kikundi kinachoitwa Axis of Evil na Kiongozi wao ni gaidi Mwigulu Nchemba kwenye kundi hilo yuko Majaliwa, Ndugai, Mpango, Msigwa, Diwani wa TISS, Ndugulile. Hawa watu ni watu hatari sana na sijui nchi itakuwa mikononi mwa hawa kwa kipindi gani.
ππππ Nimesoma kimya kimya huku natafuna karanga mpaka hapa uzalendo ukanishinda!Mabeyo yeye siyo gang?
Na bado mpaka maji muite mma
Jibu ni NO,je power inapatikana wapiYou really think a crown gives you power?[emoji848]
Una maana ya Guinea ya west Africa?π€π§π²Mkuu umenena kweli tupu, nilikuwa nawaza Sana Nani ndo rais kwasasa sielewi, Samia Hana Kazi yoyote ambayo inaonekana kufanywa na rais wa nchi.
Haongozi chochote, hatoi maelekezo, yupo njiani Kila siku, Mpango ndo sijui kapangwa wapi, WK nae anajitutumua bila maboss wake kusikika.
Kabaki anasikika gwajima tuu.
Sijui mabeyo anatusikia?
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.
Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.
Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.
Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.
Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza
Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!
Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu... Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili...sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya...!!!
Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume...MUNGU TUSAIDIE
Binti == shetani hajawahi kumshinda Mungu (usemi wako). Unachekeshanajua kila kitu
Ogopa sana nguvu ya pesa kuna watu wana pesa ila hawatoki nje na kujitangaza ila michezo wanayoifanya ndani ya system ina athari kubwa sana kwa wananchi wa kawaida kwao ni kama wanacheza game kwenye simu na wanaona ni raha sana.Kuna kipindi JK alishawahi sema! Tukiyakamata Mafisadi,Nchi itawaka moto! Huyu Mzee alikua anajua Michezo ya kihuni,Michezo ya watoto wa town! Kina Rostam,Tamil na kina Karamagi!
Hasa Mwigulu. Hivi hii Nchi hii watu walivyofunga mikanda ndio ya kuweka Tozo mpaka kwenye kope?.Mkuu, tusilaumu watu.
Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.
Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.
Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.
Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.
Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.
Ongeza sauti Baba π€£π€£πππMkuu umenena kweli tupu, nilikuwa nawaza Sana Nani ndo rais kwasasa sielewi, Samia Hana Kazi yoyote ambayo inaonekana kufanywa na rais wa nchi.
Haongozi chochote, hatoi maelekezo, yupo njiani Kila siku, Mpango ndo sijui kapangwa wapi, WK nae anajitutumua bila maboss wake kusikika.
Kabaki anasikika gwajima tu.
Sijui mabeyo anatusikia?
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.
Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.
Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.
Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.
Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza
Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!
Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu. Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili. Sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya!
Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume. MUNGU TUSAIDIE