akili maki
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 238
- 205
Makomandoo
naanza kupata hofu kuwa sasa Tanzania si salama
naanza kupata hofu kuwa sasa Tanzania si salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wlishajiajiri tayari. X-Mwalimu wako kawaharibia maisha.Kumbe makomando wa watu wanaonewa sana walikuwa wanalima urio ndio akawadalalia
Kwani hizo bastola ziko ngapi?Mimi nauliza swali moja tu.
Je bastola za akina Adamoo ni za halali?
...
Hii kesi haiishagi tu
Kama Isidingo The Need
Aibu tupu kwa polisiA shahidi ambaye alisubiriwa kwa hamu kubwa ili kuujua ukweli ni huyu Lut Denis Urio. Sasa Shahidi wake wote mpaka sasa unathibitisha kuwa hakuna mahali popote Mbowe na walinzi wake walipanga ugaidi...
Urio ni mchaga hivyo anatumika na watawala iliionekane Mbowe anashitakiwa na wachaga kwa hiyo hakuna uonevuHabari za asubuhi waungwana,
Niseme wazi kwamba sina chuki na afande Urio lakini inashangaza kuona kesi mama (Kupanga kuua viongozi wa serikali na ugaidi) kwa ushahidi wake kwa nini tusiamini kuwa yeye ndo mratibu mkuu wa kesi husika...
Au ndo mchango wako afande umeutumia kutengeneza kesi ya mchongo?Habari za asubuhi waungwana,
Niseme wazi kwamba sina chuki na afande Urio lakini inashangaza kuona kesi mama (Kupanga kuua viongozi wa serikali na ugaidi) kwa ushahidi wake kwa nini tusiamini kuwa yeye ndo mratibu mkuu wa kesi husika...
Turudi RAU madukani a.k.a kwa Mama P.A shahidi ambaye alisubiriwa kwa hamu kubwa ili kuujua ukweli ni huyu Lut Denis Urio. Sasa Shahidi wake wote mpaka sasa unathibitisha kuwa hakuna mahali popote Mbowe na walinzi wake walipanga ugaidi...
lkn tunadanganywa sana....au tunaishi kwa kukariri sana vitu kuliko uhalisiaKomando mmoja ni sawa na wanajeshi wa kawaida 100,sasa komandoo wanne sini sawa na wanajeshi 400?.
Acp Kingai alibase kwenye Hearsay za Lt Urio.A shahidi ambaye alisubiriwa kwa hamu kubwa ili kuujua ukweli ni huyu Lut Denis Urio. Sasa Shahidi wake wote mpaka sasa unathibitisha kuwa hakuna mahali popote Mbowe na walinzi wake walipanga ugaidi. Hakuna picha, hakuna video, hakuna voice notes na hakuna hata sms kuthibitisha kuwa kweli walikutana na Mbowe kupanga ugaid...
Kaka Mshana, au na wewe ni snitch humu ndani maana kazi yako kubwa ni quoting of paraphrasing statements. Usitufanye tukuogope kaka, unajua watu wameanza kupotea? Wengi Instagram ba Facebook wanakamatishwa sanaAu ndo mchango wako afande umeutumia kutengeneza kesi ya mchongo?
Naomba wataalamu wa sheria mtuambie kwa nini afande Urio asiwe miongoni mwa watuhumiwa katika kesi hii?
Forensic Beaural watwambie inamilikiwa na Nani hakuna Silaha isiyo na umiliki.Mimi nauliza swali moja tu.
Je bastola za akina Adamoo ni za halali...