FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 915
- 638
Waulize mawakili kwanini swali Hilo halikuulizwa mahakaniMimi nauliza swali moja tu.
Je bastola za akina Adamoo ni za halali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waulize mawakili kwanini swali Hilo halikuulizwa mahakaniMimi nauliza swali moja tu.
Je bastola za akina Adamoo ni za halali...
Walipoulizwa mashahidi wote, hakuna mahali wamesema walimsikia Mbowe akipanga kumdhuru Sabaya..Sasa una prove vp hilo?Kupanga njama za kudhuru mtu ambae ni sabaya.
Maswali ya Kibatala yatatoa uelekeo leoAnaondoka kwenye mashitaka haya kwa kigezo kimoja tu kwamba ali-riport kwa Kingai mapema kwamba Mbowe ana mpango wa kufanya UGAIDI, kufanya maandamano yasiyo ya ukomo, ukata magogo na kuyatandaza barabara kuu za Mbeya, Arusha, DSM na Dodoma - kwamba anatafuta maaskari makomandoo wa jeshi, pia anatafuta vifaa vilivyofungwa kwa mawasiliano ya Jeshi. Kingai akamwambia haya we endelea kuwasiliana naye na katika kila hatu uwe unanijulisha.
Huyu ndiye Captain Denis Urio - Mkufunzi wa Makomandoo.
Kama hao makomandoo hawakumrudia Urio maana yake kulikuwa hakuna uhalifu.. maana bado wapo chini ya kiapo cha utiiNaona hawa makomandoo wamefanyiwa entrapment, hawakua na mpango wa kukutana na Mbowe kabla hawajatafutwa na Urio. Na waliambiwa wanaenda kufanya kazi ya ulinzi isipokua Luteni anasema akawaambia wakiona matendo ya uhalifu wamrudie.
Well nafikiri ikifika stage ya kila mtu ashike mbao yake mawakili wa makomando watakua na kazi ya kuthibitisha entrapment.
Lt ndiye engineer wa ugaidiHabari za asubuhi waungwana,
Niseme wazi kwamba sina chuki na afande Urio lakini inashangaza kuona kesi mama (Kupanga kuua viongozi wa serikali na ugaidi) kwa ushahidi wake kwa nini tusiamini kuwa yeye ndo mratibu mkuu wa kesi husika...
Kapanda cheo leo ama? Maana Jana alijitambilisha kama lutenAnaondoka kwenye mashitaka haya kwa kigezo kimoja tu kwamba ali-riport kwa Kingai mapema kwamba Mbowe ana mpango wa kufanya UGAIDI, kufanya maandamano yasiyo ya ukomo, ukata magogo na kuyatandaza barabara kuu za Mbeya, Arusha, DSM na Dodoma - kwamba anatafuta maaskari makomandoo wa jeshi, pia anatafuta vifaa vilivyofungwa kwa mawasiliano ya Jeshi. Kingai akamwambia haya we endelea kuwasiliana naye na katika kila hatu uwe unanijulisha.
Huyu ndiye Captain Denis Urio - Mkufunzi wa Makomandoo.
Baadae walifungwa na kuachiwa na fedha zao zikarudishwa🤣🤣MaCHADEMA jipangeni kisaikolojia mnaenda kulia kama kwa Aqwilina
Umemaliza.. kulikuwa hakuna ugaidi ndo maana hawakumrudiaA shahidi ambaye alisubiriwa kwa hamu kubwa ili kuujua ukweli ni huyu Lut Denis Urio. Sasa Shahidi wake wote mpaka sasa unathibitisha kuwa hakuna mahali popote Mbowe na walinzi wake walipanga ugaidi...
Hearsay za Lt Urio ziliwaingiza chaka akina Acp Kingai na Mahita.Walipoulizwa mashahidi wote, hakuna mahali wamesema walimsikia Mbowe akipanga kumdhuru Sabaya..Sasa una prove vp hilo?
Kwa stage iliyofikia ya dikteta Magufuli na hasa majaribio ya Mbowe kuuawa ilibidi atafute ulinzi madhubuti zaidi,na Urio ndie aliemshauri achukue makomandoo.Na kwanini Mbowe ahitaji ulinzi wa makomandoo na sio mabaunsa ambao hata yeye anaweza kuwapata maana zamani walikuwa watumishi .wake akiwa na bilicanas...
Hata ikulu wanaapa, kesho ndio vinara wa kuikanyaga katiba. Hakuna utawala wa kisheria, tuna jamhuri ya kambale, mkubwa kumla mdogo, japo wote tuna sharubu.Hivi viapo ni siku ya graduation tu. Wakishatoka pale ni work as usual
Shahidi kauficha ushahidi🤣🤣1. Hakurekodi mazungumzo yoyote yeye na Mbowe ili kulifikishia Jeshi la polisi kama ushahidi waweze kufanya upellelezi
2. Haku screenshot chats na call logs history za WhatsApp na Telegraph kuonesha kweli alikua anazungumza na Mbowe kupitia Apps....
Tamthilia, haiishagi.Hii kesi haiishagi tu
Hata hao makomandoo waliobaki kikosini unafikiri wanamuangaliaaje sasaivi?Kweli kabs hawa makomandoo wamechezewa sinema na Luten urio bila kujijua,hv ikatokea wakashinda kesho huyo urio ataachwa salama kweli na hao wanafunzi wake ?
Kwani sisi Tanzania tuna mahakama?Kwa nini uwe na uhakika huo wakati mahakama ndiyo inaamua.
Na inawezekana baada ya kuona akina Bwire ni kikwazo ndipo wakaamua kuwabambikia kesi ya ugaidi.Kwa stage iliyofikia ya dikteta Magufuli na hasa majaribio ya Mbowe kuuawa ilibidi atafute ulinzi madhubuti zaidi,na Urio ndie aliemshauri achukue makomandoo.
Hao mabaunsa waendelee tu kuwalinda akina Diamond,komandoo ni level tofauti sana