markp
Senior Member
- Sep 26, 2013
- 194
- 327
kwahyo na yeye alitoa ela yake kufadhili ugaidi?Atarekebisha, atasema simu ilikua na salio jingine au alisongesha[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahyo na yeye alitoa ela yake kufadhili ugaidi?Atarekebisha, atasema simu ilikua na salio jingine au alisongesha[emoji23][emoji23]
MaCHADEMA jipangeni kisaikolojia mnaenda kulia kama kwa Aqwilina
Komandoo anatakiwa kuwa na uwezo mkubwa wa kubalance nguvu na akili, lakini Urio ametutjibitishia amekuwa akifundisha matumizi ya nguvu asilimia 85 na akili asilimia 15.Ukomandoo ni Kada muhimu Sana katika Jeshi na Ulinzi wa nchi. Ni Kada ambayo katika nchi za wenzetu mafunzo yake ni kitu cha Siri na cha kutukuka. Ni mafunzo ambayo Askari...
Wasio julikana sasa wamejulikana.Jana nilikuwepo Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi kuendelea kufuatilia kesi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu...
Asante na safari njema, lakini ungesaidia kuwapata ndugu wa vijana hawa ili wamuulize Lt Urio kisa hasa cha kuwaharibia maisha ndugu zào huku akijua Wazi anawapeleka kwenye kifo.Jana nilikuwepo Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi kuendelea kufuatilia kesi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu...
Walisema: ^Kazi ya ulinzi imebadilika.^ It means walikuwa kwenye new venture! Halafu, why wakate mawasiliano na Lt. Urio?Waliambiwa waseme kinachoendelea huko na wakawa wanasema (mmoja alikuwepo Dar na akasema kinachoendelea).
Acha uongo!Komando mmoja ni sawa na wanajeshi wa kawaida 100,sasa komandoo wanne sini sawa na wanajeshi 400?.
Wasiojulikana hawakuanza miaka ishirini iliyopita.Na kwanini Mbowe ahitaji ulinzi wa makomandoo na sio mabaunsa ambao hata yeye anaweza kuwapata maana zamani walikuwa watumishi wake akiwa na Bilicanas...
Hii ni ndoto ya “jinamizi” (nightmare) usiku lazima uwe mrefu sana 😁Hii kesi haiishagi tu