Nina mashaka Luteni Urio anaenda kuharibu ushahidi dhidi ya Mbowe na wenzake 3. Fact hizi hapa
Na kwanini Mbowe ahitaji ulinzi wa makomandoo na sio mabaunsa ambao hata yeye anaweza kuwapata maana zamani walikuwa watumishi wake akiwa na Bilicanas?

Je, hao makomandoo wangefanya kazi zipi kwake ambazo zingekuwa mpya tofauti na maisha yake ya siasa zaidi ya miaka ishirini?

Je, wajua komandoo mmoja anaweza kuwa na athali kubwa kwa nchi ambayo raia wengi hawana uelewa wowote wa kivita?
Baunsa anatumia nguvu tu ya mwili wake bila akili wala mbinu na hata mafunzo yoyote ya silaha

Ila komandoo anatumia mbinu, akili na nguvu kidogo na mafunzo ya kutumia silaha za kivita hata za kijadi kama mapanga, sime, visu, mishale n.k mpaka karate, judo, wushu makomandoo wanaweza
 
Tunavyozidi kuweka masikio yetu mahakamani, ni dhahiri kwamba Ndg. Kingai, Boaz, Mahita, Goodluck, Jumanne, Urio na wahuni wengine walishirikiana kufanya uhalifu mkubwa unaitia serikali ya Tanzania doa na hasara kubwa kutewngeneza kesi isiyo na kichwa wala miguu.

Shahidi Denis Urio ameonyesha wazi kwamba, hii kesi ni ya hovyo kabisa na inabidi iishe. Watanzania wanaumizwa sana kwani fedha ambazo zingetumika kuwaletea maendeleo, inatumika kutafuta ughaidi usiokuwepo. Hawa watu wakamatwe kwa matumizi mabaya ya madaraki !

View attachment 2097567
View attachment 2097568
View attachment 2097569View attachment 2097570View attachment 2097571View attachment 2097572
Kila ubaya utalipwa
 
Hamna kesi hapo bali niuharibifu wa national resources - nchi maskini kama hii kufanya mambo ya hovyo kama haya yanayolighalimu taifa letu mamiliom ya fedha kisa ati kumkomoa Mbowe na familia yake sababu kubwa anaisumbua CCM
 
Shida NI kwamba watakubali waonekane NI wasaliti machoni kwa mbowe?
 
Kufuatia kesi inavyoendelea na baada ya shahidi muhimu kujichanganya ni wazi hii kesi ni aibu pasipo shaka.. kwa sababu zifuatazo;

Shahidi muhimu amethbitisha hana ukweli ndani yake kwani ameonekana kujichanganya mwenyewe na kushindwa kuaandaa movie hii vizur. Mf. suala la miamala za simu ndie alikuwa anashawish kutumiķa namba tofaut.

Kukosa ushahidi mana hakuna popote palipoonyesha Mh. Mbowe akipanga uovu wa ugaidi ama kumdhuru mtu.. mf. Pangekua hata na recorded audio ingekua afadhal halafu hana tarifa sahihi za maisha ya Mbowe..anajitungia tu mambo ooh mara homeboy

Kwa ufupi inaonekana Mh. Mbowe alikua anajilinda dhidi ya hila za Sabaya na ikumbukwe waliwahi pigwa mawe kipindi cha uchaguz ulee

Sasa basi kiongozi unaposhindwa kuwa mkweli unapoteza imani kwa wananchi
Kwa vyovyote vile kesi hii ni jipu kwa walioiandaa
 
has ha ha ha ,titili kakala, salakasi salakasi...siti ya mbele naendelea kutazama hii movie.pembeni peps bariiiidi na karanga za kukaanga!! mpaka last season!!
 
Kwenye ethics Kuna kitu kinaitwa ramification, kufanya uhalifu kwa kigezo cha uchunguzi. Hii haikubaliki, na ikitokea ikafanya hivyo huna tofauti na wahalifu ulishirikiana nao kutenda uhalifu. Urio anaangukia hapa, alishiriki mipango ugaidi akiwa anajua kabisa madhara ya ugaidi huku akijivika koti ya upelelezi ilhali yeye mwenyewe sio mpelelezi by profession. Kiujumla kesi imeiacha jeshi la polisi na vyombo vingine vya ulinzi uchi. Hiki anachoelezea Urio kwamba ndio mbinu alipewa na wapelelezi kama namna ya kumkamata Mbowe na ugaidi wake ni upuuzi mtupu. Even a kindergarten kid can't amount to this stupidity advice!
Kubwa. Zaidi ni jinsi home boy alivyowaunga wale makomando wakafanye uhalifu haiingii akilini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mana yeye alipewa idea nakudai akatafuta watu wakafanye hiyo kazi sasa hao makomando kosa lao liko wapi? Na Kama asingewatafuta ina maana wasingekuwa na kosa lolote? Maswali ni mengi muda mchache ngoja tuone wataalamu wa sheria waje kufanya kazi yao ila kimsingi inamchafua mama kwenye juhudi zake njema zakukwamua taifa
 
Washauri wa mama wako wapi? Wangemshauri afute hii kesi Ni aibu tu.
 
Nina hamu Sana kuwasikia mashahidi Hawa wawili wa upande wa utetezi!
... Mbowe
... Sirro
 
Back
Top Bottom